レビ記 23 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

レビ記 23:1-44

23

主の祭り

1-2主はモーセに命じました。「主の祭りを毎年欠かさず守るよう、人々に言いなさい。その時には全国民が集まり、主を礼拝するのだ。 3この祭りは安息日とは別のものである。毎週六日間は仕事をし、七日目は休み、集まるのは礼拝のためだけとしなさい。あとは家で静かに過ごしなさい。この安息日は、どこにいても守らなければならない。

4あなたがたが毎年行う聖なる祝祭は、次のとおりである。

5まず過越の祭り。これは第一の月の十四日(太陽暦では三月末)に祝う。

6次は種なしパンの祭り。この祭りは過越の祭りの翌日から一週間、パン種を入れないパンを食べて祝う。 7最初の日はふだんの仕事をすべて休み、礼拝のために集まる。 8七日目も同様である。その間、毎日、火で焼くささげ物を神にささげる。

9-11次は刈り入れの祭り。わたしがあなたがたに与える国で最初の収穫を上げたなら、安息日の翌日に、そのうちの一束を祭司のところに持って来なさい。祭司は、主の前でその束を揺り動かしてささげる。わたしはそれを受け取ろう。 12同じ日に、焼き尽くすいけにえとして、一歳の傷のない雄の子羊をささげなさい。 13穀物の供え物もいっしょにささげなさい。細かくひいた上等の小麦粉四・六リットルをオリーブ油でこね、火で焼くささげ物としなさい。わたしはそれを受け入れる。また、ぶどう酒約一リットルを飲み物の供え物としてささげなさい。 14最初の収穫をささげ終えないうちは、どんな収穫物も食べてはならない。新麦もパンも炒り麦も食べてはならない。これは、イスラエルの代々守るべきおきてである。

15-16七週の祭りとして、最初の収穫をささげてから五十日目に、その後の収穫の中から、新しい穀物の供え物を持って来なさい。 17家で焼いたパンを二つ、主の前で揺り動かしてささげる。パンは、四・六リットルの小麦粉にパン種を入れて焼く。これは収穫物の初穂としてささげるのである。 18パンとぶどう酒といっしょに、傷のない一歳の子羊七頭と若い雄牛一頭、雄羊二頭を、焼き尽くすいけにえとして主にささげる。全部を火で焼いてささげる。それがわたしの受け入れるいけにえである。 19ほかに、罪の赦しのためのいけにえとして雄やぎ一頭を、和解のいけにえとして一歳の雄の子羊二頭をささげる。

20収穫物の初穂としてささげたパンといっしょに、祭司はこれらのいけにえを揺り動かして主にささげる。 21その日はすべての民が礼拝に集まる。どんな仕事もしてはならない。これは代々守るべきおきてである。 22刈り入れのときは、畑の隅々まで刈り取ってはならない。落ち穂を拾ってはいけない。貧しい人や土地を持たない在留外国人のために残しておきなさい。

23-24第七の月の一日(太陽暦では九月十五日)は、すべての民が礼拝に集まる聖なる記念日である。ラッパを高らかに吹き鳴らし、その時を告げなさい。 25その日は一日、どんな仕事もしてはならない。ただ、火で焼くささげ物を主にささげなさい。

26-27すべての民の罪を償う日はその九日後、あなたがたは主の前に集まり、めいめいの犯した罪を悔い、火で焼くささげ物をささげなければならない。 28その日は、どんな仕事もしてはならない。主の前で罪の償いをする特別な日だからだ。 29その日一日、罪を悔い改めて過ごさないような者はイスラエルから追放され、 30-31その日に仕事をするような者は死刑に処せられる。これはイスラエルの永遠のおきてである。 32その日は神聖な安息日だから、謙遜に罪を悔い改めなさい。前日の夕方から、当日の夕方まで丸一日、身を慎んで過ごしなさい。

