הבשורה על-פי לוקס 24 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

הבשורה על-פי לוקס 24:1-53

1ביום ראשון השכם בבוקר לקחו הנשים את המרקחת שהכינו והלכו אל הקבר. 2בהגיען אל המקום גילו כי האבן הגדולה שסתמה את פתח הקבר הוזזה ממקומה. 3הן נכנסו פנימה, אך לא מצאו את גופתו של האדון ישוע.

4הנשים היו במבוכה גדולה ולא הבינו מה קרה. לפתע נגלו אליהן שני אנשים לבושים גלימות מבריקות ונוצצות. 5בפחד רב השתחוו הנשים לפני השניים. ”מדוע אתן מחפשות את החי בין המתים?“ שאלו השניים. 6‏-7”הוא אינו נמצא כאן, הוא קם לתחייה! זיכרו שעוד בהיותו בגליל סיפר לכן שעל בן־האדם להימסר לידי אנשים רשעים, שיצלבו אותו, אבל ביום השלישי יקום לתחייה!“

8הנשים נזכרו בדברי ישוע 9ומיהרו לשוב העירה, כדי לספר את החדשות לאחד־עשר התלמידים ולכל השאר. 10(אלה הנשים שהלכו אל הקבר: מרים המגדלית, יוחנה, מרים אמו של יעקב ואחרות). 11אולם דברי הנשים נשמעו באוזניהם כסיפור דמיוני, והם לא האמינו להן. 12אך פטרוס קם ורץ אל הקבר. בהביטו פנימה ראה את התכריכים מונחים במקומם, אך הגופה לא הייתה שם. הוא לא הבין מה קרה ועזב את המקום.

13באותו יום הלכו שניים מתלמידיו של ישוע בדרך המובילה לעמאוס – כפר המרוחק כאחד עשר ק״מ מירושלים. 14בעודם משוחחים ביניהם על מות ישוע, 15הופיע לפתע ישוע עצמו ונלווה אליהם. 16אך השניים לא הכירוהו, כי עיניהם היו אחוזות.

17”על מה אתם משוחחים?“ שאל אותם ישוע. השניים נעצרו, וישוע ראה שפניהם הביעו צער וכאב. 18אחד מהשניים, קליופס שמו, השיב: ”אתה ודאי האדם היחיד בכל ירושלים שאינו יודע מה קרה בעיר בימים האחרונים.“

19”מה קרה בעיר?“ שאל ישוע.

”אנחנו מתכוונים לישוע מנצרת“, הסבירו השניים. ”ישוע היה נביא שחולל נסים ונפלאות, ומורה חכם בעיני אלוהים ובעיני העם. 20אבל ראשי הכוהנים ורבים ממנהיגנו אסרו אותו ומסרוהו לידי הרומאים, כדי שיגזרו עליו דין מוות, ואלה צלבו אותו. 21ואילו אנחנו חשבנו וקיווינו שהוא המשיח העתיד לגאול את עם־ישראל. כל מה שסיפרנו לך קרה לפני שלושה ימים, 22‏-23אך בזאת לא תם הסיפור! מספר נשים מקבוצתנו הלכו הבוקר אל הקבר, וכשחזרו היה בפיהן סיפור בלתי רגיל. הנשים סיפרו כי גופתו של ישוע נעלמה, וכי פגשו בקבר שני מלאכים שאמרו להן כי ישוע חי! 24כמה מאנשינו מיהרו אל הקבר כדי לבדוק את דברי הנשים, ונוכחו שהן צדקו; גופתו של ישוע באמת נעלמה.“

25”כסילים!“ קרא ישוע. ”האם כל־כך קשה לכם להאמין לדברי הנביאים בכתבי־הקודש? 26האם לא ניבאו הנביאים באופן ברור שהמשיח יסבול את העינויים הנוראים האלה, לפני שיתגלה כבודו והדרו?“ 27לאחר מכן הוא ציטט להם פסוקים מן התנ״ך והסביר להם את כל מה שנאמר עליו בכתובים, החל מבראשית וכלה בדברי הנביאים.

