Numero 26 – HLGN & NEN

Ang Pulong Sang Dios

Numero 26:1-65

Ang Ikaduha nga Pagsensos

1Pagkatapos sang kalalat-an, nagsiling ang Ginoo kay Moises kag kay Eleazar nga anak ni Aaron nga pari, 2“Isensos ninyo ang bug-os nga katilingban sang Israel suno sa ila pamilya—tanan nga nagaedad sing 20 ka tuig paibabaw nga makasarang sa pag-alagad bilang soldado sang Israel.” 3Gani nagpakighambal si Moises kag si Eleazar nga pari sa mga Israelinhon didto sa kapatagan sang Moab sa higad sang Suba sang Jordan malapit sa Jerico. 4Nagsiling sila sa ila, “Isensos ninyo ang mga tawo nga nagaedad sing 20 ka tuig paibabaw, suno sa ginsugo sang Ginoo kay Moises.”

Amo ini ang mga Israelinhon nga nagguwa sa Egipto:

5Ang mga kaliwat ni Reuben, nga kamagulangan nga anak ni Jacob,26:5 Jacob: sa Hebreo, Israel. amo ang mga pamilya ni Hanoc, Palu, 6Hezron, kag Carmi. 7Sila amo ang mga pamilya nga naghalin kay Reuben; 43,730 sila tanan.

8Ang anak ni Palu amo si Eliab, 9kag ang mga anak ni Eliab amo sila ni Nemuel, Datan kag Abiram. Ining si Datan kag si Abiram amo ang mga pangulo sang katilingban nga nag-upod kay Kora sa pagrebelde sa Ginoo paagi sa pagkontra kay Moises kag kay Aaron. 10Pero ginlamon sila sang duta upod kay Kora, kag ang 250 nila ka sumulunod nasunog sang kalayo. Kag ini nga hitabo nangin paandam sa mga Israelinhon. 11Pero ang mga anak ni Kora wala nagkalamatay.

12Ang mga kaliwat ni Simeon amo ang mga pamilya ni Nemuel, Jamin, Jakin, 13Zera, kag Shaul. 14Sila amo ang mga pamilya nga naghalin kay Simeon; 22,200 sila tanan.

15Ang mga kaliwat ni Gad amo ang mga pamilya ni Zefon, Hagi, Shuni, 16Ozni, Eri, 17Arod, kag Areli. 18Sila amo ang mga pamilya nga naghalin kay Gad; 40,500 sila tanan.

19-20Si Juda may duha ka anak nga lalaki nga si Er kag Onan, nga napatay sa duta sang Canaan. Pero may mga kaliwat gihapon si Juda nga amo ang pamilya ni Shela, Perez, kag Zera. 21Ang mga kaliwat ni Perez amo ang pamilya ni Hezron kag ni Hamul. 22Sila amo ang mga pamilya nga naghalin kay Juda; 76,500 sila tanan.

23Ang mga kaliwat ni Isacar amo ang mga pamilya ni Tola, Pua, 24Jashub, kag Shimron. 25Sila amo ang mga pamilya nga naghalin kay Isacar; 64,300 sila tanan.

26Ang mga kaliwat ni Zebulun amo ang mga pamilya ni Sered, Elon, kag Jaleel. 27Sila amo ang mga pamilya nga naghalin kay Zebulun; 60,500 sila tanan.

28Ang mga kaliwat ni Jose naghalin sa iya duha ka anak nga si Manase kag si Efraim. 29Ang mga kaliwat ni Manase amo ang mga pamilya ni Makir kag sang iya anak nga si Gilead. 30Ang mga kaliwat ni Gilead amo ang mga pamilya ni Iezer, Helek, 31Asriel, Shekem, 32Shemida, kag Hefer. 33Ang anak ni Hefer nga si Zelofehad wala sing anak nga lalaki, pero may mga anak siya nga babayi nga ang ila mga ngalan amo sila ni Mala, Noa, Hogla, Milca, kag Tirza. 34Sila amo ang mga pamilya nga naghalin kay Manase; 52,700 sila tanan.

35Ang mga kaliwat naman ni Efraim amo ang mga pamilya ni Shutela, Beker, Tahan, 36kag sa anak ni Shutela nga si Eran. 37Sila amo ang mga pamilya nga naghalin kay Efraim; 32,500 sila tanan. Ini nga mga pamilya nga naghalin kay Manase kag Efraim amo ang mga kaliwat ni Jose.