33-34さらに五日後の第七の月の十五日(太陽暦では九月二十九日)からは、主の前に七日間の仮庵の祭りを祝う。 35最初の日はすべての民が仕事を休み、聖なる集会を開く。 36祭りの七日間は毎日、火で焼くささげ物を神にささげる。八日目にもう一度、すべての民の聖なる集会を開く。その日も火で焼くささげ物をささげる。これは結びの集会で、仕事はすべて休まなければならない。

37以上が毎年の祝祭である。その時は、すべての民が聖なる集会を開き、火で焼くいけにえをささげる。 38これらは毎週の安息日とは別に加えられるものである。ふだんのささげ物や誓願の供え物とは別のものをささげなければならない。

39なお、収穫の終わる時期に当たる第七の月の十五日から、この七日間の祭りを行う。祭りの最初の日と最終日は聖なる休息の日である。 40最初の日に、実のついた果物の木の大枝と、なつめやしの木の葉、川べりにある柳などの葉の茂った大枝を持って来て〔仮小屋を作り〕、主の前で七日間、共に喜び合う。 41この祭りは永遠のおきてである。 42イスラエルで生まれた者はみな、この七日間を仮小屋で過ごす。 43わたしがエジプトからあなたがたを救い出し、仮小屋に住ませたことを永遠に忘れないためだ。わたしはあなたがたの神、主である。」

44モーセは人々に、これらの祭りを毎年欠かさず守るよう教えました。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Walawi 23:1-44

Sikukuu Zilizoamriwa

1Bwana akamwambia Mose, 223:2 Hes 29:39; Eze 44:24; Kol 2:16; Isa 6:3; Mt 6:9; Yn 12:28; Kut 32:5; Hes 10:2-3; 2Nya 30:5“Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Hizi ndizo sikukuu zangu zilizoamriwa, sikukuu zilizoamriwa za Bwana, ambazo mtazitangaza kuwa makusanyiko matakatifu.

Sabato

323:3 Kut 20:9-10; Ebr 4:9-10; Kum 5:13; Hes 28:26; Lk 13:14; Neh 13:22; Isa 56:2; 58:13“ ‘Kuna siku sita mnazoweza kufanya kazi, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika, siku ya kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi yoyote. Popote mnapoishi, ni Sabato kwa Bwana.

Pasaka Na Mikate Isiyotiwa Chachu

(Hesabu 28:16-25)

423:4 Nah 1:15; Kut 23:14“ ‘Hizi ni sikukuu za Bwana zilizoamriwa, makusanyiko matakatifu mtakayoyatangaza kwa nyakati zilizoamriwa: 523:5 Kut 12:6-11; Hes 28:16-17; Kum 16:1-8; Yos 5:10Pasaka ya Bwana huanza jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. 623:6 Kut 12:17-19Siku ya kumi na tano ya mwezi huo wa kwanza, Sikukuu ya Bwana ya Mikate Isiyotiwa Chachu huanza; kwa siku saba, mtakula mikate isiyotiwa chachu. 7Katika siku ya kwanza, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida. 8Kwa siku saba mtamletea Bwana sadaka ya kuteketezwa kwa moto. Kwenye siku hiyo ya saba mtafanya kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida.’ ”

Malimbuko

9Bwana akamwambia Mose, 1023:10 Hes 15:2; Law 19:9; Kut 22:29; 34:22; Rum 11:16; Kum 16:9; Yos 3:15; Mit 3:9; 1Kor 15:20; Yak 1:18“Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi nitakayowapa na kuvuna mazao ya nchi hiyo, leteni kwa kuhani mganda wa nafaka ya kwanza mtakayovuna. 1123:11 Kut 29:24; 28:38; Law 9:21; 10:14Naye atauinua huo mganda mbele za Bwana ili ukubaliwe kwa niaba yenu; kuhani ataupunga siku inayofuata Sabato. 1223:12 Law 12:6; Kut 12:5Siku hiyo mtakapoinua huo mganda, lazima mtoe kwa Bwana dhabihu ya kuteketezwa kwa moto ya mwana-kondoo wa mwaka mmoja asiye na dosari, 1323:13 Law 2:14-16; 6:20; 10:9; 24:5; Hes 15:6; 28:9; Mwa 35:14pamoja na sadaka yake ya nafaka ya sehemu mbili za kumi za efa23:13 Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo mbili. za unga laini uliochanganywa na mafuta, sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kupendeza, na sadaka yake ya kinywaji ya robo ya hini23:13 Robo ya hini ni sawa na lita moja. ya divai. 1423:14 Yos 5:11; Rut 2:14; 1Sam 17:17; 25:18; 2Sam 17:28; Kut 34:26; Law 3:17; Hes 10:8; 15:21; Yer 2:3Kamwe msile mkate wowote, au nafaka iliyokaangwa au nafaka mpya, mpaka siku ile mtakayomletea Mungu wenu sadaka hii. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo, popote mnapoishi.

