הבשורה על-פי לוקס 5 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

הבשורה על-פי לוקס 5:1-39

1יום אחד עמד ישוע על חוף הכינרת ובישר את דבר האלוהים. מספר הנוכחים הלך וגדל, עד שהם נדחפו ונדחקו אליו מכל צד. 2ישוע הבחין בשתי סירות ריקות שעגנו ליד החוף. בעלי הסירות, שהיו דייגים במקצועם, רחצו באותו זמן את רשתותיהם. 3ישוע עלה על אחת הסירות, שהייתה של שמעון, וביקש ממנו להרחיק מעט את הסירה מהחוף, כדי שיוכל לשבת בתוכה ולדבר אל הקהל.

4לאחר שסיים ישוע לדבר אל הקהל, פנה אל שמעון ואמר: ”השט את הסירה אל מים עמוקים והשלך את הרשתות כדי לדוג.“

5”רבי,“ השיב שמעון, ”בלילה האחרון עבדנו קשה מאוד ולא תפסנו כלום. אולם אם אתה אומר לנו להשליך את הרשתות, נעשה כדברך.“

6הם השליכו את הרשתות לים, והפעם תפסו כל כך הרבה דגים עד שהרשתות היו כבדות מדי והחלו להיקרע! 7הם קראו לעזרתם את חבריהם שבסירה השנייה, ומילאו את שתי הסירות בדגים עד שכמעט טבעו!

8כשראה שמעון פטרוס את הפלא הגדול, נפל על ברכיו לרגלי ישוע ואמר: ”אדוני, עזוב אותי לנפשי, כי אני חוטא גדול מדי ואיני ראוי להיות במחיצתך.“ 9‏-10שמעון אמר דברים אלה משום שהוא וכל הנוכחים איתו, כולל שותפיו יעקב ויוחנן בני־זַבְדִּי, היו בתדהמה גדולה לנוכח השלל הבלתי רגיל.

”אל תפחד.“ אמר ישוע לשמעון. ”מעתה ואילך תהיה דייג של בני אדם.“

11לאחר שהשיטו את הסירות לחוף עזבו הכול והלכו אחרי ישוע. 12באחד הכפרים שבהם ביקר ישוע היה אדם נגוע בצרעת. בראותו את ישוע נפל האיש לרגליו והתחנן: ”אדוני, אם רק תרצה תוכל לרפא אותי.“

13ישוע הושיט את ידו, נגע במצורע ואמר: ”ודאי שאני רוצה. הירפא!“ ומיד נעלמה הצרעת.

14”אל תספר את הדבר לאיש!“ ציווה עליו ישוע. ”לך מיד אל הכהן והראה לו שנרפאת. אל תשכח לקחת איתך קרבן – כפי שציווה משה על המטוהרים מצרעת – כדי שכולם יראו שנרפאת.“ 15בכל זאת התפשטו השמועות על גבורתו של ישוע במהירות רבה, ואנשים רבים באו להקשיב לדבריו ולהירפא ממחלותיהם. 16אף־על־פי־כן התחמק מהם ישוע לעיתים קרובות והלך למקומות מבודדים כדי להתפלל.

17יום אחד, כשלימד ישוע כמנהגו, התקבצו סביבו בין השאר גם פרושים וסופרים שבאו מכפרי הגליל, מיהודה ומירושלים, וה׳ העניק לו גבורה גדולה לרפא את החולים.

18כעבור זמן קצר הופיעו מספר אנשים שנשאו חולה משותק על אלונקה. הם רצו להביא את החולה לפני ישוע, 19אולם בשל הצפיפות הרבה לא הצליחו לפלס דרך אל תוך הבית. נושאי האלונקה לא נואשו; הם עלו על גג הבית, עקרו כמה רעפים ממקומם והורידו את האלונקה מהגג אל אמצע החדר – לרגלי ישוע.

