サムエル記Ⅱ 6 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

サムエル記Ⅱ 6:1-23

6

エルサレムに運ばれた神の箱

1-2このあと、ダビデはえり抜きの兵三万を率いて、ユダのバアラへ出かけました。ケルビム(天使を象徴する像)の上に座す、天地の主なる神の契約の箱を持ち帰るためです。 3神の箱は真新しい牛車に載せられ、丘の中腹にあるアビナダブの家から運び出されました。御者はアビナダブの子ウザとアフヨでした。 4アフヨが先導を務め、 5ダビデをはじめイスラエルの指導者たちがあとに続きました。一行は木の枝を振りかざし、主の前で、竪琴、琴、タンバリン、カスタネット、シンバルなど、ありとあらゆる楽器を鳴らして喜び踊りました。

6ところが、ナコンの打ち場まで来た時、牛がつまずいたので、ウザはあわてて手を伸ばし、神の箱を手で押さえようとしました。 7とたんに、主の怒りがウザに向かって燃え上がりました。箱にさわったため、ウザは主に打たれ、箱のそばで息絶えました。 8この出来事にダビデは憤慨し、そこをペレツ・ウザ〔ウザへの怒り〕と呼びました。今もそう呼ばれています。

9ダビデはすっかり主を恐れ、「とても主の箱を私の所に持って帰ることはできない」と言って、 10それをダビデの町へ移すことを中断し、ガテ出身のオベデ・エドムの家に預けることにしました。 11こうして主の箱は、三か月間オベデ・エドムの家に置かれました。主は彼の家を祝福しました。

12そのことを聞いたダビデは、大いに祝って、神の箱をオベデ・エドムの家からダビデの町へ運ぶことにしました。 13主の箱をかつぐ者たちが六歩進んだ時、ダビデは太った牛と子羊をいけにえにささげました。 14ダビデは、主の前で力の限り踊りました。彼は祭司の服をまとっていました。 15全イスラエルは歓声を上げ、ラッパを吹き鳴らして、主の箱をダビデの町に運び込みました。

16しかし、行列が町に入って来るのを窓から眺めていたサウルの娘ミカルは、主の前で跳ねたり踊ったりしているダビデを見て、心の中で彼を軽蔑しました。

17主の箱は、ダビデが用意しておいた天幕に安置されました。ダビデは主に、焼き尽くすいけにえと和解のいけにえをささげました。 18それから、天地を支配しておられる主の名によって民を祝福し、 19男にも女にもすべての民にパン一個、ぶどう酒、干しぶどうの菓子一個をふるまいました。それが終わると、みな家に引き揚げ、 20ダビデも、家族を祝福するために戻って行きました。

ところが、ダビデを迎えに出たミカルは、うんざりした様子で言いました。「今日は、なんとまあごりっぱな王様ぶりでしたこと! 道の真ん中、それも女たちの前で裸におなりになるなんて。」

21「私は、おまえの父やその一族にまさって、神の民イスラエルの指導者として選んでいただいた主の前で踊ったのだ。その主の前で喜びを表すためなら、たとえ気がおかしくなったと言われてもかまわない。 22いや、もっと愚か者のように思われてもよい。その女たちは、きっとわかって敬ってくれるだろう。」

23このミカルは、生涯、子どもが与えられませんでした。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Samweli 6:1-23

Sanduku La Mungu Laletwa Yerusalemu

(1 Nyakati 13:1-14; 15:25–16:6, 43)

16:1 Za 80:1; 1Nya 13:5Tena Daudi akakusanya watu 30,000 wa Israeli waliochaguliwa. 26:2 Yos 15:9; 1Sam 4:4; 7:1; Law 24:16; Kum 28:10; Isa 63:10; Za 99:1; 132:14; Mwa 3:24; Kut 25:22Yeye na watu wake wote wakatoka Baala ya Yuda6:2 Baala ya Yuda ni jina la Kiebrania; yaani Kiriath-Yearimu. kulipandisha Sanduku la Mungu kutoka huko, linaloitwa kwa Jina, naam, jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote, ambaye anaketi katika kiti cha enzi kati ya makerubi walioko juu ya hilo Sanduku. 36:3 Hes 7:4-6; 1Sam 6:7; 2Sam 7:1Wakaweka hilo Sanduku la Mungu juu ya gari jipya la kukokotwa na kulileta kutoka nyumba ya Abinadabu, iliyokuwa juu ya kilima. Uza na Ahio, wana wa Abinadabu, walikuwa wakiongoza hilo gari jipya la kukokotwa 4likiwa na Sanduku la Mungu juu yake, naye Ahio alikuwa anatembea akiwa mbele yake. 56:5 Kut 15:20; Ezr 3:10; Neh 12:27; Za 105:5Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wanacheza mbele za Bwana kwa nguvu zao zote, kwa nyimbo, vinubi, zeze, matari, kayamba na matoazi.