38Ang mga kaliwat ni Benjamin amo ang mga pamilya ni Bela, Ashbel, Ahiram, 39Shufam, kag Hufam. 40Ang mga kaliwat ni Bela amo ang mga pamilya ni Ard kag Naaman. 41Sila amo ang mga pamilya nga naghalin kay Benjamin; 45,600 sila tanan.

42Ang mga kaliwat ni Dan amo ang pamilya ni Shuham. 43Ang tanan nga kaliwat ni Dan mga Shuhamnon; kag 64,400 sila tanan.

44Ang mga kaliwat ni Asher amo ang mga pamilya ni Imna, Ishvi, kag Beria. 45Ang mga kaliwat ni Beria amo ang mga pamilya ni Heber kag ni Malkiel. 46(May anak nga babayi si Asher nga si Sera.) 47Sila amo ang mga pamilya nga naghalin kay Asher; 53,400 sila tanan.

48Ang mga kaliwat ni Naftali amo ang mga pamilya ni Jazeel, Guni, 49Jezer, kag Shilem. 50Sila amo ang mga pamilya nga naghalin kay Naftali; 45,400 sila tanan.

51Gani ang bug-os nga kadamuon sang mga lalaki nga Israelinhon nga ginsensos 601,730.

52Dayon nagsiling ang Ginoo kay Moises, 53“Partihon mo sa ila ang duta bilang ila palanublion suno sa kadamuon sang kada tribo. 54Ang tribo nga madamo, partihi sing dako, kag ang tribo nga diutay partihi sing gamay. 55-56Kinahanglan nga gabot-gabutan kon diin nga parte ang makuha sang madamo kag diutay nga tribo suno sa sensos.”

57Ang mga kaliwat ni Levi amo ang mga pamilya ni Gershon, Kohat kag Merari. 58Kag sa ila naghalin ang mga pamilya ni Libni, Hebron, Mali, Mushi kag Kora.

Si Kohat amo ang katigulangan ni Amram; 59kag ang asawa ni Amram amo si Jokebed nga kaliwat man ni Levi. Natawo si Jokebed sa Egipto. Si Amram kag si Jokebed amo ang mga ginikanan ni Aaron, Moises, kag Miriam. 60Si Aaron amo ang amay nila ni Nadab, Abihu, Eleazar, kag Itamar. 61Pero napatay si Nadab kag si Abihu sang naggamit sila sang kalayo nga indi amo ang dapat nila gamiton sa ila paghalad sa Ginoo.

62Ang kadamuon sang mga lalaki nga kaliwat ni Levi nga nagaedad sing isa ka bulan paibabaw 23,000. Wala sila ginlakip sa kabilugan nga kadamuon sang mga Israelinhon kay wala sila ginpartihan sa duta nga ginpanubli sang mga Israelinhon.

63Amo ato tanan ang mga Israelinhon nga ginsensos ni Moises kag ni Eleazar nga pari didto sa kapatagan sang Moab sa higad sang Jordan malapit sa Jerico. 64Wala na sing may nabilin nga buhi sa mga nalakip sa nahauna nga sensos nga ginhimo ni Moises kag ni Aaron nga pari sa kamingawan sang Sinai. 65Kay nagsiling sadto ang Ginoo sa ila nga sigurado gid nga magkalamatay sila didto sa kamingawan, kag wala sing may makaluwas sa ila luwas lang gid kay Caleb nga anak ni Jefune kag kay Josue nga anak ni Nun.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 26:1-65

Kuhesabiwa Watu Mara Ya Pili

126:1 Hes 14:37; 25:8Baada ya hiyo tauni, Bwana akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni, 226:2 Kut 30:11-16; Hes 1:3; Kut 38:25“Hesabu jumuiya yote ya Kiisraeli kwa jamaa zao, wale wote wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, ambao wanaweza kutumika katika jeshi la Israeli.” 326:3 Hes 33:48; Yos 13:22; Hes 22:1; Kum 4:46-49Hivyo Mose na kuhani Eleazari wakazungumza na watu kwenye nchi tambarare ya Moabu, ngʼambo ya Yordani kutokea Yeriko, wakasema, 426:4 Kut 6:14; 13:3“Hesabuni wanaume wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.”

