エゼキエル書 28 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

エゼキエル書 28:1-26

28

ツロの君主についての預言

1また、次のような主のことばが示されました。

2-3「人の子よ、ツロの君主に言いなさい。」

神である主はこう語ります。

「おまえは身のほどをわきまえず、

自分を神にしてしまうほど思い上がり、

大海に浮かぶ島で神の座についている。

だが、いくら神のようにふるまっても、

おまえは人であって神ではない。

確かに、おまえはダニエルよりも賢く、

どんな秘密もおまえには筒抜けだ。

4その知恵と知識を駆使して、

おまえは金、銀、財宝を手に入れ、大きな富を築いた。

5そう、おまえの知恵がおまえを大金持ちにし、

高慢にしたのだ。」

6それゆえ、神である主はこう語ります。

「おまえは、自分が神のように賢いと言っている。

7それで、諸国に恐れられている敵の大軍が、

知恵を自慢しているおまえに向かって剣を抜き、

その栄華を汚す。

8海の真ん中の島で、おまえを地獄の穴へ突き落とし、

剣で八つ裂きにする。

9それでも、自分は神だと言うのか。

侵略者たちにとっては、

おまえは神ではなく、ただの人間だ。

10おまえは外国人の手で、

まるでごみ屑のように、

無造作に殺される。」

わたしがこう言うと、神である主は語ります。

11また、次のような主のことばがありました。 12「人の子よ、ツロの王のために泣け。

神、主はこう語る、と告げよ。

おまえは知恵に満ち、美を極めていた。

13おまえは神の園、エデンのような所にいて、

その服には、最高級の金の台に、ルビー、トパーズ、

ダイヤモンド、かんらん石、しまめのう、碧玉、

サファイヤ、紅玉、エメラルドなど

あらゆる種類の宝石をはめ込んだ飾りをつけていた。

みな、おまえが王となった日に贈られた物だ。

14わたしはおまえを、

油注がれた守護者ケルブに任命した。

おまえは神の聖なる山に近づき、

火の石の間を歩いていた。

15王となってから、不正が見つかる時まで、

おまえがやったことはみな完璧だった。

16しかし、莫大な富に目がくらんで、

おまえは罪を犯したのだ。

そこでわたしは、普通の罪人と同じように、

おまえを神の山から追い出した。

ああ、すぐれたケルブよ。

わたしはおまえを火の石の間から消滅させた。

17おまえは自分の美しさを鼻にかけ、思い上がっていた。

栄華のために、自分の知恵を台なしにしてしまった。

それゆえ、おまえを地面にたたき伏せ、

何事が起こったのかと好奇の目をみはる王たちの前に、

おまえの無力さを見せつけたのだ。

18おまえは不正な商いをして自分を汚した。

それゆえ、おまえ自身の所業から火を引き出し、

みんなが見ている前でおまえを焼き、

地上の灰としたのだ。

19おまえを知っていた者はみな、

その恐ろしい運命に背筋を凍らせる。

おまえは見せしめとして、永久に滅ぼされるのだ。」

シドンについての預言

20次のようなことばもありました。

21「人の子よ、シドンの町にこう預言せよ。」

22神である主がこう語ります。

「シドンよ。わたしはおまえの敵となり、

わたしの力を現そう。

おまえを滅ぼして、わたしのきよさが示されるとき、

それを見る者はみな、わたしが主であることを知る。

23疫病をはやらせ、兵を送って滅ぼす。

傷ついた者たちは町の通りで、

四方から攻め寄せる敵兵に殺される。

その時、おまえはわたしが主であることを知る。

24おまえも、他のイスラエルの近隣の国々も、かつてはイスラエルをさげすみ、邪険にしてきたのだが、これからはもう、いばらやとげのようにイスラエルを突き刺したり、引き裂いたりしなくなる。

25イスラエルの民は、わたしがその先祖ヤコブに与えた地に再び住むようになる。散らしておいた遠くの国々から、わたしがもう一度、彼らを集めるからだ。こうしてわたしは、国々にわたしのきよさを示す。 26彼らはイスラエルに安らかに住み、家を建て、ぶどう畑を作る。こうしてイスラエルをさげすんだ回りの国々がみな罰せられるとき、彼らは、わたしが彼らの神、主であることを知る。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 28:1-26

Unabii Dhidi Ya Mfalme Wa Tiro

1Neno la Bwana likanijia kusema: 228:2 Isa 14:13; Mwa 3:4-5; 2The 2:4; Kum 8:14; Mit 16:18; Sef 2:15; Za 9:20“Mwanadamu, mwambie mfalme wa Tiro, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo:

“ ‘Kwa sababu moyo wako umejivuna

na umesema, “Mimi ni mungu;

nami ninaketi katika kiti cha enzi cha mungu

katika moyo wa bahari.”

Lakini wewe ni mwanadamu, wala si mungu,

ingawa unafikiri kuwa una hekima kama mungu.

328:3 Dan 1:20; 2:20-23, 28; Zek 9:2; Eze 14:14Je, wewe una hekima kuliko Danieli?

Je, hakuna siri iliyofichika kwako?

428:4 Zek 9:3; Isa 10:13Kwa hekima yako na ufahamu wako,

umejipatia utajiri,

nawe umejikusanyia dhahabu

na fedha katika hazina zako.

528:5 Ay 31:25; Hos 13:6; Kum 8:12-14; Isa 23:8; Yer 9:23; 9:23; Eze 27:33Kwa werevu wako mwingi katika biashara,

umeongeza utajiri wako

na kwa sababu ya utajiri wako

moyo wako umekuwa na kiburi.