Sikukuu Ya Majuma

(Hesabu 28:26-31)

15“ ‘Tangu siku ile iliyofuata Sabato, siku mliyotoa sadaka ya mganda wa kuinuliwa, hesabuni majuma saba kamili. 1623:16 Mdo 20:16; 2:1; Hes 28:26Mtahesabu siku hamsini mpaka siku inayofuata Sabato ya saba, ndipo mtatoa sadaka ya nafaka mpya kwa Bwana. 1723:17 Kut 34:22; 23:16; Hes 15:17-19Kutoka popote mnapoishi, mtaleta mikate miwili ya unga laini, sehemu mbili za kumi za efa, uliookwa kwa chachu, kuwa sadaka ya kuinuliwa ya malimbuko kwa Bwana. 1823:18 Kut 29:41; 30:9; 37:16; Yer 19:13; 44:18Toeni pamoja na hiyo mikate wana-kondoo saba, kila mmoja wa mwaka mmoja asiye na dosari, na fahali mchanga, na kondoo dume wawili. Watakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto iliyotolewa kwa Bwana, pamoja na sadaka za nafaka na sadaka za vinywaji, sadaka iliyotolewa kwa moto yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana. 1923:19 Hes 28:30; Law 4:23Kisha toeni dhabihu ya mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na wana-kondoo wawili, kila mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya amani. 2023:20 Kut 29:24Kuhani atawainua hao wana-kondoo wawili mbele za Bwana kuwa sadaka ya kuinuliwa, pamoja na mkate wa malimbuko. Ni sadaka takatifu kwa Bwana kwa ajili ya kuhani. 2123:21 Kut 32:5Siku iyo hiyo mtatangaza kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo, popote mnapoishi.

2223:22 Law 19:9-10; Kum 24:19-21; Rut 2:2, 15; Kut 23:11; Kum 15:1-18; Ay 20:19; Za 112:9; Mit 14:31; Isa 58:7-8; Yak 2:1“ ‘Mnapovuna mavuno ya ardhi yenu, msivune hadi mpakani mwa shamba lenu, au kukusanya masazo ya mavuno yenu. Hayo utayaacha kwa ajili ya maskini na mgeni. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.’ ”

Sikukuu Ya Tarumbeta

(Hesabu 29:1-6)

23Bwana akamwambia Mose, 2423:24 Ezr 3:1; Hes 10:9-10; 29:1; 31:6; 2Fal 11:14; 2Nya 13:12; Za 98:6“Waambie Waisraeli: ‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa na siku ya mapumziko, kusanyiko takatifu la ukumbusho litakaloadhimishwa kwa kupiga tarumbeta. 25Msifanye kazi zenu zozote za kawaida, lakini toeni sadaka kwa Bwana iliyoteketezwa kwa moto.’ ”

Siku Ya Upatanisho

(Hesabu 29:7-11)

