エレミヤ書 25 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

エレミヤ書 25:1-38

25

七十年間の捕虜生活

1ユダのすべての民にあてられた次のことばは、ヨシヤの子でユダ王国のエホヤキム王の治世の第四年に、主がエレミヤに語ったものです。この年に、バビロンのネブカデネザル王が即位しました。

2-3アモンの子でユダ王国のヨシヤ王の第十三年から今まで、二十三年間にわたって、私に神のことばがありました。私はそのことばを忠実に伝えたのに、あなたがたは聞こうとしませんでした。 4神は何度も、ご自分の預言者を遣わしたのに、あなたがたは耳をふさぎました。 5神のことばは、いつも次のようなものでした。「悪の道から離れ、悪事から足を洗いなさい。そうすれば、わたしがおまえたちと先祖に与えたこの地に、いつまでも住むことができる。 6偶像礼拝という大それたことをして、わたしを怒らせてはならない。わたしに真実を尽くすなら、害は加えない。 7だがおまえたちは、わたしのことばを聞こうとしなかった。かえって、まっしぐらに悪の道に進み、偶像のことでわたしを怒らせた。ありとあらゆる災いを受ける結果を、自ら招いた。」

8-9そして今、天の軍勢の主である神は、こう宣告します。「おまえたちはわたしのことばを聞かなかったので、わたしの代理人に立てたバビロンのネブカデネザル王の率いる北方軍団を呼び、この国と住民、それに周囲の国々を攻めさせる。こうして、おまえたちを徹底的に滅ぼし、永久にさげすみの代名詞とする。 10喜びと楽しみ、結婚式の喜びを取り除く。事業は失敗し、家庭は暗闇に閉ざされる。 11国の全土は見渡す限りの荒れ地となるので、全世界の人は、おまえたちに降りかかった災害を知ってショックを受ける。イスラエルと近隣諸国は、七十年間バビロン王に仕える。 12この奴隷の期間が終わったら、わたしはバビロン王とその国の民を、彼らの罪のために罰する。カルデヤの地を永久に荒れ果てた所とする。 13この書の中で約束した恐ろしい災害、エレミヤが国々に宣告した刑罰を全部、この地にもたらす。 14多くの国々と強い王たちは、カルデヤ人がわたしの民を奴隷にしたように、今度はカルデヤ人を奴隷にする。わたしは彼らを、彼らがわたしの民を扱った基準に従って罰する。」

15主は私に、こう語りました。「わたしの手から、わたしの憤りがなみなみとつがれているぶどう酒の杯を取り、わたしがあなたを遣わす、すべての国々の人に飲ませなさい。 16彼らは飲んでふらつき、わたしが下す致命的打撃によって錯乱状態になる。」 17そこで、私は主の手から憤りの杯を取り、遣わされたすべての国々の人に飲ませました。 18私はエルサレムとユダの町々へ行きました。すると、王と長官はその杯から飲んだので、その日以来、彼らはみじめな状態になり、憎まれ、のろわれるようになりました。 19-20私はまた、エジプトの王とその家来、指導者とすべての国の民のところへ行きました。彼らもまた、その地に住む外国人ともども、この恐怖の杯から飲みました。ウツの地のすべての王、ペリシテの町々の王、すなわちアシュケロン、ガザ、エクロン、アシュドデの残りの者にも、同じようにしました。 21私はさらにエドム、モアブ、アモンの国々へ行きました。 22またツロとシドンのすべての王、海の向こうにある地方の王、 23デダン、テマ、ブズ、およびそこにいる異教の民、 24アラビヤのすべての王、荒野の遊牧民のすべての王、 25ジムリ、エラム、メディヤのすべての王、 26北方のすべての王を、一人一人訪ね、地上のすべての王国を巡りました。最後に、バビロンの王自身が、神の憤りを盛ったこの杯から飲みました。 27「あなたは彼らにこう言いなさい。『イスラエルの神である天の軍勢の主は言う。酔っ払って、嘔吐し、二度と立てなくなるまで、わたしの憤りを盛ったこの杯から飲め。おまえたちに恐ろしい戦争を送るからだ。』

