הבשורה על-פי לוקס 7 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

הבשורה על-פי לוקס 7:1-50

1לאחר שסיים לדבר באוזני העם בא ישוע לכפר־נחום. 2היה אז קצין רומאי, שמשרת אחד שאהב נטה למות. 3כאשר שמע הקצין על אודות ישוע, שלח אליו כמה מזקני היהודים כדי שיבקשו ממנו לבוא ולהציל את חיי המשרת. 4הזקנים באו אל ישוע והתחננו לפניו שייענה לבקשת הקצין.

”אנא, מלא את בקשתו“, התחננו הזקנים, 5”כי הוא אוהב את עמנו ואף בנה לנו בית־כנסת מכספו!“

6ישוע הלך איתם אל בית הקצין, אולם לפני הגיעם אל הבית שלח הקצין אחדים מחבריו אל ישוע כדי לומר לו: ”אדוני, אל תטריח את עצמך! איני ראוי שתבוא אל ביתי, 7ומסיבה זאת גם לא העזתי לבוא אליך בעצמי. בבקשה ממך, רק צווה שמשרתי יבריא והוא יבריא. 8מנין לי הביטחון הזה? הרי אני רגיל לקבל פקודות מהממונים עלי, ואף לתת פקודות לחיילים תחת פקודי. אם אני אומר לחייל אחד: ’לך‘, הוא הולך. אם אני אומר לחייל אחר: ’בוא‘, הוא בא. אם אני אומר למשרתי: ’עשה עבודה זאת או אחרת‘, הוא עושה אותה. כך גם אם תצווה על המשרת שיבריא – הוא יבריא.“

9דברי הקצין הפליאו את ישוע. הוא פנה אל הקהל שליווה אותו ואמר: ”בקרב כל עם ישראל לא ראיתי אדם בעל אמונה כזאת!“

10כשחזרו חברי הקצין אל הבית ראו שהמשרת הבריא לחלוטין. 11זמן קצר לאחר מכן הלך ישוע עם תלמידיו אל העיירה נעים, וכרגיל הלך אחריו קהל גדול. 12כשהתקרב ישוע אל שער העיירה ראה תהלוכת־לוויה יוצאת מעיר. הייתה זאת הלוויה של בן יחיד לאם אלמנה, ובין האבלים היו רבים מתושבי המקום. 13מראה האלמנה עורר את רחמי האדון והוא אמר לה: ”אל תבכי.“ 14הוא ניגש ונגע באלונקה, ונושאיה עצרו. ”נער, קום לחיים!“ קרא ישוע. 15הנער קם והחל לדבר אל הסובבים אותו וישוע השיבו לאמו. 16הקהל, שנמלא פחד ורעדה, שיבח את האלוהים וקרא: ”נביא גדול קם בינינו! היום ראינו את יד אלוהים!“

17השמועה על המעשה של ישוע התפשטה בכל יהודה והאזור סביב.

18גם תלמידי יוחנן המטביל שמעו על מעשי ישוע וסיפרו ליוחנן את כל אשר שמעו. 19יוחנן קרא אליו שניים מתלמידיו ושלח אותם אל ישוע כדי לשאול: ”האם אתה המשיח, או שעלינו לחכות למישהו אחר?“

20שני התלמידים באו אל ישוע ואמרו: ”יוחנן המטביל שלח אותנו אליך כדי לשאול: האם לך אנחנו מצפים, או למישהו אחר?“ 21באותה עת ריפא ישוע אנשים רבים ממחלות, נגעים, רוחות רעות והשיב את הראייה לעיוורים רבים. 22”לכו וספרו ליוחנן את כל אשר ראיתם ושמעתם כאן היום“, ענה ישוע לשאלתם. ”ספרו לו שהעיוורים רואים, הפיסחים הולכים, המצורעים מטוהרים, החרשים שומעים, המתים קמים לתחייה והעניים שומעים את בשורת אלוהים. 23ועוד אמרו ליוחנן כי ברוך האיש שלא אהיה לו מכשול, אלא יאמין בי.“

24לאחר שהלכו שני התלמידים דיבר ישוע אל הקהל על אודות יוחנן: ”מה הלכתם לראות במדבר? האם הלכתם להתבונן בעשב הנע ברוח? 25אמרו לי, מה ציפיתם לראות? אדם לבוש בגדים יפים? הרי מי שלובש בגדים מפוארים גר בארמונות פאר ולא במדבר. 26מה באמת הלכתם לראות, נביא? כן! נביא הלכתם לראות, ואני אומר לכם שהוא גדול אף מנביא. 27על האיש הזה כתוב בתנ״ך:7‏.27 ז 27 מלאכי ג 1 ’הנני שולח מלאכי לפניך ופנה־דרכך לפניךָ‘. 28ובכן, לא נולד אדם גדול מיוחנן, ויחד עם זאת – הקטן במלכות האלוהים גדול ממנו!“

29כל האנשים אשר שמעו את דברי יוחנן – אפילו גובי מכס – הצדיקו את דרישות אלוהים ונטבלו על־ידי יוחנן. 30אולם הפרושים וחכמי התורה דחו את תוכניתו של ה׳ למענם וסרבו להיטבל על־ידי יוחנן.