6“ ‘Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo:

“ ‘Kwa sababu unafikiri una hekima,

mwenye hekima kama mungu,

728:7 Eze 32:12; 30:11; 31:12; Yer 9:23; Eze 7:24mimi nitawaleta wageni dhidi yako,

taifa katili kuliko yote;

watafuta panga zao dhidi ya uzuri wa hekima yako,

na kuchafua fahari yako inayongʼaa.

828:8 Za 55:23; Eze 32:30; 27:27; 26:12; Ufu 18:7Watakushusha chini shimoni,

nawe utakufa kifo cha kikatili

katika moyo wa bahari.

928:9 Isa 31:3; Eze 16:49Je, wakati huo utasema, “Mimi ni mungu,”

mbele ya wale wanaokuua?

Utakuwa mwanadamu tu, wala si mungu,

mikononi mwa hao wanaokuua.

1028:10 1Sam 14:6; Yer 9:26; Eze 32:18-19Utakufa kifo cha wasiotahiriwa

kwa mkono wa wageni.

Kwa kuwa mimi nimenena, asema Bwana Mwenyezi.’ ”

11Neno la Bwana likanijia kusema: 1228:12 Eze 19:1; 27:2-4“Mwanadamu, mfanyie maombolezo mfalme wa Tiro, nawe umwambie: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo:

“ ‘Ulikuwa kipeo cha ukamilifu,

ukiwa umejaa hekima

na mkamilifu katika uzuri.

1328:13 Mwa 2:8; Eze 31:8-9; 27:16; Ufu 17:4; Isa 14:11; Ufu 21:20Ulikuwa ndani ya Edeni,

bustani ya Mungu;

kila kito cha thamani kilikupamba:

akiki nyekundu, yakuti manjano na zumaridi,

krisolitho, shohamu na yaspi,

yakuti samawi, almasi na zabarajadi.

Kuwekwa kwa hayo mapambo na kushikizwa kwake

kulifanywa kwa dhahabu;

siku ile ulipoumbwa yaliandaliwa tayari.

1428:14 Kut 30:26; 40:9; 25:17-20Ulitiwa mafuta kuwa kerubi mlinzi,

kwa kuwa hivyo ndivyo nilivyokuweka wakfu.

Ulikuwa kwenye mlima mtakatifu wa Mungu;

ulitembea katikati ya vito vya moto.

15Ulikuwa mnyofu katika njia zako

tangu siku ile ya kuumbwa kwako,

hadi uovu ulipoonekana ndani yako.

1628:16 Mwa 6:11; Hab 2:17; Mwa 3:24Kutokana na biashara yako iliyoenea,

ulijazwa na dhuluma,

nawe ukatenda dhambi.

Hivyo nilikuondoa kwa aibu kutoka mlima wa Mungu,

nami nikakufukuza, ee kerubi mlinzi,

kutoka katikati ya vito vya moto.

1728:17 Isa 10:12; Eze 16:49; 31:10; 19:12Moyo wako ukawa na kiburi

kwa ajili ya uzuri wako,

nawe ukaiharibu hekima yako

kwa sababu ya fahari yako.

Kwa hiyo nikakutupa chini;

nimekufanya kioja mbele ya wafalme.

1828:18 Oba 1:18; Mal 4:3; Zek 9:2-4Kwa dhambi zako nyingi na biashara yako ya dhuluma,

umenajisi mahali pako patakatifu.

Kwa hiyo nilifanya moto utoke ndani yako,

nao ukakuteketeza,

nami nikakufanya majivu juu ya nchi,

machoni pa wote waliokuwa wakitazama.

1928:19 Yer 51:64; Eze 26:21; Law 26:21Mataifa yote yaliyokujua

yanakustajabia;

umefikia mwisho wa kutisha

na hutakuwepo tena milele.’ ”

Unabii Dhidi Ya Sidoni

20Neno la Bwana likanijia kusema: 2128:21 Eze 6:2; 13:17; Yer 25:2; Mwa 10:15“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Sidoni, ukatabiri dhidi yake, 2228:22 Kut 14:4; Za 9:16; Eze 30:19; 39:13; Law 10:3nawe useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo:

“ ‘Mimi ni kinyume chako, ee Sidoni,

nami nitapata utukufu ndani yako.

Nao watajua kwamba Mimi ndimi Bwana,

nitakapotekeleza hukumu zangu

na kuonyesha utakatifu wangu ndani yake.

2328:23 Eze 5:17; 38:22Nitapeleka tauni ndani yake

na kufanya damu itiririke katika barabara zake.

Waliochinjwa wataanguka ndani yake,

kwa upanga dhidi yake kila upande.

Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana.

2428:24 Hes 33:55; Yos 23:13; Isa 5:6; Eze 2:6“ ‘Nyumba ya Israeli hawatakuwa tena na majirani wenye nia ya kuwadhuru wanaoumiza kama michongoma na miiba mikali. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana Mwenyezi.

2528:25 Za 106:47; Yer 32:37; Isa 11:12; Eze 20:41; Yer 12:15; 12:15; 23:8; Eze 11:17“ ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitakapoikusanya nyumba ya Israeli kutoka mataifa ambako wametawanyika, nitajionyesha kuwa mtakatifu miongoni mwao machoni pa mataifa. Ndipo watakapoishi katika nchi yao wenyewe, niliyompa mtumishi wangu Yakobo. 2628:26 Law 25:18; Yer 23:6; Hos 2:15; Amo 9:14-15; 1Fal 4:25; Yer 17:25; Kum 20:6; Eze 38:8; 39:26-27; Isa 65:21Wataishi humo kwa salama na watajenga nyumba na kupanda mashamba ya mizabibu, wataishi kwa salama nitakapowaadhibu majirani zao wote ambao waliwafanyia uovu. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana, Mungu wao.’ ”