Bruderliebe – kein leeres Wort
1Ein Lied von David für Festbesucher, die nach Jerusalem hinaufziehen.
Wie schön und angenehm ist es,
wenn Brüder in Frieden zusammenleben!
2Das ist so wohltuend wie das duftende Öl,
mit dem der Priester Aaron gesalbt wurde
und das vom Kopf herunterrann in seinen Bart,
bis hin zum Halssaum seines Gewandes.
3Es ist so wohltuend wie frischer Tau,
der vom Berg Hermon auf die Berge Zions niederfällt.
Ja, dort schenkt der Herr seinen Segen
und Leben, das niemals aufhört.
Zaburi 133
Sifa Za Pendo La Undugu
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
1133:1 Mwa 13:8; Yn 17:11; 1Kor 1:10; Rum 12:10Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza
wakati ndugu wanapoishi pamoja katika umoja!
2133:2 Kut 29:7; 30:25Ni kama mafuta ya thamani yaliyomiminwa kichwani,
yakitiririka kwenye ndevu,
yakitiririka kwenye ndevu za Aroni,
mpaka kwenye upindo wa mavazi yake.
3133:3 Ay 29:19; Mit 19:12; Isa 18:4; 26:19; 45:8; Hos 14:5; Mik 5:7; Kum 3:8; Kut 15:17; Law 25:21; Za 2:6; 74:2; 21:4; Dan 12:2-3; Yn 4:14; Ebr 7:25; 1Yn 5:20Ni kama vile umande wa Hermoni
unavyoanguka juu ya Mlima Sayuni.
Kwa maana huko ndiko Bwana alikoamuru baraka yake,
naam, hata uzima milele.