1Een psalm van de Korachieten. Een lied.
2De Here houdt van haar poorten,
meer dan van alle andere steden in het land Israël.
3Stad van God!
Er zijn geweldige dingen over u te vertellen.
4Wanneer Ik de namen noem
van Egypte, Babel, Filistea, Tyrus
of zelfs van Ethiopië,
is er altijd wel iemand die daar geboren is.
5Maar van Jeruzalem zal worden gezegd
dat er velen geboren zijn.
God, de Allerhoogste, zal Zelf deze stad zegenen.
6Wanneer de Here de volken registreert,
schrijft Hij erbij: ‘Dit volk is hier geboren.’
7Tijdens hun feesten en onder het dansen
zingen zij: ‘Mijn hart ligt in Jeruzalem.’
Zaburi 87
Sifa Za Yerusalemu
Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo.
187:1 Za 48:1Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
287:2 Za 2:6Bwana anayapenda malango ya Sayuni
kuliko makao yote ya Yakobo.
387:3 Za 46:4; Isa 60:1Mambo matukufu yanasemwa juu yako,
ee mji wa Mungu:
487:4 Ay 9:13; 2Sam 8:1; Za 83:7; 45:12; Yoe 3:4; Isa 19:25“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu87:4 Rahabu hapa ni jina la ushairi la Misri. na Babeli
miongoni mwa wale wanaonikubali mimi:
Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi,87:4 Kushi hapa ina maana ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.
nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’ ”
587:5 Eze 48:35; Mt 16:18Kuhusu Sayuni itasemwa hivi,
“Huyu na yule walizaliwa humo,
naye Aliye Juu Sana mwenyewe
atamwimarisha.”
687:6 Isa 4:3; Kut 32:32; Yer 3:19; Eze 13:9; Za 22:30; 69:28; Mal 3:16Bwana ataandika katika orodha ya mataifa:
“Huyu alizaliwa Sayuni.”
787:7 Za 149:3; 36:9Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba,
“Chemchemi zangu zote ziko kwako.”