28בינתיים התקרבו השלושה לעמאוס – הכפר שאליו היו מועדות פניהם. ישוע נראה כעומד להמשיך בדרכו, 29אולם השניים הפצירו בו ללון בביתם, כי הייתה שעת ערב, וישוע נענה להזמנתם. 30כשהתיישבו לאכול ברך ישוע על הלחם, פרס אותו והגישו להם. 31לפתע כאילו נפקחו עיניהם, והם הכירו את ישוע. באותו רגע הוא נעלם מעיניהם.

32השניים החלו לספר זה לזה כיצד התרגשו בשעה שישוע דיבר אליהם וביאר להם את הכתוב בתנ״ך.

33בלי לאבד זמן קמו השניים וחזרו לירושלים, שם מצאו את אחד־עשר התלמידים ואחרים מתלמידי ישוע אשר קיבלו את פניהם בקריאה:

34”האדון באמת קם לתחייה! הוא נגלה לפטרוס!“

35השניים מעמאוס סיפרו כיצד נגלה ישוע גם אליהם כשהלכו בדרך, וכיצד הכירו אותו כשפרס את הלחם.

36בשעה שדיברו הופיע ישוע בחדר ואמר: ”שלום לכם!“ 37הופעתו הבהילה אותם, כי חשבו שרוח רפאים לפניהם!

38”מדוע נבהלתם?“ שאל ישוע. ”מדוע אינכם מאמינים שאני הוא העומד לפניכם? 39הביטו בידי! הביטו ברגלי! אתם יכולים לראות ללא ספק שאני הוא העומד לפניכם! געו בי והיווכחו שאינני רוח, שהרי לרוח אין בשר ועצמות כפי שיש לי!“ 40בשעה שדיבר הראה להם ישוע את נקבי המסמרים בידיו ואת הפצעים ברגליו.

41על אף שמחתם הרבה עדיין הטילו התלמידים ספק ולא האמינו. משום כך שאל אותם ישוע: ”האם יש לכם כאן משהו לאכול?“ 42הם הגישו לו חתיכת דג צלוי, 43וישוע אכל את הדג לנגד עיניהם.

44לאחר מכן אמר ישוע: ”האם אינכם זוכרים שעוד בהיותי אתכם סיפרתי לכם שכל מה שאמרו עלי משה, הנביאים ובתהלים חייב להתקיים?“ 45ישוע פתח את לבם כדי שסוף סוף יבינו את הכתובים, 46והוסיף: ”עוד לפני זמן רב נכתב שעל המשיח להתענות, למות ולקום לתחייה ביום השלישי. 47ועוד כתוב כי דבר אלוהים יצא אל כל העמים, החל מירושלים, וכי כל מי שיאמין בי ויחזור בתשובה יסלחו לו חטאיו. 48אתם עדים לקיום הנבואות האלה. 49עתה אני עומד לשלוח אליכם את אשר הבטיח אבי. הישארו כאן בירושלים עד שיבוא רוח הקודש וימלא אתכם בכוח ובגבורה מן השמים.“

50לאחר מכן הוא הוביל אותם אל בית־עניה, שם נשא את ידיו אל השמים וברך אותם. 51תוך כדי ברכתו נפרד מהם ישוע ועלה השמיימה.

52התלמידים השתחוו לו וחזרו לירושלים מלאי שמחה, 53ואת כל זמנם בילו בבית־המקדש כשהם מהללים ומברכים את האלוהים.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Luka 24:1-53

Kufufuka Kwa Yesu

(Mathayo 28:1-10; Marko 16:1-8; Yohana 20:1-10)

124:1 Lk 23:56; Mt 28:1; Mk 16; 1; Yn 20:2Mnamo siku ya kwanza ya juma, alfajiri na mapema, wale wanawake walichukua yale manukato waliyokuwa wameyaandaa, wakaenda kaburini. 224:2 Mt 24:2; Mk 16:5Wakakuta lile jiwe limevingirishwa kutoka kwenye kaburi, 324:3 Lk 24:23; Mk 16:5lakini walipoingia ndani, hawakuuona mwili wa Bwana Yesu. 424:4 Yn 20:12; Mdo 1:10Walipokuwa wanashangaa juu ya jambo hili, ghafula watu wawili waliokuwa wamevaa mavazi yanayongʼaa kama umeme wakasimama karibu nao. 5Wale wanawake, wakiwa na hofu, wakainamisha nyuso zao mpaka chini. Lakini wale watu wakawaambia, “Kwa nini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa wafu? 624:6 Mt 17:22-23; Mk 9:30-31Hayuko hapa; amefufuka! Kumbukeni alivyowaambia alipokuwa bado yuko pamoja nanyi huko Galilaya kwamba: 724:7 Mt 8:20; 16:21‘Ilikuwa lazima Mwana wa Adamu atiwe mikononi mwa watu wenye dhambi na waovu ili asulubiwe, na siku ya tatu afufuke.’ ” 824:8 Yn 2:22Ndipo wakayakumbuka maneno ya Yesu.

