Psalm 133 – HOF & NEN

Hoffnung für Alle

Psalm 133:1-3

Bruderliebe – kein leeres Wort

1Ein Lied von David für Festbesucher, die nach Jerusalem hinaufziehen.

Wie schön und angenehm ist es,

wenn Brüder in Frieden zusammenleben!

2Das ist so wohltuend wie das duftende Öl,

mit dem der Priester Aaron gesalbt wurde

und das vom Kopf herunterrann in seinen Bart,

bis hin zum Halssaum seines Gewandes.

3Es ist so wohltuend wie frischer Tau,

der vom Berg Hermon auf die Berge Zions niederfällt.

Ja, dort schenkt der Herr seinen Segen

und Leben, das niemals aufhört.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 133:1-3

Zaburi 133

Sifa Za Pendo La Undugu

Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

1133:1 Mwa 13:8; Yn 17:11; 1Kor 1:10; Rum 12:10Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza

wakati ndugu wanapoishi pamoja katika umoja!

2133:2 Kut 29:7; 30:25Ni kama mafuta ya thamani yaliyomiminwa kichwani,

yakitiririka kwenye ndevu,

yakitiririka kwenye ndevu za Aroni,

mpaka kwenye upindo wa mavazi yake.

3133:3 Ay 29:19; Mit 19:12; Isa 18:4; 26:19; 45:8; Hos 14:5; Mik 5:7; Kum 3:8; Kut 15:17; Law 25:21; Za 2:6; 74:2; 21:4; Dan 12:2-3; Yn 4:14; Ebr 7:25; 1Yn 5:20Ni kama vile umande wa Hermoni

unavyoanguka juu ya Mlima Sayuni.

Kwa maana huko ndiko Bwana alikoamuru baraka yake,

naam, hata uzima milele.