התגלות 9 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

התגלות 9:1-21

1כשתקע המלאך החמישי בשופרו ראיתי כוכב נופל ארצה מן השמים, וניתן לו מפתח התהום. 2כשפתח את פי התהום עלה עשן סמיך, כעשן שעולה מכבשן ענק, אשר החשיך את השמש והשמים.

3מתוך העשן יצא ארבה וירד על הארץ. לארבה ניתן שלטון וכוח כמו לעקרבי־הארץ.

4נאמר להם לא להשחית את צמחיית הארץ – לא לפגוע בעצים, בפרחים או בעשבים, אלא רק בבני־האדם שלא נשאו על מצחם את חותם אלוהים. 5לא ניתן לארבה כוח להמית אנשים אלה, אלא רק לייסרם בכאב של עקיצות עקרב במשך חמישה חודשים. 6בימים ההם ירצו בני־האדם להתאבד, אך לא יוכלו; הם ישתוקקו למות, אך המוות יברח מפניהם!

7הארבה דמה במראהו לסוסים ערוכים למלחמה; פניהם כפני אדם, על ראשם מעין כתר זהב, 8שערם כשיער אישה ושיניהם כשיני אריה. 9הם לבשו שריונים שנראו כעשויים ברזל, וקול כנפיהם נשמע כקול המון מרכבות סוסים ערוכים למלחמה. 10זנבות הארבה היו כזנבות עקרבים, בעלי עוקץ בקצה, ובהם טמון הכוח לייסר את בני־האדם במשך חמישה חודשים. 11מלכם הוא מלך התהום הנקרא בעברית ”אבדון“, וביוונית – ”אפוליון“.

12אסון אחד חלף, אך שניים אחרים באים בעקבותיו.

13כשתקע המלאך השישי בשופרו, שמעתי קול מארבע קרנות מזבח הזהב אשר לפני אלוהים. 14הקול דיבר אל המלאך השישי שזה עתה תקע בשופרו: ”שחרר את ארבעת המלאכים האסורים בנהר הגדול פרת.“ 15ארבעת המלאכים הוכנו לאותה שנה, לאותו חודש, לאותו יום ולאותה שעה, ועתה שוחררו כדי להמית שליש מכל בני־האדם. 16שמעתי שהנהיגו צבא של 200,000,000 פרשים.

17כך נראו הסוסים והפרשים בחזיון שראיתי: חלק מהפרשים לבשו שריון בצבע אדום כאש, חלק אחר לבשו שריון בצבע תכלת, והשאר לבשו שריון בצבע צהוב כגופרית. ראשי הסוסים היו כראשי אריות ומפיהם יצאו גופרית, אש ועשן. 18במגפות הגופרית, האש והעשן הם המיתו שליש מכל בני־האדם. 19כוח ההמתה שלהם לא היה בפיהם בלבד, אלא גם בזנבותיהם, שכן זנבותיהם דמו לראשי נחשים שהכישו והמיתו את קורבנותיהם.

20יתר בני־האדם, שלא מתו במגפות האלה, עדיין סירבו לחזור בתשובה ולשרת את ה׳. הם המשיכו במעשיהם המושחתים, ובסגידה לשדים ולאלילים העשויים זהב, כסף, נחושת ועץ. אכן, הם השתחוו לאלילים שאינם מסוגלים לראות, לשמוע או להלך. 21הם אף המשיכו לרצוח, לעסוק בכישוף, לגנוב ולזנות.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 9:1-21