28もし杯を受け取らないなら、こう言いなさい。『天の軍勢の主は、どうしてもこれを飲めと命じている。避けるわけにはいかない。 29すでに、自分の民さえ罰し始めているからだ。おまえたちだけ無罪放免になるわけがない。どんなにもがいても、刑罰を免れることはできない。わたしは地上の全住民に戦争を呼び寄せる。』

30だから、彼らに預言して言え。

主は天の聖所から自分の民に呼びかけ、

全世界の民に呼びかける。

『主は、

酒ぶねの中でぶどうの実を踏みつぶす者のように、

大声を張り上げる。

31このさばきの叫び声は、地の果てまで届く。

神が全世界の人をさばき、すべての悪者を殺すからだ。』

32天の軍勢の主はこう言う。

『刑罰が国から国へと渡り歩き、

神の憤りの暴風は地の果てまで吹きつける。

33その日、主に殺される者は地の果てから果てまで及ぶ。だれも彼らのために嘆き悲しんだり、死体を埋葬したりしないので、彼らは地の肥やしとなる。

34悪い羊飼いよ、泣きわめけ。

民の指導者よ、石に頭を打ちつけよ。

おまえたちが虐殺され、散らされる時がきたからだ。

おまえたちは弱々しい女性のように倒れる。

35逃げ隠れする場所を探しても、

どこにも見つからない。

36羊飼いの半狂乱の叫び声、

指導者の絶望まじりの叫び声を聞くがいい。

わたしは彼らの牧場を荒らしたのだ。

37今まで平穏無事な生活を送ってきた者も、

主の激しい怒りによって切り倒される。

38神は、獲物を探すライオンのように、

忍び足で出て行った。

主の激しい怒りのために、

彼らの国は侵入してくる軍隊によって荒れ果てた。』」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yeremia 25:1-38

Miaka Sabini Ya Kuwa Mateka

125:1 2Fal 24:2; Yer 46:2Neno likamjia Yeremia kuhusu watu wote wa Yuda, katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa kwanza wa utawala wa Nebukadneza mfalme wa Babeli. 225:2 Yer 18:11Hivyo nabii Yeremia akawaambia watu wote wa Yuda na wale wote waishio Yerusalemu: 325:3 1Nya 3:14; Yer 11:7; 26:5; 7:26; Isa 65:12Kwa miaka ishirini na mitatu, kuanzia mwaka wa kumi na tatu wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda, hadi siku hii ya leo, neno la Bwana limekuwa likinijia, nami nimesema nanyi mara kwa mara, lakini hamkusikiliza.

425:4 Yer 6:17; 29:19; 7:25-26Ingawa Bwana amewatuma watumishi wake wote hao manabii kwenu mara kwa mara, hamkusikiliza wala hamkujali. 5Walisema, “Geukeni sasa, kila mmoja wenu kutoka njia yake mbaya na matendo yake maovu, ndipo mtaweza kukaa katika nchi ambayo Bwana aliwapa ninyi na baba zenu milele. 625:6 Kut 20:3; Kum 8:19Msiifuate miungu mingine ili kuitumikia na kuiabudu. Msinikasirishe kwa vitu ambavyo mmevitengeneza kwa mikono yenu.”

725:7 Kum 32:21; 2Fal 17:20; Yer 7:19“Lakini ninyi hamkunisikiliza mimi, tena mkanikasirisha kwa vitu mlivyovitengeneza kwa mikono yenu, nanyi mmejiletea madhara juu yenu wenyewe,” asema Bwana.