31”מה יכול אני להגיד על אנשים כאלה?“ שאל ישוע. ”למה הם דומים? 32הם דומים לילדים במגרש משחקים שמתלוננים באוזני חבריהם: ’ניגנו לכם בחליל אך לא רקדתם, קיננו לכם קינה, אך לא בכיתם‘.“ 33ישוע המשיך: ”יוחנן המטביל נהג לצום ולא שתה יין כל ימי חייו, ואתם קראתם לו ’משוגע‘. 34עכשיו בא בן־האדם שאוכל וגם שותה יין, ומה אתם אומרים? ’האיש הזה זללן, הוא שותה יין ומתחבר עם חוטאים וטיפוסים מפוקפקים! 35אנשים יכירו בצדקת ה׳ וחוכמתו כאשר יראו איך צדיקיו חיים‘.“7‏.35 ז 35 כלשונו: ”החכמה נצדקה בכל בניה.“

36פרוש אחד הזמין את ישוע לארוחה בביתו. ישוע נענה להזמנה, בא לבית הפרוש וישב ליד השולחן. 37באותה עיר הייתה אישה חוטאת. משנודע לה כי ישוע מתארח בבית הפרוש, לקחה פח מלא מרקחת בשמים יקרים ובאה אל הבית. 38כשנכנסה אל הבית כרעה ברך לפני ישוע והרטיבה את רגליו בדמעותיה. בשערה הארוך היא ניגבה את רגליו, נישקה אותן ומרחה עליהן את הבשמים שהביאה.

39מארחו של ישוע ראה את המתרחש, ומכיוון שהכיר את האישה אמר בלבו: ”אילו ישוע היה באמת נביא אלוהים, הוא היה יודע עם איזו אישה יש לו עניין!“ 40ישוע ידע את מחשבות הפרוש ולכן אמר לו: ”שמעון, ברצוני לומר לך משהו.“

”דבר, רבי“, השיב שמעון.

41ישוע סיפר לו את הסיפור הבא: ”אדם הילווה כסף לשני אנשים: חמש מאות שקלים לאחד, ו־חמשת־אלפים שקלים לשני. 42הואיל והשניים לא יכלו להחזיר את החוב, ריחם עליהם המלווה וויתר להם על החובות. מי לדעתך יאהב יותר את המלווה בעקבות מעשה נעלה זה?“

43”אני מניח שבעל החוב הגדול יותר“, ענה שמעון.

”נכון מאוד“, הסכים ישוע.

44ואז הביט באישה ואמר לשמעון: ”הבט באישה זאת; כשנכנסתי לביתך לא הצעת לי קערת מים כדי לרחוץ את רגלי מהאבק, ואילו אישה זו רחצה את רגלי בדמעותיה וניגבה אותן בשערה.

45”גם לא נשקת לי כמקובל, ואילו היא לא חדלה לנשק את רגלי מהרגע שבאתי לכאן. 46אתה לא טרחת למשוח שמן על ראשי, ואילו היא משחה את רגלי בבשמים ובשמנים יקרים. 47אהבתה הרבה מוכיחה שנסלחו לה חטאים רבים. אדם שנסלח לו מעט אוהב מעט.“ 48ישוע פנה אל האישה ואמר: ”נסלחו לך חטאיך.“

49האורחים האחרים שישבו איתו ליד השולחן אמרו בלבם: ”למי הוא חושב את עצמו שהוא סולח על חטאים?“

50אולם ישוע המשיך ואמר לאישה: ”אמונתך הושיעה אותך. לכי לשלום.“

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Luka 7:1-50

Yesu Amponya Mtumishi Wa Jemadari

(Mathayo 8:5-13)

