הבשורה על-פי מרקוס 11 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

הבשורה על-פי מרקוס 11:1-33

1כאשר התקרבו לירושלים והגיעו לבית־פגי ובית־עניה, שעל הר הזיתים, פנה ישוע אל שניים מתלמידיו ואמר:

2”לכו אל הכפר ממול, ובכניסה תראו עַיִר קשור שאיש עדיין לא רכב עליו. התירו את העיר והביאו אותו אלי. 3אם מישהו ישאל אתכם מה אתם עושים, אמרו לו, ’האדון זקוק לעיר, אך הוא ישיב אותו בהקדם‘. “

4‏-5שני התלמידים נכנסו אל הכפר ומצאו את העיר עומד על השביל, קשור לשער אחד הבתים. בהתירם את העיר שאלו מספר אנשים שעמדו שם: ”מה אתם עושים? לאן אתם לוקחים את העיר?“

6התלמידים השיבו שישוע ביקש מהם להביא לו את העיר, והאנשים לא התנגדו יותר.

7הם הביאו את העיר לישוע, וכל התלמידים הניחו את מעיליהם על גבו, כדי שישוע יוכל לשבת בנוח. 8רבים מן הקהל פרשו את מעיליהם על הדרך לפני ישוע, ואחרים כרתו ענפים והניחו אותם על הדרך.

9הקהל, שנמלא התלהבות, נדחף ונדחק אל ישוע מכל עבר וקרא: ”הושע־נא! ברוך הבא בשם ה׳! 10תבורך מלכות דוד הבאה עלינו! הושע־נא במרומים!“

11כל הקהל הזה ליווה את ישוע אל תוך העיר. מאוחר יותר נכנס ישוע לבית־המקדש והביט סביבו בתשומת לב מרובה, אולם מאחר שהשעה הייתה מאוחרת הוא עזב את המקום והלך עם תלמידיו לבית־עניה.

12למחרת בבוקר, בעזבם את בית־עניה, היה ישוע רעב. 13הוא ראה מרחוק עץ תאנה עם עלים ירוקים ורעננים. ישוע התקרב אל העץ וחיפש תאנים, אולם לא מצא דבר מלבד עלים, כי טרם הגיעה העונה.

14ישוע קילל את התאנה ואמר: ”מהיום והלאה איש לא יאכל תאנים ממך!“ והתלמידים שמעו זאת.

15הם חזרו לירושלים וישוע הלך ישר לבית־המקדש. הוא החל לגרש משם את הסוחרים והקונים, הפך את השולחנות של מחליפי הכספים ואת הדוכנים של סוחרי היונים, 16ולא הרשה לאיש לשאת כלים וסחורה דרך המקדש.

17ישוע פנה אל הקהל הנדהם: ”כתוב בכתבי־הקודש:11‏.17 יא 17 ישעיהו נו 7 ’ביתי בית־תפלה ייקרא לכל העמים‘. אולם אתם הפכתם אותו למאורת גנבים!“ 18ראשי הכוהנים והסופרים שמעו על מה שישוע עשה, והחלו לתכנן כיצד להיפטר ממנו. למעשה הם פחדו ממנו, מפני שכל העם העריץ אותו ואהב את מה שלימד.

19באותו ערב יצאו ישוע ותלמידיו אל מחוץ לעיר. 20בבוקר שוב עברו ליד עץ התאנה, ונדהמו לראות שהעץ יבש לגמרי. 21פטרוס נזכר במה שישוע עשה יום קודם ואמר: ”ראה, רבי – העץ שקיללת התייבש לגמרי!“

22”פשוט האמינו באלוהים“, אמר ישוע. 23”אילו באמת האמנתם בכוחו של אלוהים, יכולתם לצוות על ההר הזה לזוז ממקומו ולהיזרק לים. אם תאמינו ולא תטילו ספק יתקיים דברכם. 24דעו לכם, אתם יכולים להתפלל בעד כל דבר, ואם תאמינו שתקבלו את אשר ביקשתם, באמת תקבלו! 25אבל בשעה שאתם מתפללים עליכם לסלוח תמיד לכל מי שאתם שומרים לו טינה, כדי שאביכם שבשמים יסלח גם לכם על חטאיכם. 26אם לא תסלחו לאחרים – גם אביכם שבשמים לא יסלח לכם!“

27‏-28בינתיים ישוע ותלמידיו חזרו לירושלים, וישוע שב לבית־המקדש. אחדים מראשי הכוהנים הסופרים וזקנים באו אליו ושאלו בכעס: ”באיזו רשות אתה עושה את כל הדברים האלה?“

29”אני אענה לשאלתכם בתנאי שאתם תענו לשאלתי“, השיב ישוע. 30”אמרו לי, האם נשלח יוחנן המטביל על־ידי אלוהים או על־ידי בני־אדם?“ 31הם התייעצו ביניהם: ”אם נאמר שאלוהים שלח אותו, ישוע ישאל אותנו מדוע לא האמנו בו. 32אולם אם נאמר שלא אלוהים שלח אותו, כל העם יתנפל עלינו, כי כולם חושבים שיוחנן היה נביא שנשלח על־ידי אלוהים.“

33לבסוף השיבו: ”איננו יודעים.“

על כן השיב להם ישוע: ”אם כן, גם אני לא אענה לשאלתכם.“

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Marko 11:1-33

Yesu Aingia Yerusalemu Kwa Shangwe

(Mathayo 21:1-11; Luka 19:28-40; Yohana 12:12-19)