8Kwa hiyo Bwana Mwenye Nguvu Zote asema hivi: “Kwa sababu hamkuyasikiliza maneno yangu, 925:9 Isa 13:3-5; 14:31; 41:2; 2Nya 29:8; Yer 18:16; Hes 21:2; Eze 12:20nitayaita mataifa yote ya kaskazini na mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli,” asema Bwana. “Nitawaleta waishambulie nchi hii na wakazi wake wote, na dhidi ya mataifa yote yanayowazunguka. Nitawaangamiza kabisa na kuwafanya kitu cha kuchukiwa na kudharauliwa, na kuwa magofu daima. 1025:10 Isa 24:8; Eze 26:13; Yer 7:34; Mhu 12:3-4; Mao 5:15; Ufu 18:22-23; 15:5Nitawaondolea sauti ya shangwe na furaha, sauti ya bibi na bwana arusi, sauti ya mawe ya kusagia, na mwanga wa taa. 1125:11 Law 26:31-32; Yer 12:11-12; 28:14; 4:26-27; 2Nya 36:21Nchi hii yote itakuwa ukiwa na isiyofaa kitu, nayo mataifa haya yatamtumikia mfalme wa Babeli kwa miaka sabini.”

1225:12 Yer 27:7; 29:10; Isa 13:19-22; 14:22-23; Mwa 10:10; Za 137:8“Lakini miaka sabini itakapotimia, nitamwadhibu mfalme wa Babeli na taifa lake na nchi ya Wakaldayo kwa ajili ya hatia yao,” asema Bwana. “Nitaifanya kuwa ukiwa milele. 1325:13 Isa 30:8Nitaleta juu ya nchi hiyo mambo yote niliyosema dhidi yake, yote yaliyoandikwa katika kitabu hiki, na kutolewa unabii na Yeremia dhidi ya mataifa yote. 1425:14 Isa 14:6; Yer 50:19; 51:27-28; Ay 21:19; Yer 27:7Wao wenyewe watakuwa watumwa wa mataifa mengi na wafalme wakuu. Nitawalipizia sawasawa na matendo yao na kazi ya mikono yao.”

Kikombe Cha Ghadhabu Ya Mungu

1525:15 Za 75:8; Ufu 14:10; Ay 21:20; Isa 51:17; Yer 49:12; Mao 4:21; Eze 23:31Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, aliloniambia: “Chukua kutoka mkononi mwangu kikombe hiki kilichojaa divai ya ghadhabu yangu, na kuyanywesha mataifa yote ambayo ninakutuma kwao. 1625:16 Za 60:3; Nah 3:11; Yer 51:7Watakapoinywa, watapepesuka na kukasirika sana kwa sababu ya upanga nitakaoupeleka katikati yao.”

1725:17 Yer 1:10; 27:3Hivyo nikakichukua kikombe kutoka mkononi mwa Bwana, na kuyafanya mataifa yote aliyonituma kwao kukinywa: 1825:18 Yer 24; 9; Mwa 19:13; Yer 44:22; 13:13; Ay 12:19; 2Nya 29:8Yaani Yerusalemu na miji ya Yuda, wafalme wake na maafisa wake, kuwafanya magofu na kuwa kitu cha kuchukiza, cha dhihaka na laana, kama walivyo leo; 1925:19 2Fal 18:21; Isa 20:3; Eze 29:2; Yer 44:30pia Farao mfalme wa Misri, watumishi wake, maafisa wake na watu wake wote, 2025:20 Mwa 10:23; Yer 47:5; Amo 1:7-8; Yos 13:3; Sef 2:4-7; Mwa 10:19pia wageni wote walioko huko; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa Wafilisti (wale wa Ashkeloni, Gaza, Ekroni na watu walioachwa huko Ashdodi); 2125:21 Mwa 19:38; Yer 27:3; Mwa 25:30; Kum 23:6Edomu, Moabu na Amoni; 2225:22 Mwa 10:15; Yer 47:4; Dan 11:18; Isa 11:11; Yos 19:29; Isa 48:20; Yer 31:10wafalme wote wa Tiro na Sidoni; wafalme wa nchi za pwani ngʼambo ya bahari; 2325:23 Mwa 25:3, 15; 22:21; Yer 9:26; 49:32Dedani, Tema, Buzi na wote walio maeneo ya mbali; 2425:24 2Nya 9:14; Yer 50:37wafalme wote wa Arabuni na wafalme wote wa watu wageni wanaoishi katika jangwa; 2525:25 Mwa 25:2; 10:22; Isa 21:2wafalme wote wa Zimri, Elamu na Umedi; 2625:26 Yer 51:41; 50:3-9; Isa 23:17na wafalme wote wa pande za kaskazini, wa karibu na wa mbali, mmoja baada ya mwingine; yaani falme zote juu ya uso wa dunia. Baada ya hao wote, mfalme wa Sheshaki25:26 Sheshaki ni Babeli kwa fumbo. atakunywa pia.