17:1 Mt 7:28Baada ya Yesu kumaliza kusema haya yote watu wakiwa wanamsikiliza, akaingia Kapernaumu. 27:2 Yn 4:47Mtumishi wa jemadari mmoja wa Kirumi, ambaye bwana wake alimthamini sana, alikuwa mgonjwa sana karibu kufa. 3Jemadari huyo aliposikia habari za Yesu, aliwatuma wazee wa Kiyahudi kwake, wakamwomba aje kumponya mtumishi wa huyo jemadari. 4Wale wazee walipofika kwa Yesu, wakamsihi sana amsaidie yule jemadari wakisema, “Mtu huyu anastahili wewe umfanyie jambo hili, 5kwa sababu analipenda taifa letu tena ametujengea sinagogi.” 6Hivyo Yesu akaongozana nao, lakini alipokuwa hayuko mbali na nyumbani, yule jemadari akatuma rafiki zake kumwambia Yesu, “Bwana, usijisumbue, kwani mimi sistahili wewe kuingia chini ya dari yangu. 77:7 Za 107:20Ndiyo maana sikujiona hata ninastahili kuja kwako wewe. Lakini sema neno tu, naye mtumishi wangu atapona. 8Kwa kuwa mimi mwenyewe ni mtu niliyewekwa chini ya mamlaka, nikiwa na askari chini yangu. Nikimwambia huyu, ‘Nenda,’ yeye huenda; na mwingine nikimwambia, ‘Njoo,’ yeye huja. Nikimwambia mtumishi wangu, ‘Fanya hivi,’ yeye hufanya.”

9Yesu aliposikia maneno haya, alishangazwa naye sana. Akaugeukia ule umati wa watu uliokuwa unamfuata, akawaambia, “Sijaona imani kubwa namna hii hata katika Israeli.” 10Nao wale watu waliokuwa wametumwa kwa Yesu waliporudi nyumbani walimkuta yule mtumishi amepona.

Yesu Amfufua Mwana Wa Mjane

11Baadaye kidogo, Yesu alikwenda katika mji mmoja ulioitwa Naini. Nao wanafunzi wake na umati mkubwa wa watu walikwenda pamoja naye. 127:12 Lk 8:42; 1Fal 17:17Alipokaribia lango la mji, alikutana na watu waliokuwa wamebeba maiti wakitoka nje ya mji. Huyu aliyekufa alikuwa mwana pekee wa mwanamke mjane. Umati mkubwa wa watu wa mji ule ulikuwa pamoja na huyo mwanamke. 137:13 Lk 24:34; Yn 11:2Bwana Yesu alipomwona yule mjane, moyo wake ulimhurumia, akamwambia, “Usilie.”

147:14 Yn 11:43; Mdo 9:40Kisha akasogea mbele akaligusa lile jeneza na wale waliokuwa wamelibeba wakasimama kimya. Akasema, “Kijana, nakuambia inuka.” 157:15 1Fal 17:23; 2Fal 4:36Yule aliyekuwa amekufa akaketi akaanza kuongea, naye Yesu akamkabidhi kwa mama yake.

167:16 Lk 1:65-68; Mt 21:11; 9:8Watu wote wakajawa na hofu ya Mungu, nao wakamtukuza Mungu wakisema, “Nabii mkuu ametokea miongoni mwetu, Mungu amekuja kuwakomboa watu wake.” 177:17 Mt 9:26Habari hizi za mambo aliyoyafanya Yesu zikaenea Uyahudi wote na sehemu zote za jirani.

Yesu Na Yohana Mbatizaji

(Mathayo 11:2-19)

187:18 Mt 3:1; Lk 5:33Wanafunzi wa Yohana Mbatizaji wakamweleza Yohana mambo haya yote. Hivyo Yohana akawaita wanafunzi wake wawili 197:19 Za 40:7; 118:26; Mal 3:1; Dan 9:26na kuwatuma kwa Bwana ili kumuuliza, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”

20Wale watu walipofika kwa Yesu wakamwambia, “Yohana Mbatizaji ametutuma tukuulize, ‘Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?’ ”

217:21 Mt 4:23Wakati huo huo, Yesu aliwaponya wengi waliokuwa na magonjwa, maradhi na pepo wachafu, na pia akawafungua vipofu wengi macho wakapata kuona. 227:22 Isa 61:1-2; Lk 4:18-19Hivyo akawajibu wale wajumbe, “Rudini mkamwambie Yohana yote mnayoyaona na kuyasikia: Vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa habari njema. 23Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”

247:24 Mt 11:7Wajumbe wa Yohana walipoondoka, Yesu akaanza kusema na makutano kuhusu Yohana Mbatizaji. Akawauliza, “Mlipokwenda kule nyikani, mlikwenda kuona nini? Je, ni unyasi ukipeperushwa na upepo? 25Kama sivyo, mlikwenda kuona nini basi? Mtu aliyevaa mavazi ya kifahari? La hasha, watu wanaovaa mavazi ya kifahari na kuishi maisha ya anasa wako katika majumba ya kifalme. 267:26 Mt 11:9-10Lakini mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii. 277:27 Mal 3:1Huyu ndiye ambaye habari zake zimeandikwa:

“ ‘Tazama, nitamtuma mjumbe wangu mbele yako,

atakayetengeneza njia mbele yako.’