924:9 Mt 28:8; Mk 16:10Waliporudi kutoka huko kaburini, wakawaeleza wale wanafunzi kumi na mmoja pamoja na wengine wote mambo haya yote. 1024:10 Lk 8:1-3; Mk 6:30Basi Maria Magdalene, Yoana, na Maria mama yake Yakobo, pamoja na wanawake wengine waliofuatana nao ndio waliwaelezea mitume habari hizi. 1124:11 Mk 16:11Lakini hawakuwasadiki hao wanawake, kwa sababu maneno yao yalionekana kama upuzi. 1224:12 Yn 20:3-7; 20:10Hata hivyo, Petro akainuka na kukimbia kwenda kule kaburini. Alipoinama kuchungulia, akaona vile vitambaa vya kitani, ila hakuona kitu kingine. Naye akaenda zake akijiuliza nini kilichotokea.

Njiani Kwenda Emau

(Marko 16:12-13)

1324:13 Mk 16:12Ikawa siku iyo hiyo, wanafunzi wawili wa Yesu walikuwa njiani wakienda kijiji kilichoitwa Emau, yapata maili saba24:13 Maili saba ni kama kilomita 11.2. kutoka Yerusalemu. 14Walikuwa wakizungumza wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotukia. 1524:15 Mt 18:20Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akaja akatembea pamoja nao, 1624:16 Yn 20:14; 21:4lakini macho yao yakazuiliwa ili wasimtambue.

17Akawauliza, “Ni mambo gani haya mnayozungumza wakati mnatembea?”

Wakasimama, nyuso zao zikionyesha huzuni. 1824:18 Yn 19:25Mmoja wao, aliyeitwa Kleopa, akamuuliza, “Je, wewe ndiye peke yako mgeni huku Yerusalemu ambaye hufahamu mambo yaliyotukia humo siku hizi?”

1924:19 Mk 1:24Akawauliza, “Mambo gani?”

Wakamjibu, “Mambo ya Yesu wa Nazareti. Yeye alikuwa nabii, mwenye uwezo mkuu katika maneno yake na matendo yake, mbele za Mungu na mbele ya wanadamu wote. 2024:20 Lk 23:13Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulubisha. 2124:21 Lk 1:68; 2:38; Mt 16:21Lakini tulikuwa tumetegemea kwamba yeye ndiye angelikomboa Israeli. Zaidi ya hayo, leo ni siku ya tatu tangu mambo haya yatokee. 2224:22 Mt 28:8; Mk 16:10; Lk 24:9, 10; Yn 20:18Isitoshe, baadhi ya wanawake katika kundi letu wametushtusha. Walikwenda kaburini leo alfajiri, 23lakini hawakuukuta mwili wake. Walirudi wakasema wameona maono ya malaika ambao waliwaambia kwamba Yesu yu hai. 2424:24 Lk 24:12; Yn 20:3-19Kisha baadhi ya wenzetu walikwenda kaburini wakalikuta kama vile wale wanawake walivyokuwa wamesema, lakini yeye hawakumwona.”

25Yesu akawaambia, “Ninyi ni wajinga kiasi gani, nanyi ni wazito mioyoni mwenu kuamini mambo yote yaliyonenwa na manabii! 2624:26 Ebr 2:10; 1Pet 1:11Je, haikumpasa Kristo24:26 Kristo maana yake ni Masiya, yaani Aliyetiwa mafuta. kuteswa kwa njia hiyo na kisha aingie katika utukufu wake?” 2724:27 Mwa 3:15; Hes 2:19; Mk 7:20; Mal 3:1; Yn 1:45Naye akianzia na Sheria ya Mose na Manabii wote, akawafafanulia jinsi Maandiko yalivyosema kumhusu yeye.