20כשראה ישוע את אמונתם, אמר לאיש המשותק: ”ידידי, נסלחו לך חטאיך!“

21”למי הוא חושב את עצמו?“ שאלו הפרושים והסופרים בלבם. ”הוא מחלל את שם האלוהים, רק אלוהים יכול לסלוח על חטאים!“ 22ישוע הבין את מחשבותיהם ולכן השיב להם: ”מדוע אתם חושבים שאני מחלל את שם אלוהים? 23מה לדעתכם קל יותר, לומר ’נסלחו לך חטאיך‘, או ’קום והתהלך‘? 24אני אוכיח לכם כי לבן־האדם יש בארץ סמכות מלאה לסלוח על חטאים!“ ישוע פנה אל האיש המשותק ופקד עליו: ”קום! קפל את האלונקה שלך ולך הביתה.“

25מיד קפץ האיש על רגליו לנגד עיניהם, קיפל את האלונקה שלו והלך לביתו כשהוא מהלל את האלוהים. 26כל הנוכחים נדהמו. ”היום ראינו פלא גדול“, אמרו ביראה והללו את האלוהים. 27לאחר מכן יצא ישוע מהעיר ופגש בדרך גובה־מכס אחד, לוי שמו, יושב בשער בית־המכס.

”בוא והיה תלמיד שלי“, אמר לו ישוע. 28לוי קם על רגליו, עזב הכול מאחוריו והלך אחרי ישוע.

29ערב אחד הכין לוי ארוחה חגיגית לכבוד ישוע והזמין גובי־מכס מהעבודה, ידידים, שכנים וקרובים.

30אולם הדבר לא מצא־חן בעיני הסופרים והפרושים, אשר התלוננו באוזני תלמידיו של ישוע: ”איך הוא יכול לאכול ולשתות בחברת החוטאים האלה?“ 31”החולים הם הזקוקים לרופא, לא הבריאים!“ השיב להם ישוע. 32”לא באתי לקרוא לצדיקים לחזור בתשובה, כי אם לחוטאים.“

33הם המשיכו להתלונן ואמרו: ”תלמידי יוחנן המטביל צמים לעיתים קרובות ומתפללים, וגם הפרושים נוהגים כך. מדוע אין תלמידיך צמים?“ 34”האם אנשים שמחים צמים?“ השיב ישוע. ”האם אורחים המוזמנים לחתונה צמים בחגיגת החתן? 35אולם יבוא יום שהחתן יילקח מהם ואז יצומו.“

36ישוע סיפר להם את המשל הבא: ”איש אינו קורע חולצה חדשה כדי לתפור ממנה טלאי על חולצה ישנה. מי שעושה כך לא זו בלבד שהוא מקלקל את החולצה החדשה, אלא שגם אינו יכול ליהנות מהחולצה הישנה, כי הטלאי אינו מתאים.

37”איש אינו שם יין חדש בחביות ישנות ורקובות, מפני שהיין החדש יבקע את החביות, וכך היין יישפך והחביות תיהרסנה. 38יין חדש יש לשים בחביות חדשות. 39אדם הרגיל לשתות יין ישן אינו חפץ לשנות את מנהגו ולשתות יין חדש. ’היין הישן מוצא־חן בעיני‘, הוא יאמר, ולא ירצה אפילו לטעום מהיין החדש.“

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Luka 5:1-39

Kuitwa Kwa Wanafunzi Wa Kwanza

(Mathayo 4:18-22; Marko 1:16-20)

15:1 Mk 4:14; Ebr 4:12Siku moja Yesu alipokuwa amesimama karibu na Ziwa la Genesareti,5:1 Yaani Bahari ya Galilaya. watu wengi wakiwa wanasongana kumzunguka ili wapate kusikia neno la Mungu, 2akaona mashua mbili ukingoni mwa ziwa, zikiwa zimeachwa hapo na wavuvi waliokuwa wanaosha nyavu zao. 35:3 Mt 13:2Akaingia katika mojawapo ya hizo mashua ambayo ilikuwa ya Simoni, akamwomba aisogeze ndani ya maji kidogo kutoka ufuoni. Kisha akaketi na kufundisha watu akiwa mle ndani ya mashua.