Hawa ndio Waisraeli waliotoka Misri:

526:5 Hes 1:20; Mwa 46:8, 9; 1Nya 5:3; Ufu 7:5Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa:

kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki;

kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;

626:6 1Nya 5:3; Mwa 46:9kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.

7Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.

8Mwana wa Palu alikuwa Eliabu, 926:9 Hes 16:1; 1:16; 16:2; Isa 65:16; Kum 11:6; Hes 27:3; 16:1, 2nao wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani na Abiramu. Hawa wawili Dathani na Abiramu ndio walikuwa maafisa wa jumuiya ambao walimwasi Mose na Aroni, na walikuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora wakati walimwasi Bwana. 1026:10 Kut 15:12; Hes 16:35, 38; Kut 3:12; Ay 31:3; Za 145:20; Yer 29:22; 2Pet 2:6; Yud 7Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo. 1126:11 Kut 6:24; Hes 16:33; Kum 5:9; 24:16; 2Fal 14:6; 2Nya 25:4; Eze 18:20Pamoja na hayo, hao ukoo wa Kora hawakufa.

1226:12 Mwa 46:10; 1Nya 4:24; Kut 6:15Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli;

kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini;

kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;

1326:13 Mwa 46:10kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera;

kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.

1426:14 Mwa 46:10; Hes 1:23Hizi ndizo koo za Simeoni; walikuwa 22,200.

1526:15 Mwa 46:16Wazao wa Gadi kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Sifoni, ukoo wa Wasifoni;

kutoka kwa Hagi, ukoo wa Wahagi;

kutoka kwa Shuni, ukoo wa Washuni;

16kutoka kwa Ozni, ukoo wa Waozni;

kutoka kwa Eri, ukoo wa Waeri;

1726:17 Mwa 46:16kutoka kwa Arodi, ukoo wa Waarodi;

kutoka kwa Areli, ukoo wa Waareli.

1826:18 Mwa 30:11; Hes 1:25; Yos 13:24-28Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500.

1926:19 Mwa 38:3; 38:4; 38:7; 46:12; 1Nya 2:3Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.

2026:20 Mwa 38:5; 38:29; Yos 7:17Wazao wa Yuda kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Shela, ukoo wa Washela;

kutoka kwa Peresi, ukoo wa Waperesi;

kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera.

2126:21 Mwa 38:29; Rut 4:19; 1Fal 2:9Wazao wa Peresi walikuwa:

kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.

2226:22 Hes 1:27Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500.

2326:23 Mwa 46:13; 49:14Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola;

kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;

2426:24 Mwa 46:13kutoka kwa Yashubu, ukoo wa Wayashubu;

kutoka kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.

2526:25 Mwa 30:18Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300.

2626:26 Hes 1:30; Mwa 46:14; 49:13Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi;

kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni;

kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.

2726:27 Mwa 30:20Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500.

2826:28 Hes 1:32; 36:1; Mwa 41:52; 46:20; 48:3Wazao wa Yosefu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:

2926:29 Hes 1:34; Mwa 50:23; Amu 11:1; Hes 32:39Wazao wa Manase:

kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi);

kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.

3026:30 Hes 27:1; 36:1; 1Nya 7:14; Yos 17:2; Amu 6:11; 8:2Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi:

kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri;

kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;

31kutoka kwa Asirieli, ukoo wa Waasirieli;

kutoka kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu;

32kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida;

kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.

3326:33 Hes 27:1; 36:2; Yos 17:3; 1Nya 7:15; Hes 27:3; 36:11(Selofehadi mwana wa Heferi hakuzaa wana, bali alikuwa na watoto wa kike tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.)

3426:34 Hes 1:35Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700.

3526:35 Hes 1:32; 1Nya 7:20Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao:

kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela;

kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri;

kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;

36Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela:

kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.

3726:37 Hes 1:33; Kum 33:13-17Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500.

Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao.

3826:38 Mwa 46:21; Hes 1:36; 1Nya 8:40Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela;

kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli;

kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;

3926:39 Mwa 46:21; 1Nya 7:12kutoka kwa Shufamu, ukoo wa Washufamu;

kutoka kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.

