レビ記 9 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

レビ記 9:1-24

9

アロンによる最初の任務執行

1任職式の八日目にモーセは、アロン、その息子たち、イスラエルの指導者たちを集め、 2雄牛一頭を罪の赦しのためのいけにえとして、傷のない雄羊を焼き尽くすいけにえとして、主にささげるようアロンに命じました。 3「人々に、罪の赦しのためのいけにえ用に雄やぎを、焼き尽くすいけにえ用に傷のない一歳の子牛と子羊を用意させなさい。 4また、雄牛と雄羊を和解のいけにえ用に、また、オリーブ油でこねた小麦粉を穀物の供え物用に持って来させなさい。今日、主があなたがたに現れるからだ。」

5そこで人々は、命じられたとおりのものを幕屋の入口へ持って来て、主の前に立ちました。 6モーセは、「主のご命令に従えば、必ずそのご栄光を仰げるのだ」 7と言うと、アロンに、「祭壇に進み出て、罪の赦しのためのいけにえと、焼き尽くすいけにえをささげ、まず自分の罪の償いをし、次に民の罪の償いをしなさい」と命じました。主が命じたとおりです。

8アロンは祭壇に進み出て、自分の罪が赦されるためのいけにえとして、子牛をほふりました。 9息子たちがその血を手にすくうとアロンはそれに指を浸し、祭壇の角に塗り、残りは祭壇の土台に注ぎました。 10そして主の命令どおり、祭壇でいけにえの脂肪、腎臓、胆のうを焼きました。 11ただし、肉と皮は宿営の外で焼き捨てました。

12次に焼き尽くすいけにえを殺し、息子たちがその血をすくい、それをアロンが祭壇の回りに振りかけました。 13続いて息子たちは死体をばらばらにし、頭といっしょにアロンのところに持って来ました。アロンはそれを一つ残らず祭壇で焼きました。 14そして、内臓と足もきれいに洗い、焼き尽くすいけにえとして祭壇で焼きました。

15次は民のささげ物の番です。アロンは自分のときと同じ要領で、罪の赦しのためのいけにえとして、やぎをささげました。 16さらに、主の指示どおり、焼き尽くすいけにえもささげました。 17穀物の供え物がそれに続きます。その中から一つかみを取り、朝ごとのささげ物とは別に、祭壇で焼いてささげました。

18ついで、雄牛と雄羊をほふりました。民のための和解のいけにえです。アロンの息子たちがその血をアロンのところに持って行き、アロンは祭壇の回りに振りかけました。 19続いて、背骨に沿ってついている脂肪と内臓を覆う脂肪、腎臓と胆のうを取り出しました。 20脂肪はいけにえの胸に載せ、祭壇で焼きました。 21ただし胸と右ももは、モーセが命じたとおり、主の前でゆっくり揺り動かしてささげました。

22それから民に向かって両手を上げ、彼らを祝福し、罪の赦しのためのいけにえ、焼き尽くすいけにえ、和解のいけにえをささげて祭壇から降りました。 23今度はモーセとアロンがそろって幕屋に入ります。やがて出て来た二人が民を祝福すると、なんと彼らが見ている前で主の栄光が現れたのです。 24その時、主の火が下り、祭壇のいけにえと脂肪を焼き尽くしました。民はみな大声を上げ、ひれ伏しました。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 9:1-24

Makuhani Waanza Huduma Yao

19:1 Eze 43:27; Law 4:15Katika siku ya nane, Mose akawaita Aroni na wanawe, na wazee wa Israeli. 29:2 Law 4:3; 8:14-18Akamwambia Aroni, “Chukua ndama dume kwa ajili ya sadaka yako ya dhambi, na kondoo dume kwa sadaka yako ya kuteketezwa, wote wawili wasiwe na dosari, nao uwalete mbele za Bwana. 39:3 Law 4:3, 32; 10:16; Ezr 6:17; Isa 53:10; Rum 8:3; 1Pet 2:24Kisha waambie Waisraeli: ‘Chukueni mbuzi dume kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na ndama na mwana-kondoo, wote wawili wawe wa umri wa mwaka mmoja, na wasio na dosari, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, 49:4 Law 4:10; Kut 32:6; 29:43; 9:6; 16:7; 24:16; 40:34-35; 1Fal 8:10-12na pia maksai na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya amani, ili kutoa dhabihu mbele za Bwana, pamoja na sadaka ya nafaka iliyochanganywa na mafuta. Kwa kuwa leo Bwana atawatokea.’ ”

5Wakavileta vile vitu Mose alivyowaagiza mbele ya Hema la Kukutania, nalo kusanyiko lote likakaribia na kusimama mbele za Bwana. 6Ndipo Mose akasema, “Hili ndilo Bwana alilowaagiza mlifanye, ili utukufu wa Bwana upate kuonekana kwenu.”