45:4 Yn 21:6Alipomaliza kunena, akamwambia Simoni, “Sasa peleka mashua hadi kilindini kisha mshushe nyavu zenu mkavue samaki.”

55:5 Lk 9:33, 49; 17:13; Yn 21:3Simoni akamjibu, “Bwana, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha na hatukuvua chochote. Lakini, kwa neno lako nitazishusha nyavu.”

65:6 Yn 21:11Nao walipozishusha nyavu zao, wakavua samaki wengi sana, nyavu zao zikajaa zikaanza kukatika. 7Wakawaashiria wavuvi wenzao kwenye ile mashua nyingine ili waje kuwasaidia. Wakaja, wakajaza mashua zote mbili samaki hata zikaanza kuzama.

85:8 Mwa 18:27; Ay 42:6Simoni Petro alipoona haya yaliyotukia, alianguka miguuni mwa Yesu na kumwambia, “Bwana, ondoka kwangu. Mimi ni mtu mwenye dhambi!” 9Kwa kuwa yeye na wavuvi wenzake walikuwa wameshangazwa sana na wingi wa samaki waliokuwa wamepata. 105:10 Mt 14:27Vivyo hivyo wenzake Simoni, yaani Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, walishangazwa pia.

Ndipo Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope, tangu sasa utakuwa mvuvi wa watu.” 115:11 Mt 4:11Hivyo wakasogeza mashua zao mpaka ufuoni mwa bahari, wakaacha kila kitu na kumfuata.

Yesu Amtakasa Mtu Mwenye Ukoma

(Mathayo 8:1-4; Marko 1:40-45)

125:12 Mt 8:12Ikawa siku moja Yesu alipokuwa katika mji fulani, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamjia. Alipomwona Yesu, alianguka chini mpaka uso wake ukagusa ardhi, akamsihi akisema, “Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.”

13Yesu akanyoosha mkono wake, akamgusa yule mtu, akamwambia, “Nataka. Takasika!” Na mara ukoma wake ukatakasika.

145:14 Mt 8:4Yesu akamwagiza akisema, “Usimwambie mtu yeyote, bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani na ukatoe sadaka alizoagiza Mose kwa utakaso wako, ili kuwa ushuhuda kwao.”

155:15 Mt 9:26Lakini habari zake Yesu zikazidi sana kuenea kotekote kuliko wakati mwingine wowote. Makutano makubwa ya watu yalikuwa yakikusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. 165:16 Mt 14:23Lakini mara kwa mara Yesu alijitenga nao ili kwenda mahali pa faragha kuomba.

Yesu Amponya Mtu Mwenye Kupooza

(Mathayo 9:1-8; Marko 2:1-12)

175:17 Mt 15:1; Lk 2:46; Mk 5:30; Lk 6:19Siku moja Yesu alipokuwa akifundisha, Mafarisayo na walimu wa sheria, waliokuwa wametoka kila kijiji cha Galilaya na kutoka Uyahudi na Yerusalemu, walikuwa wameketi huko. Nao uweza wa Bwana ulikuwa juu yake kuponya wagonjwa. 185:18 Mt 9:2; Mk 2:8Wakaja watu wamembeba mgonjwa aliyepooza kwenye mkeka. Wakajaribu kumwingiza ndani ili wamweke mbele ya Yesu. 19Walipokuwa hawawezi kufanya hivyo kwa sababu ya umati wa watu, wakapanda juu ya paa, wakaondoa baadhi ya matofali, wakamteremsha yule mgonjwa kwa mkeka wake hadi katikati ya ule umati pale mbele ya Yesu.

