ミカ書 5 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

ミカ書 5:1-15

5

ベツレヘムから出る約束の王

1軍を結集せよ。

敵がエルサレムを包囲している。

彼らは、イスラエルを治める者の頬を杖で打つ。

2「ベツレヘム・エフラテよ。

あなたはユダの小さな村にすぎないが、

永遠の昔から生きている、

イスラエルの支配者が生まれる地となる。」

3神は、子を産む女が男の子を産むまで、

ご自分の民を敵に渡す。

そののち、彼の同胞、

捕囚の地で生き残ったイスラエル人が、

ついに故国の兄弟たちのもとに帰る。

4その王は立ち上がり、主の力によって、

彼の神、主の御名の威光によって群れを養う。

民は、そこで平安な生活を営む。

この方が全世界からほめたたえられるからだ。

5この方は私たちの平和となる。

アッシリヤが攻め入り、

私たちの領土を踏みにじる時、

この方は、

七人の牧者と八人の指導者を立てる。

6彼らは抜き身の剣でアッシリヤを支配し、

ニムロデの地(バビロニヤ)の門に入る。

アッシリヤ人が私たちの国に侵入する時、

この方が私たちを救い出す。

7その時、イスラエルの国民は、

そっと下りる露や待ちに待った雨のように、

世界を潤してさわやかにする。

彼らはもはや人に望みを置かない。

8イスラエルはライオンのように強くなり、

その前で、世界の国々は羊のようにおとなしくなる。

9イスラエルが敵の前に立ちはだかると、

敵はひとたまりもない。

10主はこう告げます。

「その日、あなたが頼みにしている武器を

一つ残らず破壊し、

11城壁を破壊し、要塞を取り壊そう。

12わたしはいっさいの魔術の息の根を止める。

運勢を占う易者はどこにもいなくなる。

13また、すべての偶像を壊す。

あなたはもう二度と、

自分たちで造った物を拝まない。

14わたしがあなたの間から異教の宮を取り除き、

偶像の宮がある町々を破壊するからだ。

15わたしは、わたしに従うことを拒む国々に復讐し、

思い知らせよう。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mika 5:1-15

Mtawala Aliyeahidiwa Kutoka Bethlehemu

15:1 Ay 16:10; Mt 27:30; Mao 3:30Panga majeshi yako, ee mji wa majeshi,

kwa kuwa kuzingirwa kumepangwa dhidi yetu.

Watampiga mtawala wa Israeli

shavuni kwa fimbo.

25:2 Yn 7:42; Mwa 35:19; 48:7; 1Sam 13:14; Hes 24:19; 2Sam 6:21; 2Nya 7:18; Za 90:2; 132:6; 102:25; Isa 9:6; Mit 8:22; Yn 1:1; Mt 2:6“Lakini wewe, Bethlehemu Efrathi,

ingawa u mdogo miongoni mwa koo za Yuda,

kutoka kwako atatokea kwa ajili yangu

yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli,

ambaye asili yake ni kutoka zamani,

kutoka milele.”

35:3 Yer 7:29Kwa hiyo Israeli utaachwa mpaka wakati

mwanamke aliye na utungu atakapozaa

na ndugu zake wengine warudi

kujiunga na Waisraeli.

45:4 Isa 40:11; 49:9; 52:13; Za 72:8; Zek 9:10; Mik 7:14; Eze 34:11-15; Lk 1:32Atasimama na kulichunga kundi lake

katika nguvu ya Bwana,

katika utukufu wa jina la Bwana Mungu wake.

Nao wataishi kwa usalama, kwa kuwa wakati huo

ukuu wake utaenea hadi miisho ya dunia.

55:5 Isa 8:7; 9:6; 10:24-27; Lk 2:14; Efe 2:14; Kol 1:19-20Naye atakuwa amani yao.

Ukombozi Na Uharibifu

Wakati Mwashuru atakapovamia nchi yetu

na kupita katika ngome zetu,

tutawainua wachungaji saba dhidi yake,

hata viongozi wanane wa watu.

65:6 Mwa 10:8; Sef 2:13; Lk 1:71; Nah 2:11-13Wataitawala nchi ya Ashuru kwa upanga,

nchi ya Nimrodi kwa upanga.

Atatuokoa kutoka kwa Mwashuru

atakapoivamia nchi yetu

na kuingia katika mipaka yetu.

75:7 Amo 5:15; Mik 2:12; Isa 44:4; Za 110:3; 133:3Mabaki ya Yakobo yatakuwa

katikati ya mataifa mengi

kama umande kutoka kwa Bwana,

kama manyunyu juu ya majani,

ambayo hayamngoji mtu

wala kukawia kwa mwanadamu.

85:8 Mwa 49:9; Mik 4:13; Zek 10:5; Isa 5:29; Za 50:22; Hos 5:14Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa,

katikati ya mataifa mengi,

kama simba miongoni mwa wanyama wa msituni,

kama mwana simba miongoni

mwa makundi ya kondoo,

ambaye anaumiza vibaya na kuwararua

kila anapopita katikati yao,

wala hakuna awezaye kuokoa.

95:9 Za 10:12Mkono wako utainuliwa juu kwa ushindi juu ya watesi wako,

nao adui zako wote wataangamizwa.

105:10 Kut 15:4, 19; Hos 14:3; Hag 2:22; Zek 9:10“Katika siku ile,” asema Bwana,

“nitaangamiza farasi zenu katikati yenu

na kubomoa magari yenu ya vita.

115:11 Kum 29:23; Isa 6:11; Mao 2:2; Hos 10:14; Amo 5:9Nitaiangamiza miji ya nchi yenu

na kuziangusha chini ngome zenu zote.

125:12 Kum 18:10-12; Isa 8:19; 2:9Nitaangamiza uchawi wenu

na hamtapiga tena ramli.

135:13 Nah 1:14; Hos 2:10; Isa 2:8; 2:18; Eze 6:9; Zek 13:2Nitaangamiza vinyago vyenu vya kuchonga

na mawe yenu ya ibada yatoke katikati yenu;

hamtasujudia tena

kazi ya mikono yenu.

145:14 Kut 34:13; Amu 3:7; 2Fal 17:10Nitangʼoa nguzo za Ashera katikati yenu

na kubomoa miji yenu.

155:15 Isa 65:12Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu

juu ya mataifa ambayo hayajanitii.”