הבשורה על-פי מתי 1 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

הבשורה על-פי מתי 1:1-25

1לפניכם ספר קורות חייו של ישוע המשיח, אשר מוצאו מיוחס לדוד המלך ולאברהם אבינו:

2אברהם היה אביו של יצחק; יצחק היה אביו של יעקב; יעקב היה אביהם של יהודה ואֶחָיו;

3יהודה היה אביהם של פרץ וזרח (אמם הייתה תמר); פרץ היה אביו של חצרון; חצרון היה אביו של רם;

4רם היה אביו של עמינדב; עמינדב היה אביו של נחשון; נחשון היה אביו של שלמון;

5שלמון היה אביו של בועז (אמו הייתה רחב); בועז היה אביו של עובד (אמו הייתה רות); עובד היה אביו של ישי;

6ישי היה אביו של דוד המלך; דוד היה אביו של שלמה (אמו הייתה אלמנתו של אוריה החתי).

7שלמה היה אביו של רחבעם; רחבעם היה אביו של אביה; אביה היה אביו של אסא;

8אסא היה אביו של יהושפט; יהושפט היה אביו של יורם; יורם היה אביו של עוזיה;

9עוזיה היה אביו של יותם; יותם היה אביו של אחז; אחז היה אביו של חזקיה;

10חזקיה היה אביו של מנשה; מנשה היה אביו של אמון; אמון היה אביו של יאשיה;

11יאשיה היה אביהם של יכניה ואחיו (שנולדו בזמן גלות בבל).

12לאחר הגלות לבבל:

יכניה היה אביו של שאלתיאל; שאלתיאל היה אביו של זרובבל;

13זרובבל היה אביו של אביהוד; אביהוד היה אביו של אליקים; אליקים היה אביו של עזור;

14עזור היה אביו של צדוק; צדוק היה אביו של יכין; יכין היה אביו של אליהוד;

15אליהוד היה אביו של אלעזר; אלעזר היה אביו של מתן; מתן היה אביו של יעקב;

16יעקב היה אביו של יוסף (שהיה בעלה של מרים, אמו של ישוע המשיח).

17אם כן, ארבעה־עשר דורות חלפו מאברהם אבינו ועד דוד המלך, ארבעה־עשר דורות מאז דוד המלך ועד גלות בבל וארבעה־עשר דורות מגלות בבל עד המשיח.

18זהו סיפור הולדתו של ישוע המשיח: אמו מרים הייתה מאורסת ליוסף, אולם עוד כשהייתה בתולה הרתה מרוח הקודש. 19יוסף ארוסה, שהיה איש ישר וערכי, החליט משום כך לבטל את האירוסין, אולם בחר לעשות זאת בסתר, כי לא רצה לבייש את מרים בציבור.

20לאחר שהחליט יוסף לגרש את מרים נגלה אליו בחלום מלאך ה׳ ואמר: ”יוסף בן־דוד, אל תהסס להתחתן עם מרים, כי התינוק שבבטנה נוצר מרוח הקודש! 21מרים תלד בן, ועליך לקרוא לו ’ישוע‘ (כלומר, מושיע), כי הוא יושיע את בני־עמו מחטאיהם.“ 22לידתו של ישוע קיימה את מה שאמר אלוהים באמצאות נביאיו:1‏.22 א 22 ישעיהו ז 14 23”הנה העלמה הרה ויולדת בן, וקראת שמו עמנו אל.“

24כשיוסף התעורר, הוא עשה מה שציווה עליו המלאך והתחתן עם מרים. 25אולם מרים נשארה בתולה עד שנולד בנה, ויוסף קרא לו ”ישוע“.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mathayo 1:1-25

Kumbukumbu Za Ukoo Wa Yesu Kristo

(Luka 3:23-38)

11:1 Rum 1:3; Mwa 22:18; Lk 3:23-38Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu:

