アモス書 4 – JCB & NEN

Japanese Contemporary Bible

アモス書 4:1-13

4

神に立ち返らないイスラエル

1私の言うことを聞きなさい、

サマリヤに住むバシャンの太った雌牛たち。

夫をけしかけて貧しい人から取り上げ、

困っている者からしぼり取っている女たち。

いくら飲んでも十分でない者たちよ。

2あなたがたの鼻に鼻輪をつけて、

牛のように引いて行く時がくると

神である主は、ご自分のきよさにかけて誓いました。

最後の一人まで、

釣り鉤にかけられて引かれて行きます。

3美しい家から引きずり出され、

城壁の破れ口から放り出されます。

主がそう言ったのです。

4ベテルとギルガルの偶像に

もっといけにえをささげなさい。

いつまでも逆らい続けなさい。

あなたがたの罪は山のように積まれていきます。

いけにえは毎朝、

十分の一のささげ物は週に二回持ってきなさい。

5すべて適切な方法で行い、特別のささげ物もしなさい。

あなたがたは、そうすることを得意がり、

どこでもそれを自慢しています。

6主はこう言います。

「あなたがたを飢えさせたが、何にもならなかった。

それでも、わたしのもとに帰ろうとはしなかった。

7収穫の前に三か月間雨を降らせないで

作物をだめにした。

ある町には雨を降らせたが、

他の町には降らせなかった。

ある畑には雨が降っているのに、

他の畑は乾ききっていた。

8二、三の町の住民が飲み水を求めて、

雨の降った町へ疲れきった体で出かけて行った。

それでも満ち足りることはなかった。

そんなことがあっても、

あなたがたはわたしのもとへ帰ろうとしなかった」

と主は言います。

9主はこう告げます。

「立ち枯れ病と黒穂病を、農場やぶどう畑ではやらせた。

いなごがいちじくとオリーブの木を食った。

それでもあなたがたは、

わたしのもとへ帰ろうとしなかった。

10昔のエジプトのように、わたしは疫病を送った。

戦争で若者を殺し、馬を追い払った。

死体からの悪臭が鼻をついた。

それでもあなたがたは、帰ることを拒んだ。

11わたしはソドムとゴモラにしたように、

あなたがたの町の幾つかを破壊した。

生き残った者たちは、

火の中から取り出された燃えさしのようだ。

それでも、わたしのもとへ帰ろうとしない。

12それゆえ、話しておいたとおり、

あなたがたをもっとひどい災いに会わせる。

イスラエルよ、

さばきの中で神に会う備えをせよ。」

13山々を造り、風を造り、あなたがたの思いを

全部知っている方と向かい合うことになるからだ。

その方は、朝を暗闇に変え、山を踏み砕く。

その名は、全能の神、主である。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Amosi 4:1-13

Israeli Hajarudi Kwa Mungu

14:1 Za 22:12; Isa 58:6; Eze 39:18; 18:12; Amo 3:9; 2:8; 8:6; Yer 44:19Sikilizeni neno hili, ninyi ngʼombe wa Bashani

mlioko juu ya Mlima Samaria,

ninyi wanawake mnaowaonea maskini,

na kuwagandamiza wahitaji,

na kuwaambia wanaume wenu,

“Tuleteeni vinywaji!”

24:2 Amo 6:8; Isa 19:8; Yer 31:31; 2Fal 19:28; 2Nya 33:11Bwana Mwenyezi ameapa kwa utakatifu wake:

“Hakika wakati utakuja

mtakapochukuliwa na kulabu,

na wanaosalia kwa ndoana za samaki.

34:3 Eze 12:5Nanyi mtakwenda moja kwa moja

kupitia mahali palipobomolewa kwenye ukuta,

nanyi mtatupwa nje kuelekea Harmoni,”

asema Bwana.

44:4 Hos 4:15; Hes 28:3, 4; 28:3; Eze 20:39; Kum 14:28; Yos 7:2; Amo 5:21, 22“Nendeni Betheli mkatende dhambi;

nendeni Gilgali mkazidi kutenda dhambi.

Leteni dhabihu zenu kila asubuhi,

zaka zenu kila mwaka wa tatu.

5Mchome mkate uliotiwa chachu kama sadaka ya shukrani,

jisifuni kuhusu sadaka zenu za hiari:

jigambeni kwa ajili ya sadaka hizo, enyi Waisraeli,

kwa kuwa hili ndilo mnalopenda kulitenda,”

asema Bwana Mwenyezi.

64:6 Isa 9:13; 1Fal 17:1; Hag 2:17; Yer 5:3; Hos 5:15“Niliwapa njaa kwenye kila mji,

na ukosefu wa chakula katika kila mji,

hata hivyo bado hamjanirudia mimi,”

asema Bwana.

74:7 Kum 11:17; Isa 5:6; Zek 14:17; Kut 9:4, 26; 2Nya 7:13“Pia niliwazuilia ninyi mvua miezi mitatu

kabla ya kufikia mavuno.

Nilinyesha mvua kwenye mji mmoja,

lakini niliizuia mvua isinyeshe mji mwingine.

Shamba moja lilipata mvua,

na lingine halikupata, nalo likakauka.

84:8 Eze 4:16-17; Ay 36:31; Yer 14:4; 2:7; Hag 1:6Watu walitangatanga mji hata mji kutafuta maji,

lakini hawakupata ya kuwatosha kunywa,

hata hivyo hamjanirudia mimi,”

asema Bwana.

94:9 Kum 28:22; Isa 9:13; Hag 2:17; Yer 3:10; Yoe 1:7; 2:25; Kut 10:13“Mara nyingi nilizipiga bustani zenu na mashamba ya mizabibu,

niliyapiga kwa kutu na ukungu.

Nzige walitafuna tini zenu na miti ya mizeituni,

hata hivyo hamjanirudia mimi,”

asema Bwana.

104:10 Kut 9:3; 11:5; Kum 28:27; Isa 9:13, 17“Niliwapelekea tauni miongoni mwenu

kama nilivyofanya kule Misri.

Niliwaua vijana wenu wa kiume kwa upanga,

niliwachukua farasi wenu.

Nilijaza pua zenu kwa uvundo kutoka kwenye kambi zenu,

hata hivyo hamjanirudia mimi,”

asema Bwana.

114:11 Mwa 19:29; Yer 23:14; Isa 7:4; 13:19; Zek 3:2; Yud 23; Ay 36:13“Niliwaangamiza baadhi yenu kama

nilivyoangamiza Sodoma na Gomora.

Mlikuwa kama kijiti kiwakacho kilichonyakuliwa motoni,

hata hivyo hamjanirudia,”

asema Bwana.

12“Kwa hiyo hili ndilo nitakalowafanyia, Israeli,

na kwa sababu nitawafanyia hili,

jiandaeni kukutana na Mungu wenu, ee Israeli.”

134:13 Dan 2:28; Za 65:6; 135:7; Yn 2:25; Amo 9:6; 5:8, 27; Isa 47:4Yeye ambaye hufanya milima, anaumba upepo,

na kufunua mawazo yake kwa mwanadamu,

yeye ageuzaye asubuhi kuwa giza,

na kukanyaga mahali pa juu pa nchi:

Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.