2725:27 Isa 29:9; Nah 3:18; Hab 2:16; Eze 14:17; 21:4; Yer 51:57; Eze 23:32-34“Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Kunyweni, mlewe na mtapike; angukeni, wala msiinuke tena kwa sababu ya upanga nitakaotuma miongoni mwenu.’ 28Lakini kama wakikataa kupokea kikombe kutoka mikononi mwako na kunywa, waambie, ‘Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: Ni lazima mnywe! 2925:29 Mit 11:31; 1Pet 4:17; Isa 10:12; 2Sam 5:7; Eze 38:21; Yer 13:12-14; Isa 34:2Tazama, nimeanza kuleta maafa juu ya mji ulio na Jina langu, na je, kweli ninyi mtaepuka kuadhibiwa? Hamwezi kuepuka kuadhibiwa, kwa maana nitaleta vita juu ya wote waishio duniani, asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.’

3025:30 Isa 42:13; 16:10; Yoe 3:16; Za 46:6; Isa 63:3; Ufu 14:19-20“Basi sasa toa unabii kwa maneno haya yote dhidi yao, uwaambie:

“ ‘Bwana atanguruma kutoka juu;

atatoa sauti ya ngurumo

kutoka makao yake matakatifu

na kunguruma kwa nguvu sana

dhidi ya nchi yake.

Atapiga kelele kama wao wakanyagao zabibu,

atapiga kelele dhidi ya wote waishio duniani.

3125:31 Hos 4:1; Mik 6:2; Yer 23:19; 1Sam 12:7; Yer 2:9, 35; Eze 36:5; Yer 15:9Ghasia zitasikika hadi miisho ya dunia,

kwa maana Bwana ataleta mashtaka dhidi ya mataifa;

ataleta hukumu juu ya wanadamu wote

na kuwaua waovu wote,’ ”

asema Bwana.

3225:32 Isa 34:2; Yer 23:19; Isa 30:25; Kum 28:49Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo:

“Tazama! Maafa yanaenea

kutoka taifa moja hadi jingine;

tufani kubwa inainuka

kutoka miisho ya dunia.”

3325:33 Eze 39:17-20; Isa 66:16; Yer 16:4; Isa 34:2-8; Yer 8:2; Za 79:3Wakati huo, hao waliouawa na Bwana watatapakaa kila mahali, kuanzia mwisho mmoja wa dunia hadi mwisho mwingine. Hawataombolezewa wala kukusanywa au kuzikwa, lakini watakuwa kama mavi yaliyoenea juu ya ardhi.

3425:34 Yer 6:26; Za 44:22; Zek 11:4-7; Yer 2:8; Zek 10:3; Isa 34:6; Yer 50:27Lieni na kuomboleza, enyi wachungaji,

mgaagae mavumbini,

ninyi viongozi wa kundi.

Kwa maana wakati wenu wa kuchinjwa umewadia;

mtaanguka na kuvunjavunjwa

kama vyombo vizuri vya udongo.

3525:35 Ay 11:20Wachungaji hawatakuwa na mahali pa kukimbilia,

viongozi wa kundi hawatapata mahali pa kutorokea.

3625:36 Yer 6:26; 23:1; Zek 11:3Sikia kilio cha wachungaji, maombolezo ya viongozi wa kundi,

kwa maana Bwana anayaharibu malisho yao.

37Makao yao ya amani yataharibiwa

kwa sababu ya hasira kali ya Bwana.

3825:38 Ay 10:16; Yer 4:7; 44:22; 4:26; 46:16; 50:16; Kut 15:7Kama simba ataacha pango lake,

nchi yao itakuwa ukiwa

kwa sababu ya upanga wa mdhalimu,

na kwa sababu ya hasira kali ya Bwana Mungu.