Psalm 143 – HOF & NEN

Hoffnung für Alle

Psalm 143:1-12

Bring mich nicht vor dein Gericht!

1Ein Lied von David.

Herr, höre mein Gebet!

Achte auf mein Flehen und hilf mir,

du bist doch treu und gerecht!

2Bring mich nicht vor dein Gericht,

denn vor dir ist kein Mensch unschuldig.

3Der Feind verfolgt mich

und wirft mich zu Boden.

In völliger Dunkelheit lässt er mich zurück,

als wäre ich schon lange tot.

4Ich weiß nicht mehr weiter

und bin vor Angst wie gelähmt.

5Ich denke zurück an früher, an das, was du damals getan hast,

und halte mir deine großen Taten vor Augen.

6Zu dir strecke ich meine Hände empor im Gebet.

Wie ausgedörrtes Land nach Regen lechzt,

so warte ich sehnsüchtig auf dein Eingreifen.

7Herr, erhöre mich doch jetzt –

ich bin völlig am Ende!

Verbirg dich nicht vor mir,

sonst habe ich nicht mehr lange zu leben!

8Lass mich schon früh am Morgen erfahren,

dass du es gut mit mir meinst,

denn ich vertraue dir.

Zeige mir, wohin ich gehen soll,

denn nach dir sehne ich mich.

9Rette mich, Herr, vor meinen Feinden –

nur bei dir bin ich geborgen.

10Lehre mich, so zu leben, wie du es willst,

denn du bist mein Gott!

Führe mich durch deinen guten Geist,

dann kann ich ungehindert meinen Weg gehen!

11Herr, ich weiß, du bist gerecht, darum hilf mir aus meiner Not!

Es wird deinem Namen Ehre machen, wenn du mich am Leben erhältst.

12Lass meine Feinde umkommen

und vernichte alle, die mich verfolgen!

Denn du bist ein gnädiger Gott, und ich diene dir.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 143:1-12

Zaburi 143

Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Adui

Zaburi ya Daudi.

1143:1 Za 141:1; 28:2; 130:2; 89:1-2Ee Bwana, sikia sala yangu,

sikiliza kilio changu unihurumie;

katika uaminifu na haki yako

njoo unisaidie.

2143:2 Za 14:3; Rum 3:10; Ay 14:3; 4:17; Mhu 7:20; Gal 2:16Usimhukumu mtumishi wako,

kwa kuwa hakuna mtu anayeishi aliye mwenye haki mbele zako.

3143:3 Za 107:10; 7:1, 2; Law 3:6Adui hunifuatilia,

hunipondaponda chini;

hunifanya niishi gizani

kama wale waliokufa zamani.

4143:4 Za 30:7Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu,

moyo wangu ndani yangu unakata tamaa.

5143:5 Za 77:6; 77:5, 11; Mwa 24:63Nakumbuka siku za zamani;

natafakari juu ya kazi zako zote,

naangalia juu ya kazi

ambazo mikono yako imezifanya.

6143:6 Kut 9:29; Ay 11:13; Za 28:2Nanyoosha mikono yangu kwako,

nafsi yangu inakuonea kiu kama ardhi kame.

7143:7 Za 69:17; 142:3; 22:24; 27:9; 30:7Ee Bwana, unijibu haraka,

roho yangu inazimia.

Usinifiche uso wako,

ama sivyo nitafanana na wale washukao shimoni.

8143:8 Kut 33:13; Ay 34:32; Za 6:4; 90:14; 27:11; 32:8; 25:1-2; 86:4Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma,

kwa kuwa nimeweka tumaini langu kwako.

Nionyeshe njia nitakayoiendea,

kwa kuwa kwako nainua nafsi yangu.

9143:9 Za 140:1; 18:17; 31:15Ee Bwana, uniokoe na adui zangu,

kwa kuwa nimejificha kwako.

10143:10 Za 119:12; 31:14; 25:4-5; 26:11; Neh 9:20; Yn 14:26; Rum 5:5; Efe 4:30; Gal 5:22, 23Nifundishe kufanya mapenzi yako,

kwa maana wewe ndiwe Mungu wangu,

Roho wako mwema na aniongoze

katika nchi tambarare.

11143:11 Za 25:11; 41:2; 31:1; 71:2Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako, hifadhi maisha yangu,

kwa haki yako nitoe katika taabu.

12143:12 Za 8:2; 54:5; 116:16Kwa upendo wako usiokoma,

nyamazisha adui zangu;

waangamize watesi wangu wote,

kwa kuwa mimi ni mtumishi wako.