21:2 Mwa 21:3, 12; 25:26; 29:35; 49:10Abrahamu akamzaa Isaki,

Isaki akamzaa Yakobo,

Yakobo akawazaa Yuda na ndugu zake,

31:3 Mwa 38:27-30; 1Nya 2:5, 9; Rut 4:18-22; 1Nya 2:10-12Yuda akawazaa Peresi na Zera, ambao mama yao alikuwa Tamari,

Peresi akamzaa Hesroni,

Hesroni akamzaa Aramu,

4Aramu akamzaa Aminadabu,

Aminadabu akamzaa Nashoni,

Nashoni akamzaa Salmoni,

51:5 Rut 4:13-17; Ebr 11:31Salmoni akamzaa Boazi, na mama yake Boazi alikuwa Rahabu,

Boazi akamzaa Obedi, ambaye mama yake alikuwa Ruthu,

Obedi akamzaa Yese,

61:6 1Sam 16:1; 17:12; 2Sam 12:24Yese akamzaa Daudi ambaye alikuwa mfalme.

Daudi akamzaa Solomoni, ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria.

71:7 1Nya 3:10-14Solomoni akamzaa Rehoboamu,

Rehoboamu akamzaa Abiya,

Abiya akamzaa Asa,

8Asa akamzaa Yehoshafati,

Yehoshafati akamzaa Yoramu,1:8 Yoramu ndiye Yehoramu, maana yake ni Yehova yu juu.

Yoramu akamzaa Uzia,

9Uzia akamzaa Yothamu,

Yothamu akamzaa Ahazi,

Ahazi akamzaa Hezekia,

101:10 2Fal 20:21; 1Nya 3:13Hezekia akamzaa Manase,

Manase akamzaa Amoni,

Amoni akamzaa Yosia,

111:11 Dan 1:1-2; 2Fal 24:14-16; Yer 27:20; 40:1wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.

121:12 1Nya 3:17-19; Ezr 3:2Baada ya uhamisho wa Babeli:

Yekonia alimzaa Shealtieli,

Shealtieli akamzaa Zerubabeli,

13Zerubabeli akamzaa Abiudi,

Abiudi akamzaa Eliakimu,

Eliakimu akamzaa Azori,

14Azori akamzaa Sadoki,

Sadoki akamzaa Akimu,

Akimu akamzaa Eliudi,

15Eliudi akamzaa Eleazari,

Eleazari akamzaa Matani,

Matani akamzaa Yakobo,

161:16 Lk 1:27; Mt 27:17naye Yakobo akamzaa Yosefu ambaye alikuwa mumewe Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo.1:16 Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta.

17Hivyo, kulikuwepo na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli hadi Kristo.

Kuzaliwa Kwa Yesu Kristo

(Luka 2:1-7)

181:18 Lk 1:35Basi Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama yake alikuwa ameposwa na Yosefu, lakini kabla hawajakutana kimwili, Maria alionekana kuwa na mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu. 191:19 Kum 24:1Kwa kuwa Yosefu, mwanaume aliyekuwa amemposa alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha Maria hadharani, aliazimu kumwacha kwa siri.

201:20 Lk 1:35Lakini mara alipoazimu kufanya jambo hili, malaika wa Bwana akamtokea katika ndoto na kusema, “Yosefu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu. 211:21 Lk 1:31; Za 130:8; Tit 2:14Naye atamzaa mwana, nawe utamwita Jina lake Yesu,1:21 Yesu ni Iesous kwa Kiyunani, na kwa Kiebrania ni Yoshua au Yeshua. Maana yake ni Yehova ni wokovu. kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”

221:22 Mt 22:15; 17:23; 4:14; Lk 4:21; 21:22; Yn 13:18; 19:24Haya yote yalitukia ili litimie lile Bwana alilokuwa amenena kupitia nabii, akisema: 231:23 Isa 7:14; 8:8-10“Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita Jina lake Imanueli”: maana yake, “Mungu pamoja nasi.”

241:24 Mdo 5:19Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa Bwana, akamchukua Maria kuwa mke wake. 251:25 Lk 1:31; 2:7; 2:1; 2:4-7; 1:5Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanawe kifungua mimba akamwita Jina lake Yesu.