205:20 Lk 7:48-49Yesu alipoiona imani yao, akamwambia yule mgonjwa, “Rafiki, dhambi zako zimesamehewa.”

215:21 Isa 43:25; Lk 7:49; Yn 5:12Mafarisayo na wale walimu wa sheria wakaanza kuuliza, “Ni nani mtu huyu anayesema maneno ya kukufuru? Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”

22Yesu akijua mawazo yao akawauliza, “Kwa nini mnawaza hivyo mioyoni mwenu? 23Je, ni lipi lililo rahisi zaidi, kumwambia, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’? 245:24 Mt 8:20Lakini ili mpate kujua kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani kusamehe dhambi…” Akamwambia yule aliyepooza, “Nakuambia, inuka, chukua mkeka wako, uende nyumbani kwako.” 25Mara yule mtu aliyekuwa amepooza akasimama mbele yao wote, akachukua mkeka wake, akaenda zake nyumbani, huku akimtukuza Mungu. 265:26 Mt 9:8Kila mmoja akashangaa na kumtukuza Mungu. Wakajawa na hofu ya Mungu, wakasema, “Leo tumeona mambo ya ajabu.”

Yesu Amwita Lawi

(Mathayo 9:9-13; Marko 2:13-17)

275:27 Mt 4:19Baada ya haya, Yesu alitoka na kumwona mtoza ushuru mmoja jina lake Lawi akiwa amekaa forodhani, mahali pake pa kutoza ushuru. Akamwambia, “Nifuate.” 285:28 Lk 5:11; Mt 4:19Naye Lawi akaacha kila kitu, akaondoka, akamfuata.

295:29 Lk 15:1Kisha Lawi akamfanyia Yesu karamu kubwa nyumbani kwake, nao umati mkubwa wa watoza ushuru na watu wengine walikuwa wakila pamoja nao. 305:30 Mdo 23:9; Mt 9:11Lakini Mafarisayo na walimu wa sheria waliokuwa wa dhehebu lao wakawalalamikia wanafunzi wa Yesu, wakisema, “Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?”

31Yesu akawajibu, “Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa. 325:32 Yn 3:17Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.”

Yesu Aulizwa Kuhusu Kufunga

(Mathayo 9:14-17; Marko 2:18-22)

335:33 Lk 7:18; Yn 1:35; 3:25-26; Mt 14:17; Mk 2:18-22Wakamwambia Yesu, “Wanafunzi wa Yohana na wa Mafarisayo mara kwa mara hufunga na kuomba, lakini wanafunzi wako wanaendelea kula na kunywa.”

345:34 Yn 3:29; Mt 14:17; Mk 2:18-22Yesu akawajibu, “Je, mnaweza kuwafanya wageni wa bwana arusi kufunga wakati yuko pamoja nao? 355:35 Lk 9:22; 7:22; Mt 14:17; Mk 2:18-22Lakini wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kwao. Hapo ndipo watakapofunga.”

365:36 Mt 14:17; Mk 2:18-22; Mt 9:16, 17; Mk 2:21, 22Yesu akawapa mfano huu, akawaambia: “Hakuna mtu achanaye kiraka kutoka kwenye nguo mpya na kukishonea kwenye nguo iliyochakaa. Akifanya hivyo, atakuwa amechana nguo mpya, na kile kiraka hakitalingana na ile nguo iliyochakaa. 375:37 Mt 14:17; Mk 2:18-22Hakuna mtu awekaye divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Akifanya hivyo, hiyo divai mpya itavipasua hivyo viriba, nayo yote itamwagika. 385:38 Mt 14:17; Mk 2:18-22Divai mpya lazima iwekwe kwenye viriba vipya. 395:39 Mt 14:17; Mk 2:18-22Wala hakuna mtu anayependelea divai mpya baada ya kunywa divai ya zamani, bali husema, ‘Ile ya zamani ni nzuri zaidi.’ ”