26Bwana akamwambia Mose, 2723:27 Law 16:29; Kut 30:10; Hes 29:7; Isa 58:3-5; Dan 10:3, 12“Siku ya kumi ya mwezi huu wa saba ni Siku ya Upatanisho. Mtafanya kusanyiko takatifu, mfunge, nanyi mtoe sadaka kwa Bwana ya kuteketezwa kwa moto. 28Msifanye kazi siku hiyo, kwa sababu ni Siku ya Upatanisho, ambapo upatanisho unafanyika kwa ajili yenu mbele za Bwana Mungu wenu. 2923:29 Mwa 17:14; Law 7:20; Hes 5:2Mtu yeyote ambaye hatafunga siku hiyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake. 3023:30 Law 20:3Mtu yeyote atakayefanya kazi siku hiyo nitamwangamiza kutoka miongoni mwa watu wake. 3123:31 Law 3:17Hamtafanya kazi kamwe. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo popote mnapoishi. 3223:32 Law 16:31; Neh 13:19Ni Sabato ya mapumziko kwenu ninyi, na lazima mfunge. Tangu jioni ya siku ya tisa ya mwezi hadi jioni inayofuata, mtaishika Sabato yenu.”

Sikukuu Ya Vibanda

(Hesabu 29:12-40)

33Bwana akamwambia Mose, 3423:34 1Fal 8:2; Hag 2:1; Kut 23:16; Yn 7:2, 37; Kut 34:22; Ezr 3:4; Neh 8:14; Zek 14:16“Waambie Waisraeli: ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, Sikukuu ya Bwana ya vibanda itaanza, nayo itaadhimishwa kwa siku saba. 35Siku ya kwanza ni kusanyiko takatifu, msifanye kazi zenu za kawaida. 3623:36 1Fal 8:2; 2Nya 7:9; Neh 8:18; Yn 7:37; Law 1:9Kwa siku saba toeni sadaka kwa Bwana za kuteketezwa kwa moto. Kwenye siku ya nane fanyeni kusanyiko takatifu, na mtoe sadaka kwa Bwana ya kuteketezwa kwa moto. Ni kusanyiko la mwisho, msifanye kazi zenu za kawaida.

37(“ ‘Hizi ni sikukuu za Bwana zilizoamriwa, ambazo mtazitangaza kuwa makusanyiko matakatifu kwa kuleta sadaka kwa Bwana za kuteketeza kwa moto: sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka, dhabihu na sadaka za vinywaji zitahitajika kila siku. 3823:38 Kut 20:10; 2Nya 2:4; Eze 45:17; Law 7:16Sadaka hizi ni nyongeza ya zile mnazozitoa katika Sabato za Bwana, na pia ni nyongeza ya matoleo yenu ya chochote mlichoweka nadhiri, na sadaka zenu zote za hiari mnazozitoa kwa Bwana.)

3923:39 Isa 62:9; Kut 23:16; Kum 16:13; Mt 21:8“ ‘Basi kuanzia siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, baada ya kuvuna mazao yote ya nchi, mtaadhimisha sikukuu kwa Bwana kwa siku saba; siku ya kwanza ni mapumziko, pia siku ya nane ni mapumziko. 4023:40 Za 9:2; 66:6; 105:43; 118:27; 137:2; Neh 8:10, 14-17; Isa 44:4; Kum 12:7; 14:26; 28:47; Yoe 2:26Siku ya kwanza mtachukua matunda mazuri ya miti, matawi ya mitende, matawi yenye majani mengi, na matawi ya mirebi, nanyi mtashangilia mbele za Bwana Mungu wenu kwa siku saba. 41Mtaadhimisha siku hii kuwa sikukuu kwa Bwana kwa siku saba kila mwaka. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo; iadhimisheni mwezi wa saba. 4223:42 Kut 23:16; Neh 8:14-16Mtaishi katika vibanda kwa siku saba: Wazawa wote wa Waisraeli wataishi katika vibanda, 4323:43 Kum 31:13; Za 78:5ili wazao wenu wajue kuwa niliwafanya Waisraeli waishi kwenye vibanda nilipowatoa Misri. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.’ ”

44Kwa hiyo Mose akawatangazia Waisraeli sikukuu zilizoamriwa na Bwana.