2824:28 Mwa 32:26; 42:7; Mk 6:49Nao walipokaribia kile kijiji walichokuwa wakienda, Yesu akawa kama anaendelea mbele. 2924:29 Mwa 19:3; Mdo 16:15Lakini wao wakamsihi sana akae nao, wakisema, “Kaa hapa nasi, kwa maana sasa ni jioni na usiku unaingia.” Basi akaingia ndani kukaa nao.

3024:30 Mt 14:19Alipokuwa mezani pamoja nao, akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akaanza kuwagawia. 3124:31 Za 39:3; Lk 24:16Ndipo macho yao yakafumbuliwa, nao wakamtambua, naye akatoweka machoni pao. Hawakumwona tena. 3224:32 Za 39:3; Lk 24:27, 28Wakaulizana wao kwa wao, “Je, mioyo yetu haikuwakawaka kwa furaha ndani yetu alipokuwa anazungumza nasi njiani na kutufafanulia Maandiko?”

33Wakaondoka mara, wakarudi Yerusalemu. Wakawakuta wale wanafunzi kumi na mmoja na wale waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika 3424:34 1Kor 15:5wakisema, “Ni kweli! Bwana amefufuka, naye amemtokea Simoni.” 3524:35 Lk 24:30, 31Kisha wale wanafunzi wawili wakaeleza yaliyotukia njiani na jinsi walivyomtambua Yesu alipoumega mkate.

Yesu Awatokea Wanafunzi Wake

(Mathayo 28:16-20; Marko 16:14-18; Yohana 20:19-23; Matendo 1:6-8)

3624:36 Yn 20:19, 21, 26; 14:27Walipokuwa bado wanazungumza hayo, Yesu mwenyewe akasimama katikati yao, akasema, “Amani iwe nanyi!”

3724:37 Mk 6:49Wakashtuka na kuogopa wakidhani kwamba wameona mzuka. 38Lakini Yesu akawauliza, “Kwa nini mnaogopa? Kwa nini mna shaka mioyoni mwenu? 3924:39 Yn 20:27; 1Yn 1:1Tazameni mikono yangu na miguu yangu, mwone kuwa ni mimi hasa. Niguseni mwone; kwa maana mzuka hauna nyama na mifupa, kama mnionavyo kuwa navyo.”

40Aliposema haya, akawaonyesha mikono na miguu yake. 4124:41 Mwa 45:26; Yn 21:5Wakashindwa kuamini kwa ajili ya furaha na mshangao waliokuwa nao. Akawauliza, “Mna chakula chochote hapa?”

42Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa, 4324:43 Mdo 10:40naye akakichukua na kukila mbele yao.

4424:44 Lk 24:26; Mt 1:22; 16:21; Za 110Akawaambia, “Haya ndiyo yale niliyowaambia nilipokuwa bado niko pamoja nanyi, kwamba yote yaliyoandikwa kunihusu mimi katika Sheria ya Mose, Manabii na Zaburi hayana budi kutimizwa.”

4524:45 Mdo 16:14Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko. 4624:46 Lk 24:26; Isa 50:6; 53:2Akawaambia, “Haya ndiyo yaliyoandikwa: Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka kwa wafu. 4724:47 Mdo 10:43; 13:38; Mt 28:19; Mk 13:10Toba na msamaha wa dhambi zitatangaziwa mataifa yote kupitia jina lake kuanzia Yerusalemu. 4824:48 Yn 15:27; 1Pet 5:1Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.

Kuahidiwa Kwa Roho Mtakatifu

4924:49 Yn 14:16; Mdo 1:4“Tazama nitawatumia ahadi ya Baba yangu; lakini kaeni humu mjini hadi mtakapovikwa uwezo utokao juu.”

Kupaa Kwa Yesu Mbinguni

(Marko 16:19-20; Matendo 1:9-11)

5024:50 Mt 21:11Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki. 5124:51 2Fal 2:11Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni. 5224:52 Mt 28:9, 17Kisha wakamwabudu na kurudi Yerusalemu wakiwa wamejawa na furaha kuu. 5324:53 Mdo 2:46Nao wakadumu ndani ya Hekalu wakimtukuza Mungu. Amen.