4026:40 Mwa 46:21; 1Nya 8:3Wazao wa Bela kutoka kwa Ardi na Naamani walikuwa:

kutoka kwa Ardi, ukoo wa Waardi;

kutoka kwa Naamani, ukoo wa Wanaamani.

4126:41 Hes 1:37Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600.

4226:42 Hes 1:38, 39; Amu 18:19; Mwa 46:23; 49:16; Kum 33:22Hawa ndio waliokuwa wazao wa Dani kwa koo zao:

kutoka kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu.

Hizi ndizo zilizokuwa koo za Dani: 43Wote walikuwa koo za Washuhamu; wale waliohesabiwa walikuwa 64,400.

4426:44 Hes 1:40; 26:47; 1:41Wazao wa Asheri kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Imna, ukoo wa Waimna;

kutoka kwa Ishvi, ukoo wa Waishvi;

kutoka kwa Beria, ukoo wa Waberia;

45kutoka kwa wazao wa Beria:

kutoka kwa Heberi, ukoo wa Waheberi;

kutoka kwa Malkieli, ukoo wa Wamalkieli.

46(Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.)

47Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400.

4826:48 Mwa 30:8; 46:24; 1Nya 7:13Wazao wa Naftali kwa koo zao walikuwa:

kutoka kwa Yaseeli, ukoo wa Wayaseeli;

kutoka kwa Guni, ukoo wa Waguni;

4926:49 1Nya 7:13kutoka kwa Yeseri, ukoo wa Wayeseri;

kutoka kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.

5026:50 Hes 1:42, 43Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400.

5126:51 Kut 12:37; Hes 1:46; 2:32Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730.

52Bwana akamwambia Mose, 5326:53 Yos 11:23; 14:1; Eze 45:8“Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina. 5426:54 Hes 33:54; 35:8Kundi kubwa zaidi lipe urithi mkubwa zaidi, na kundi dogo zaidi lipewe urithi mdogo zaidi; kila kundi litapokea urithi wake kulingana na hesabu ya wale walioorodheshwa. 5526:55 Hes 34:13; Yos 11:23; 14:2Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao. 56Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”

5726:57 Mwa 46:11; Kut 6:16; 1Nya 6:16Hawa walikuwa Walawi ambao walihesabiwa kwa koo zao:

kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni;

kutoka kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi;

kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.

5826:58 Kut 6:20Hizi pia zilikuwa koo za Walawi:

ukoo wa Walibni;

ukoo wa Wahebroni;

ukoo wa Wamahli;

ukoo wa Wamushi;

ukoo wa wana wa Kora.

(Kohathi alikuwa baba aliyemzaa Amramu; 5926:59 Kut 2:1; 6:20; 2:4; 15:20jina la mke wa Amramu ni Yokebedi, naye pia alikuwa mzao wa Lawi, ambaye alizaliwa kwa Walawi nchini Misri. Alimzalia Amramu: Aroni, Mose na dada yao Miriamu. 6026:60 Kut 6:23Aroni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari. 6126:61 Law 10:1-2; Hes 3:4; 1Nya 24; 2Lakini Nadabu na Abihu walikufa wakati walitoa sadaka mbele za Bwana kwa moto usioruhusiwa.)

6226:62 Hes 3:39; 1:47; 18:23; 2:33; 18:20-24; 35:2-8; Kum 14:27-29Wanaume wote wa Walawi wa umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 23,000. Wao hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine kwa sababu hawakupokea urithi miongoni mwao.

6326:63 Hes 1:19; 22:1Hawa ndio walioorodheshwa na Mose na kuhani Eleazari wakati waliwahesabu Waisraeli kwenye nchi tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko. 6426:64 Hes 14:29; 1:44; 1:1; Kum 2:14, 15Hakuna hata mmoja wao aliyekuwa miongoni mwa wale waliohesabiwa na Mose na kuhani Aroni wakati waliwahesabu Waisraeli katika Jangwa la Sinai. 6526:65 Hes 14:18; 1Kor 10:5; Hes 13:6; 11:28; Za 90:3-8; Rum 11:22; Kum 32:49-50; Yos 14:10; Hes 14:18, 30; Ebr 3:17, 18; Yud 5Kwa maana Bwana alikuwa amewaambia hao Waisraeli hakika wangekufa huko jangwani, wala hakuna mmoja wao aliyeachwa, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.