103
1私は心から、主のきよい御名をたたえます。
2私は主をほめたたえます。
あなたがなしてくださった数々のすばらしいことを
私は決して忘れません。
3主は私の罪をみな赦し、病気を治してくださいます。
4地獄に行くはずのこの身を贖い、
恵みとあわれみで包んでくださいます。
5私の一生は祝福で覆われ、鷲のように若返ります。
6主は、不当に扱われている者を公平にさばかれます。
7主はご自分の意思とご性質を、
モーセおよびイスラエルの民に知らされました。
8主は、虫けら同然の者をあわれみ、
優しくいたわってくださいます。
すぐにお怒りにならず、恵みと愛に満ち、
9いつまでも怒りの心を持ち続けたりはしません。
10罪の深さに応じて私たちが当然受けるべき罰を
そのまま下すこともありません。
11神を恐れ、あがめる者には、
無尽蔵のあわれみをかけてくださいます。
12神は私たちの罪を取り除き、
はるか地平線のかなたに投げ捨ててくださいました。
13主は、恐れかしこむ者に対しては、
父親のように優しい思いやりを示してくださいます。
14私たちが土くれにすぎず、
15また草花のようにはかなく、
16風に吹き飛ばされて消えるような
ちっぽけなものであることを知っておられるからです。
17-18しかし主は、ご自分を信じる者をいつまでも恵み、
神との契約を忠実に守り従う人を、
子々孫々に至るまでお救いになります。
19主は天に御座をすえ、
すべてのものを支配なさいます。
20神の命令を一つとして聞きもらさず、
すぐ実行に移す御使いたちよ、
主をほめたたえなさい。
21神に仕える天使の軍団よ、
絶え間なく主をほめたたえなさい。
22万物が声を合わせて、賛美しますように。
私も力いっぱいにほめ歌います。
Zaburi 103
Upendo Wa Mungu
Zaburi ya Daudi.
1103:1 Za 28:6; 104:1; 30:4Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.
Vyote vilivyomo ndani yangu
vilihimidi jina lake takatifu.
2103:2 Za 106:1; 117:1; Kum 6:12; Za 77:11Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana,
wala usisahau wema wake wote,
3103:3 Kut 34:7; 15:26; Kol 3:13; 1Pet 2:24; 1Yn 1:9akusamehe dhambi zako zote,
akuponya magonjwa yako yote,
4103:4 Za 34:22; 56:13; 8:5; 23:6; Isa 43:1aukomboa uhai wako na kaburi,
akuvika taji ya upendo na huruma,
5103:5 Ay 33:25; Za 90:14; 104:28; 119:25, 93; 2Kor 4:16; Kut 19:4atosheleza mahitaji yako kwa vitu vyema,
ili ujana wako uhuishwe kama wa tai.
6103:6 Za 9:8; 74:21; 65:5; Isa 9:7; Lk 4:10Bwana hutenda haki,
naye huwapa hukumu ya haki wote wanaoonewa.
7103:7 Za 99:7; 147:19; 106:22; Kut 33:13Alijulisha Mose njia zake,
na wana wa Israeli matendo yake.
8103:8 Kut 22:27; 34:6; Za 86:15; Mik 7:18-19; Yak 5:11; Kum 5:10; Hes 14:18Bwana ni mwingi wa huruma na mwenye neema;
si mwepesi wa hasira, bali amejaa upendo.
9103:9 Yer 3:5, 12; Mik 7:18; Isa 57:16; Za 30:5; 79:5Yeye hatalaumu siku zote,
wala haweki hasira yake milele,
10103:10 Ezr 9:13; Rum 6:23yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu
wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu.
11103:11 Efe 3:18; Za 13:5; 57:10; 100:5; 106:45; 117:2; Mao 3:22; 2Nya 6:31Kama vile mbingu zilivyo juu ya dunia sana,
ndivyo wema wake ulivyo mwingi kwa wanaomcha;
12103:12 2Sam 12:13; Rum 4:7; Efe 1:7; 2:5; Isa 43:25kama mashariki ilivyo mbali na magharibi,
ndivyo Mungu alivyoziweka dhambi zetu mbali nasi.
13103:13 Mal 3:17; Kum 8:5; 1Yn 3:1; Isa 63:15, 16Kama baba alivyo na huruma kwa watoto wake,
ndivyo Bwana anavyowahurumia wale wanaomcha;
14103:14 Za 119:73; 139:13-15; 146:4; Isa 29:16; Mwa 2:7kwa kuwa anajua tulivyoumbwa,
anakumbuka kwamba sisi tu mavumbi.
15103:15 Za 37:2; 90:5; 102:11; Yak 1:10; Isa 40:6; Ay 14:2Kuhusu mwanadamu, siku zake ni kama majani,
anachanua kama ua la shambani;
16103:16 Isa 40:7; Hag 1:9; Ay 7:8upepo huvuma juu yake nalo hutoweka,
mahali pake hapalikumbuki tena.
17103:17 Mwa 48:11; Ezr 9:12; Kut 20:6Lakini kutoka milele hata milele
upendo wa Bwana uko kwa wale wamchao,
nayo haki yake kwa watoto wa watoto wao:
18103:18 Yn 14:15; Kum 7:9; 28:9; Za 119:52; Hes 15:40; Za 47:8; 80:1; 113:5; 22:28; 66:7; Dan 4:17kwa wale walishikao agano lake
na kukumbuka kuyatii mausia yake.
19Bwana ameweka imara kiti chake cha enzi mbinguni,
ufalme wake unatawala juu ya vyote.
20103:20 Neh 9:6; Lk 2:13; Ebr 1:14; Za 29:1; 28:6; 107:25; 135:7; 148:8; Mt 6:10Mhimidini Bwana, enyi malaika zake,
ninyi mlio mashujaa mnaozitii amri zake,
ninyi mnaotii neno lake.
21103:21 1Fal 22:19; Neh 7:73; Dan 7:9; Mwa 32:2Mhimidini Bwana, ninyi jeshi lake lote la mbinguni,
ninyi watumishi wake mnaofanya mapenzi yake.
22103:22 Za 104:1; 67:3; 19:1; 145:10; 150:1, 6Mhimidini Bwana, kazi zake zote
kila mahali katika milki yake.
Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.