66:6 Hes 4:15, 19-20; 1Nya 13:9Walipofika kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Nakoni, Uza akanyoosha mkono na kulishika Sanduku la Mungu kwa sababu maksai walijikwaa. 76:7 1Nya 15:13-15; Kut 19:23; 1Sam 5:6; 6:19; 25:32Hasira ya Bwana ikawaka dhidi ya Uza kwa sababu ya kitendo chake cha kukosa heshima, kwa hiyo Mungu akampiga akafia papo hapo kando ya Sanduku la Mungu.

86:8 Za 7:11; Mwa 38:29Ndipo Daudi akakasirika kwa sababu ghadhabu ya Bwana ilifurika dhidi ya Uza, hivyo hadi leo mahali hapo panaitwa Peres-Uza.

96:9 1Sam 6:20; Za 119:120; Hes 17:12-13; 1Sam 5:10-11; Lk 5:8Daudi akamwogopa Bwana siku ile, akasema, “Ni jinsi gani Sanduku la Bwana litakavyoweza kunijia?” 106:10 1Nya 15:18; 26:4-5; 13:13Hakuwa radhi kulichukua Sanduku la Bwana kwake katika Mji wa Daudi. Badala yake akalipeleka kwenye nyumba ya Obed-Edomu, Mgiti. 116:11 Mwa 30:27; 39:5; Mit 3:9-10; Isa 61:9Sanduku la Bwana likabaki katika nyumba ya Obed-Edomu, Mgiti, kwa miezi mitatu, naye Bwana akambariki pamoja na nyumba yake yote.

126:12 1Fal 8:1; 1Nya 15:25Kisha Mfalme Daudi akaambiwa, “Bwana ameibariki nyumba ya Obed-Edomu pamoja na kila alicho nacho, kwa sababu ya Sanduku la Mungu.” Basi Daudi akateremka na kulipandisha Sanduku la Mungu kutoka nyumba ya Obed-Edomu hadi Mji wa Daudi kwa shangwe. 136:13 1Fal 8:5, 62; Ezr 6:17; Hes 4:15; Yos 3:3; 1Nya 15:2, 15; 2Nya 5:6Wale waliokuwa wamebeba Sanduku la Bwana walipokuwa wametembea hatua sita, Daudi alitoa dhabihu fahali na ndama aliyenoneshwa. 146:14 Kut 19:6; 1Sam 2:18; Kut 15:20; Amu 11:34; 21:21; Za 30:11; 1Nya 15:27Daudi, akiwa amevaa kisibau cha kitani, alicheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote, 156:15 Yos 6:5; Za 47:5; 98:6wakati yeye na nyumba yote ya Israeli walipopandisha Sanduku la Bwana kwa shangwe na sauti za tarumbeta.

166:16 2Sam 5:7; 1Sam 18:27Ikawa Sanduku la Bwana lilipokuwa linaingia katika Mji wa Daudi, Mikali binti Sauli akachungulia dirishani. Naye alipomwona Mfalme Daudi akirukaruka na kucheza mbele za Bwana, akamdharau moyoni mwake.

176:17 1Fal 8:6; 1Nya 15:1; 2Nya 1:4; Law 1:1-17; 1Fal 8:62-64; Za 132:8Wakaleta Sanduku la Bwana na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamisha kwa ajili yake, naye Daudi akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Bwana. 186:18 1Fal 8:22; Kut 39:43Baada ya kumaliza kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, Daudi akawabariki watu katika jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote. 196:19 Hos 3:1; Kum 26:13; Neh 8:10Kisha akatoa mkate, andazi la tende na andazi la zabibu kavu kwa kila mtu katika mkutano wote wa Waisraeli, wanaume kwa wanawake. Nao watu wote wakaenda nyumbani kwao.

206:20 1Sam 19:24; Mhu 7:16; Isa 59:15; Amu 9:4Daudi aliporudi ili kuwabariki watu wa nyumbani mwake, Mikali binti Sauli akatoka nje kumlaki, akamwambia, “Tazama jinsi mfalme wa Israeli alivyojibainisha mwenyewe leo kwa kuvua mavazi yake machoni pa vijakazi wa watumishi wake, kama vile ambavyo mtu asiye na adabu angelifanya!”

216:21 1Sam 13:14; 15:28; 2Sam 5:2; 7:8; 1Nya 5:2; 17:7; Mik 5:2Daudi akamwambia Mikali, “Nilifanya hivyo mbele za Bwana ambaye alinichagua mimi badala ya baba yako au mwingine yeyote kutoka nyumba yake wakati aliponiweka niwe mtawala juu ya Israeli, watu wa Bwana. Kwa hiyo nitacheza mbele za Bwana. 22Nitakuwa asiye na heshima zaidi kuliko sasa, nami nitajishusha machoni pangu mwenyewe. Lakini kwa hawa vijakazi uliosema habari zao nitaheshimiwa.”

236:23 1Sam 15:35; Isa 22:14Naye Mikali binti Sauli hakuwa na watoto mpaka siku ya kufa kwake.