詩篇 103 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

詩篇 103:1-22

103

1私は心から、主のきよい御名をたたえます。

2私は主をほめたたえます。

あなたがなしてくださった数々のすばらしいことを

私は決して忘れません。

3主は私の罪をみな赦し、病気を治してくださいます。

4地獄に行くはずのこの身を贖い、

恵みとあわれみで包んでくださいます。

5私の一生は祝福で覆われ、鷲のように若返ります。

6主は、不当に扱われている者を公平にさばかれます。

7主はご自分の意思とご性質を、

モーセおよびイスラエルの民に知らされました。

8主は、虫けら同然の者をあわれみ、

優しくいたわってくださいます。

すぐにお怒りにならず、恵みと愛に満ち、

9いつまでも怒りの心を持ち続けたりはしません。

10罪の深さに応じて私たちが当然受けるべき罰を

そのまま下すこともありません。

11神を恐れ、あがめる者には、

無尽蔵のあわれみをかけてくださいます。

12神は私たちの罪を取り除き、

はるか地平線のかなたに投げ捨ててくださいました。

13主は、恐れかしこむ者に対しては、

父親のように優しい思いやりを示してくださいます。

14私たちが土くれにすぎず、

15また草花のようにはかなく、

16風に吹き飛ばされて消えるような

ちっぽけなものであることを知っておられるからです。

17-18しかし主は、ご自分を信じる者をいつまでも恵み、

神との契約を忠実に守り従う人を、

子々孫々に至るまでお救いになります。

19主は天に御座をすえ、

すべてのものを支配なさいます。

20神の命令を一つとして聞きもらさず、

すぐ実行に移す御使いたちよ、

主をほめたたえなさい。

21神に仕える天使の軍団よ、

絶え間なく主をほめたたえなさい。

22万物が声を合わせて、賛美しますように。

私も力いっぱいにほめ歌います。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 103:1-22

Zaburi 103

Upendo Wa Mungu

Zaburi ya Daudi.

1103:1 Za 28:6; 104:1; 30:4Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.

Vyote vilivyomo ndani yangu

vilihimidi jina lake takatifu.

2103:2 Za 106:1; 117:1; Kum 6:12; Za 77:11Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana,

wala usisahau wema wake wote,

3103:3 Kut 34:7; 15:26; Kol 3:13; 1Pet 2:24; 1Yn 1:9akusamehe dhambi zako zote,

akuponya magonjwa yako yote,

4103:4 Za 34:22; 56:13; 8:5; 23:6; Isa 43:1aukomboa uhai wako na kaburi,

akuvika taji ya upendo na huruma,

5103:5 Ay 33:25; Za 90:14; 104:28; 119:25, 93; 2Kor 4:16; Kut 19:4atosheleza mahitaji yako kwa vitu vyema,

ili ujana wako uhuishwe kama wa tai.

6103:6 Za 9:8; 74:21; 65:5; Isa 9:7; Lk 4:10Bwana hutenda haki,

naye huwapa hukumu ya haki wote wanaoonewa.

7103:7 Za 99:7; 147:19; 106:22; Kut 33:13Alijulisha Mose njia zake,

na wana wa Israeli matendo yake.

8103:8 Kut 22:27; 34:6; Za 86:15; Mik 7:18-19; Yak 5:11; Kum 5:10; Hes 14:18Bwana ni mwingi wa huruma na mwenye neema;

si mwepesi wa hasira, bali amejaa upendo.

9103:9 Yer 3:5, 12; Mik 7:18; Isa 57:16; Za 30:5; 79:5Yeye hatalaumu siku zote,

wala haweki hasira yake milele,

10103:10 Ezr 9:13; Rum 6:23yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu

wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu.

11103:11 Efe 3:18; Za 13:5; 57:10; 100:5; 106:45; 117:2; Mao 3:22; 2Nya 6:31Kama vile mbingu zilivyo juu ya dunia sana,

ndivyo wema wake ulivyo mwingi kwa wanaomcha;

12103:12 2Sam 12:13; Rum 4:7; Efe 1:7; 2:5; Isa 43:25kama mashariki ilivyo mbali na magharibi,

ndivyo Mungu alivyoziweka dhambi zetu mbali nasi.

13103:13 Mal 3:17; Kum 8:5; 1Yn 3:1; Isa 63:15, 16Kama baba alivyo na huruma kwa watoto wake,

ndivyo Bwana anavyowahurumia wale wanaomcha;

14103:14 Za 119:73; 139:13-15; 146:4; Isa 29:16; Mwa 2:7kwa kuwa anajua tulivyoumbwa,

anakumbuka kwamba sisi tu mavumbi.

15103:15 Za 37:2; 90:5; 102:11; Yak 1:10; Isa 40:6; Ay 14:2Kuhusu mwanadamu, siku zake ni kama majani,

anachanua kama ua la shambani;

16103:16 Isa 40:7; Hag 1:9; Ay 7:8upepo huvuma juu yake nalo hutoweka,

mahali pake hapalikumbuki tena.

17103:17 Mwa 48:11; Ezr 9:12; Kut 20:6Lakini kutoka milele hata milele

upendo wa Bwana uko kwa wale wamchao,

nayo haki yake kwa watoto wa watoto wao:

18103:18 Yn 14:15; Kum 7:9; 28:9; Za 119:52; Hes 15:40; Za 47:8; 80:1; 113:5; 22:28; 66:7; Dan 4:17kwa wale walishikao agano lake

na kukumbuka kuyatii mausia yake.

19Bwana ameweka imara kiti chake cha enzi mbinguni,

ufalme wake unatawala juu ya vyote.

20103:20 Neh 9:6; Lk 2:13; Ebr 1:14; Za 29:1; 28:6; 107:25; 135:7; 148:8; Mt 6:10Mhimidini Bwana, enyi malaika zake,

ninyi mlio mashujaa mnaozitii amri zake,

ninyi mnaotii neno lake.

21103:21 1Fal 22:19; Neh 7:73; Dan 7:9; Mwa 32:2Mhimidini Bwana, ninyi jeshi lake lote la mbinguni,

ninyi watumishi wake mnaofanya mapenzi yake.

22103:22 Za 104:1; 67:3; 19:1; 145:10; 150:1, 6Mhimidini Bwana, kazi zake zote

kila mahali katika milki yake.

Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.