287:28 Mt 3:2Nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hakuna aliye mkuu kuliko Yohana. Lakini yeye aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mungu ni mkuu kuliko Yohana.”

297:29 Mt 21:32; Mk 1:5; Lk 3:12(Watu wote hata watoza ushuru waliposikia maneno ya Yesu, walikubali kwamba mpango wa Mungu ni haki, maana walikuwa wamebatizwa na Yohana. 307:30 Mt 22:25Lakini Mafarisayo na wataalamu wa sheria walikataa mpango wa Mungu kwao kwa kutokubali kubatizwa na Yohana.)

31Yesu akawauliza, “Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Wanafanana na nini? 32Wao ni kama watoto waliokaa sokoni wakiitana wao kwa wao, wakisema:

“ ‘Tuliwapigia filimbi,

lakini hamkucheza;

tuliwaimbia nyimbo za maombolezo,

lakini hamkulia.’

337:33 Lk 1:15Kwa maana Yohana Mbatizaji alikuja, alikuwa hali mkate wala hanywi divai, nanyi mkasema, ‘Yeye ana pepo mchafu.’ 347:34 Lk 5:29-30; 15:1-2Mwana wa Adamu alikuja akila na kunywa, nanyi mnasema: ‘Tazameni huyu mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na “wenye dhambi.” ’ 357:35 Mt 11:6Nayo hekima huthibitishwa kuwa kweli na watoto wake wote.”

Yesu Apakwa Mafuta Na Mwanamke Mwenye Dhambi

367:36 Mt 26:6; Mk 14:3; Yn 11:2; Lk 11:37Basi Farisayo mmoja alimwalika Yesu nyumbani kwake kwa chakula. Hivyo Yesu akaenda nyumbani mwa yule Farisayo na kukaa katika nafasi yake mezani. 37Naye mwanamke mmoja kwenye ule mji, ambaye alikuwa mwenye dhambi, alipojua kwamba Yesu alikuwa akila chakula nyumbani kwa yule Farisayo, akaleta chupa ya marhamu yenye manukato. 387:38 Mt 26:7-13; Yn 12:3-8Yule mwanamke akasimama nyuma ya miguu ya Yesu akilia. Akailowanisha miguu yake kwa machozi yake, kisha akaifuta kwa nywele zake, akaibusu na kuimiminia manukato.

397:39 Mt 21:11Yule Farisayo aliyemwalika Yesu alipoona yanayotendeka, akawaza moyoni mwake, “Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua kwamba ni nani anayemgusa, na kwamba yeye ni mwanamke wa namna gani, na ya kuwa huyu mwanamke ni mwenye dhambi.”

40Yesu akanena akamwambia, “Simoni, nina jambo la kukuambia.”

Simoni akajibu, “Mwalimu, sema.”

41“Palikuwa na mtu mmoja aliyewakopesha watu wawili fedha: Mmoja alidaiwa dinari 5007:41 Dinari 500 ni sawa na mshahara wa kibarua wa siku mia tano. na mwingine dinari hamsini. 42Wote wawili walipokuwa hawawezi kulipa, aliyafuta madeni yao wote wawili. Sasa ni yupi kati yao atakayempenda yule aliyewasamehe zaidi?”

43Simoni akajibu, “Nadhani ni yule aliyesamehewa deni kubwa zaidi.”

Naye Yesu akamwambia, “Umehukumu kwa usahihi.”

447:44 Amu 19:21; 1Tim 5:10Kisha akamgeukia yule mwanamke, akamwambia Simoni, “Je, unamwona mwanamke huyu? Nilipoingia nyumbani mwako, hukunipa maji ya kunawa miguu yangu, lakini huyu ameninawisha miguu kwa machozi yake, na kunifuta kwa nywele zake. 457:45 Lk 22:47-48; Rum 16:16Hukunisalimu kwa busu, lakini huyu mwanamke hajaacha kuibusu miguu yangu tangu nilipoingia. 467:46 Za 23:5; Mhu 9:8Hukunipaka mafuta kichwani mwangu, lakini yeye ameipaka miguu yangu manukato. 477:47 1Tim 1:14Kwa hiyo, nakuambia, dhambi zake zilizokuwa nyingi zimesamehewa, kwani ameonyesha upendo mwingi. Lakini yule aliyesamehewa kidogo, hupenda kidogo.”

487:48 Mt 9:2Kisha akamwambia yule mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.”

497:49 Mt 9:3; Mk 2:7Lakini wale waliokuwa wameketi pamoja naye chakulani wakaanza kusemezana wao kwa wao, “Huyu ni nani ambaye hata anasamehe dhambi?”

507:50 Mt 9:22; Mk 5:34; Mdo 15:33Yesu akamwambia yule mwanamke, “Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani.”