79:7 Law 16:6; Kut 30:10; Ebr 4:1-4; 7:27; 1Sam 3:14Mose akamwambia Aroni, “Njoo madhabahuni ili utoe dhabihu yako ya sadaka ya dhambi na sadaka yako ya kuteketezwa, ufanye upatanisho kwa ajili yako mwenyewe na kwa ajili ya watu. Kisha utoe sadaka ya upatanisho kwa ajili ya watu, kama vile Bwana alivyoagiza.”

89:8 Law 4:1-12; 10:19; 9:9; Kut 29:12; Eze 43:20; Law 4:7; 8:15Hivyo Aroni akaja madhabahuni na kumchinja yule ndama kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe. 9Wanawe wakamletea damu, naye akachovya kidole chake katika hiyo damu, akaitia kwenye pembe za madhabahu, nayo damu iliyobaki akaimwaga chini ya madhabahu. 10Juu ya madhabahu akateketeza mafuta, figo na mafuta yanayofunika ini kutoka kwenye hiyo sadaka ya dhambi, kama Bwana alivyomwagiza Mose. 119:11 Law 4:11-12Akateketeza nyama na ngozi nje ya kambi.

129:12 Law 10:19Kisha Aroni akachinja sadaka ya kuteketezwa. Wanawe wakamletea damu, naye akainyunyiza pande zote za madhabahu. 139:13 Law 1:8-9Wakamletea sadaka ya kuteketezwa kipande kwa kipande, pamoja na kichwa, naye akaviteketeza juu ya madhabahu. 149:14 Isa 53:10; 1Kor 15:3; 2Kor 5:21; Gal 1:4; Ebr 2:17; 1Pet 2:24; 3:18Akasafisha sehemu za ndani na miguu, akaviteketeza juu ya sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu.

159:15 Law 4:27-31Kisha Aroni akaleta sadaka ile iliyokuwa kwa ajili ya watu. Akachukua yule mbuzi wa sadaka ya dhambi kwa ajili ya watu, akamchinja na kumtoa kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kama alivyofanya kwa ile ya kwanza.

169:16 Law 1:1-13Aroni akaleta sadaka ya kuteketezwa na kuitoa kama ilivyoelekezwa. 179:17 Law 2:1-2; 3:5; Kut 29:38; 9:18; Law 3:1-11Pia akaleta sadaka ya nafaka, akachukua konzi moja na kuiteketeza juu ya madhabahu, pamoja na sadaka ya kuteketezwa ya asubuhi.

18Akachinja maksai na kondoo dume kama sadaka ya amani kwa ajili ya watu. Wanawe Aroni wakampa ile damu, naye akainyunyiza kwenye madhabahu pande zote. 19Lakini sehemu zile za mafuta ya yule maksai na kondoo dume, yaani mafuta ya mkia, mafuta yaliyofunika tumbo, ya figo na yaliyofunika ini, 20hivi vyote wakaviweka juu ya vidari, kisha Aroni akayateketeza hayo mafuta ya wanyama juu ya madhabahu. 219:21 Kut 29:24-26; Law 7:30-34Aroni akaviinua vile vidari na paja la kulia mbele za Bwana ili viwe sadaka ya kuinuliwa, kama Mose alivyoagiza.

229:22 Mwa 48:20; Kut 39:43; Lk 24:50Kisha Aroni akainua mikono yake kuwaelekea watu na kuwabariki. Naye baada ya kutoa dhabihu ya sadaka ya dhambi, sadaka ya kuteketezwa, na sadaka ya amani, akashuka chini.

239:23 Kut 40:2; 24:16; 2Sam 6:18; 2Nya 16:2; Hes 16:19Kisha Mose na Aroni wakaingia kwenye Hema la Kukutania. Walipotoka nje, wakawabariki watu. Nao utukufu wa Bwana ukawatokea watu wote. 249:24 Kut 19:18; Amu 6:21; 13:20; 1Fal 18:39; Mwa 15:17; 2Nya 7:1; Ezr 3:1Moto ukaja kutoka uwepo wa Bwana, ukairamba ile sadaka ya kuteketezwa, pamoja na sehemu ya mafuta yaliyokuwa juu ya madhabahu. Watu wote walipoona jambo hili, wakapiga kelele kwa furaha na kusujudu.