民数記 17 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

民数記 17:1-13

17

アロンの杖

1-3それから、主はモーセに命じました。「族長たちに、自分の名を彫った杖を持って来させなさい。アロンの名はレビ族の杖に彫る。 4十二本の杖を幕屋の契約の箱の前、わたしがあなたと会う場所に置きなさい。 5この杖で、わたしがだれを選ぶかを決めよう。わたしの選んだ者の杖は芽を出すのだ。これだけはっきりさせれば、彼らも不平は言わなくなるだろう。」

6十二人の族長は、それぞれモーセのところに杖を持って来ました。アロンの杖も入っています。 7モーセは、幕屋の奥の主の前にそれを置きました。

8翌日そこへ行ってみると、レビ族を代表するアロンの杖が芽を出し、花が咲き、アーモンドの実がなっているではありませんか。 9それを持って来て見せると、人々はあっけにとられ、ただ見つめるばかりです。それでも族長たちは気を取り直し、自分の杖を引き取りました。

10「アロンの杖を、この事件の苦い思い出として、いつまでも契約の箱のそばに置きなさい。アロンの権威を疑う者がまた出たら、それを見せてやりなさい。そうすれば、民が不平を言っていろいろな災難を被らずにすむだろう。」主がそう命じたので、 11モーセはそのとおりにしました。

12-13しかし人々は、それでもこりずに不平を言うのでした。「これでは、みんな死んだも同然だ。幕屋に近づくだけで死ぬのなら、だれも助かるわけないではないか。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 17:1-13

Kuchipuka Kwa Fimbo Ya Aroni

1Bwana akamwambia Mose, 217:2 Mwa 32:10; Kut 4:2; Hes 1:4“Sema na Waisraeli, na ujipatie fimbo kumi na mbili kutoka kwao, moja kutoka kwa kila mmoja wa viongozi wa kabila za baba zao. Andika jina la kila mtu kwenye fimbo yake. 317:3 Hes 1:3Kwenye fimbo ya Lawi andika jina la Aroni, kwa maana ni lazima iwepo fimbo moja kwa kila kiongozi kwa ajili ya kila kabila la baba zao. 417:4 Kut 1:3; 16:34; 25:22Ziweke hizo fimbo ndani ya Hema la Kukutania mbele ya Sanduku la Ushuhuda, mahali nikutanapo nawe. 517:5 Hes 16:5; Kut 16:7Fimbo ya mtu nitakayemchagua itachipuka, nami mwenyewe nitayakomesha haya manungʼuniko ya mara kwa mara ya Waisraeli dhidi yako.”

6Hivyo Mose akasema na Waisraeli, nao viongozi wao wakampa fimbo kumi na mbili, fimbo moja kwa ajili ya kila kabila la baba zao, nayo fimbo ya Aroni ikiwa miongoni mwa hizo. 717:7 Kut 38:21; Mdo 7:44Mose akaziweka hizo fimbo mbele za Bwana ndani ya Hema la Ushuhuda.

817:8 Hes 1:50; Eze 17:24; Ebr 9:4Siku iliyofuata Mose aliingia kwenye Hema la Ushuhuda akaona ile fimbo ya Aroni ambayo iliwakilisha jamaa ya Lawi haikuwa tu imechipuka, bali pia ilikuwa imetoa machipukizi, kuchanua maua na kuzaa malozi. 9Ndipo Mose akaleta zile fimbo zote kwa Waisraeli wote kutoka mbele za Bwana. Wakaziangalia, na kila mtu akaichukua fimbo yake mwenyewe.

1017:10 Kut 23:21; Za 66:7; 68:18; Mit 24:21Bwana akamwambia Mose, “Rudisha fimbo ya Aroni mbele ya Sanduku la Ushuhuda, ili ihifadhiwe kama alama kwa waasi. Hili litakomesha manungʼuniko yao dhidi yangu, ili kwamba wasife.” 11Mose akafanya kama Bwana alivyomwamuru.

1217:12 Amu 13:22; Isa 6:5; 15:1Waisraeli wakamwambia Mose, “Tutakufa! Tumepotea, sote tumepotea! 1317:13 Hes 1:51Yeyote akaribiaye Maskani ya Bwana atakufa. Je, sisi sote tutakufa?”