Tarumbeta Ya Tano

19:1 Ufu 8:10; Lk 8:31Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake, nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi ardhini. Nyota hiyo ilipewa ufunguo wa lile Shimo.9:1 Yaani Abyss kwa Kiyunani; maana yake ni Kuzimu, yaani makao ya pepo wachafu. 29:2 Mwa 19:28; Kut 19:18; Yoe 2:2-10Alipolifungua hilo Shimo, moshi ukapanda kutoka humo kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua na anga vikatiwa giza na ule moshi uliotoka katika hilo Shimo. 39:3 Kut 10:12-15Ndipo katika ule moshi wakatoka nzige wakaenda juu ya nchi, nao wakapewa nguvu kama zile za nge wa duniani. 49:4 Ufu 7:2-3; 6:6; 8:7; Eze 9:4; Ufu 7:3Wakaambiwa wasidhuru nyasi ya nchi, wala mmea wala mti wowote, bali wawadhuru tu wale watu ambao hawana muhuri wa Mungu kwenye vipaji vya nyuso zao. 59:5 Ufu 9:3, 10Wakaruhusiwa kuwatesa kwa muda wa miezi mitano, lakini wasiwaue. Uchungu wa kuuma kwao ulikuwa kama ule wa mtu aumwapo na nge. 69:6 Ay 7:15; Ufu 6:16Katika siku hizo watu watatafuta kifo lakini hawatakiona, watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.

79:7 Yoe 2:4; Dan 7:8Wale nzige walikuwa na umbo kama la farasi waliotayarishwa kwa ajili ya vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji za dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu. 89:8 Yoe 1:6Walikuwa na nywele kama za wanawake, na meno yao yalikuwa kama ya simba. 99:9 Yoe 2:5Walikuwa na dirii kama za chuma, na sauti za mabawa yao zilikuwa kama ngurumo za farasi wengi na magari mengi yakikimbilia vitani. 109:10 Ufu 9:3, 5, 19Walikuwa na mikia yenye miiba ya kuumia kama nge. Nguvu yao ya kutesa watu kwa huo muda wa miezi mitano ilikuwa katika hiyo mikia yao. 119:11 Ufu 9:1, 2; Lk 8:31; 16:16; Ay 26:6; 28:22Walikuwa na mfalme wao, ambaye ni malaika wa lile Shimo, ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani ni Apolioni.9:11 Abadoni au Apolioni maana yake ni Mharabu, yaani Yule aharibuye.

129:12 Ufu 8:13Ole ya kwanza imepita, bado nyingine mbili zinakuja.

Tarumbeta Ya Sita

139:13 Kut 30:1-3; Ufu 8:3Malaika wa sita akaipiga tarumbeta yake, nami nikasikia sauti ikitoka katika zile pembe za madhabahu ya dhahabu iliyoko mbele za Mungu. 149:14 Ufu 16:12Ile sauti ikamwambia yule malaika wa sita mwenye tarumbeta, “Wafungulie wale malaika wanne waliofungwa kwenye ule mto mkubwa Frati.” 159:15 Ufu 20:7; 8:7; 9:12Basi wale malaika wanne, waliokuwa wamewekwa tayari kwa ajili ya saa hiyo, na siku hiyo, na mwezi huo, na mwaka huo ili wawaue theluthi ya wanadamu wakafunguliwa. 169:16 Ufu 5:11; 7:4Idadi ya majeshi wapanda farasi ilikuwa 200,000,000. Nilisikia idadi yao.

179:17 Ufu 11:5Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi na wapanda farasi katika maono yangu: Wapanda farasi walivaa dirii vifuani zenye rangi nyekundu sana kama ya moto na yakuti samawi na kiberiti. Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vichwa vya simba, na moto, moshi na kiberiti vilitoka vinywani mwao. 189:18 Ufu 8:7; 9:15, 17Theluthi ya wanadamu wakauawa kwa mapigo hayo matatu, yaani, huo moto, moshi na kiberiti, vilivyotoka kwenye vinywa vya hao farasi. 199:19 Isa 9:15Nguvu za hao farasi zilikuwa katika vinywa vyao na kwenye mikia yao, kwa sababu mikia yao ilikuwa kama nyoka, yenye vichwa ambayo waliitumia kudhuru.

209:20 Mik 5:13; Mdo 7:41; 1Kor 10:20; Dan 5:23Wanadamu waliosalia, ambao hawakuuawa katika mapigo hayo, bado walikataa kutubia kazi za mikono yao na hawakuacha kuabudu mashetani na sanamu za dhahabu, za fedha, za shaba, za mawe na za miti, ambazo haziwezi kuona, kusikia wala kutembea. 219:21 Ufu 2:21; 18:23; 17:2-5Wala hawakutubu na kuacha matendo yao ya uuaji, uchawi, uasherati wala wizi wao.