111:1 Mt 21:17; 21:1Walipokaribia Yerusalemu, wakafika Bethfage na Bethania katika Mlima wa Mizeituni. Yesu akawatuma wawili wa wanafunzi wake, 211:2 Hes 19:2; 1Sam 6:7akawaambia, “Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu. Na hapo mtakapoingia kijijini, mtamkuta mwana-punda amefungwa hapo, ambaye hajapandwa na mtu bado. Mfungueni, mkamlete hapa. 311:3 Mk 14:14Kama mtu yeyote akiwauliza, ‘Mbona mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji, na atamrudisha hapa baada ya muda mfupi.’ ”

411:4 Mk 14:16Wakaenda, wakamkuta mwana-punda amefungwa kando ya barabara, karibu na mlango wa nyumba. 5Walipokuwa wanamfungua, watu waliokuwa wamesimama karibu wakawauliza, “Mna maana gani mnapomfungua huyo mwana-punda?” 6Wakawajibu kama vile Yesu alivyokuwa amewaagiza, nao wale watu wakawaruhusu. 7Kisha wakamleta huyo mwana-punda kwa Yesu na kutandika mavazi yao juu yake, naye akampanda. 811:8 Mt 21:8Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakatandaza matawi waliyokuwa wamekata mashambani. 911:9 Za 118:25-26; Mt 23:39Kisha wale waliokuwa wametangulia mbele na wale waliokuwa wakifuata nyuma wakapaza sauti, wakisema,

“Hosana!”11:9 Kiebrania kusema Okoa, basi likawa neno la shangwe.

“Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!”

1011:10 Lk 2:14“Umebarikiwa Ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi!”

“Hosana kwake yeye aliye juu!”

1111:11 Mt 21:12-17Yesu akaingia Yerusalemu na kwenda Hekaluni. Akaangalia kila kitu kilichokuwamo, lakini kwa kuwa ilishakuwa jioni, akaenda zake Bethania pamoja na wale kumi na wawili.

Yesu Alaani Mtini Usiozaa

(Mathayo 21:18-19)

1211:12 Mt 21:18Kesho yake walipokuwa wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na njaa. 13Akauona mtini kwa mbali, naye akaenda ili aone kama ulikuwa na matunda. Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa kuwa hayakuwa majira ya tini. 1411:14 Mk 11:20Akauambia ule mti, “Tangu leo mtu yeyote asile kamwe matunda kutoka kwako.” Wanafunzi wake walimsikia akisema hayo.

Yesu Atakasa Hekalu

(Mathayo 21:12-17; Luka 19:45-48; Yohana 2:13-22)

1511:15 Mt 21:12; Lk 19:45; Yn 2:14Walipofika Yerusalemu, Yesu akaingia katika eneo la Hekalu, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakinunua na kuuza humo ndani. Akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilisha fedha, na pia viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa, 16wala hakumruhusu mtu yeyote kuchukua bidhaa kupitia ukumbi wa Hekalu. 1711:17 Isa 56:7; Yer 7:11Naye alipokuwa akiwafundisha, akasema, “Je, haikuandikwa kuwa:

“ ‘Nyumba yangu itaitwa

nyumba ya sala kwa mataifa yote’?

Lakini ninyi mmeifanya kuwa ‘pango la wanyangʼanyi.’ ”

1811:18 Mt 21:46; Lk 20:19; Mt 7:28Viongozi wa makuhani na walimu wa sheria wakapata habari hizi, nao wakaanza kutafuta njia ya kumuua, kwa kuwa walikuwa wakimwogopa, kwa sababu umati wote ulikuwa unashangazwa na mafundisho yake.

1911:19 Lk 21:37Ilipofika jioni, Yesu na wanafunzi wake wakatoka nje ya mji.

Mtini Ulionyauka

(Mathayo 21:20-22)

2011:20 Mt 21:19; Mk 11:14Asubuhi yake walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake. 2111:21 Mt 23:7Petro akakumbuka na kumwambia Yesu, “Rabi, tazama! Ule mtini ulioulaani umenyauka!”

2211:22 Yn 14:1Yesu akawajibu, “Mwaminini Mungu. 2311:23 Mt 21:21Amin, nawaambia, mtu yeyote atakayeuambia mlima huu, ‘Ngʼoka ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo asemayo yametukia, atatimiziwa. 2411:24 Mt 7:7Kwa sababu hiyo nawaambia, yoyote mtakayoyaomba mkisali, aminini ya kwamba mmeyapokea, nayo yatakuwa yenu. 2511:25 Mt 6:14Nanyi kila msimamapo kusali, sameheni mkiwa na neno na mtu, ili naye Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu. [ 2611:26 Mt 18:35; 6:4, 15Lakini kama ninyi msiposamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]”

Swali Kuhusu Mamlaka Ya Yesu

(Mathayo 21:23-27; Luka 20:1-8)

2711:27 Mt 21:23; Lk 20:1Wakafika tena Yerusalemu, na Yesu alipokuwa akitembea Hekaluni, viongozi wa makuhani, walimu wa sheria pamoja na wazee wa watu wakamjia. 28Wakamuuliza, “Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Na ni nani aliyekupa mamlaka ya kufanya hayo?”

29Yesu akawajibu, “Nitawauliza swali moja. Nijibuni, nami nitawaambia ni kwa mamlaka gani ninafanya mambo haya. 30Niambieni, je, ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”

31Wakahojiana wao kwa wao, wakisema, “Kama tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Mbona hamkumwamini?’ 3211:32 Mt 11:9Lakini tukisema, ‘Ulitoka kwa wanadamu,’…” (Waliwaogopa watu, kwa sababu kila mtu aliamini kwamba Yohana alikuwa nabii wa kweli.)

33Kwa hiyo wakamjibu Yesu, “Hatujui.”

Naye Yesu akawaambia, “Wala mimi sitawaambia ni kwa mamlaka gani ninatenda mambo haya.”