הבשורה על-פי יוחנן 18 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

הבשורה על-פי יוחנן 18:1-40

1ישוע סיים את דבריו ועזב את המקום עם תלמידיו. הם חצו את נחל קדרון ונכנסו אל חורשת עצי־זית. 2יהודה, התלמיד שבגד בישוע, הכיר היטב את המקום, כי ישוע נפגש שם עם תלמידיו פעמים רבות.

3ראשי הכוהנים והפרושים העמידו לרשות יהודה קבוצה של חיילים ושוטרים מצוידים בלפידים ובכלי נשק, והם הלכו אל אותה החורשה.

4ישוע ידע היטב מה עומד לקרות לו. הוא צעד קדימה ושאל: ”את מי אתם מחפשים?“

5”את ישוע מנצרת“, השיבו לו.

”אני הוא“, אמר ישוע. גם יהודה המסגיר אותו היה שם. 6לשמע מילים אלה הם נסוגו ונפלו על הארץ.

7ישוע חזר על שאלתו: ”את מי אתם מחפשים?“

”את ישוע מנצרת“, השיבו בשנית.

8”אמרתי לכם, אני הוא“, אמר ישוע. ”אם אותי אתם מחפשים, עיזבו את החבורה הזאת והניחו להם ללכת.“ 9ישוע אמר זאת כדי לקיים את הנבואה שניבא: ”מכל אלה שנתת לי לא אבד אף אחד!“

10לפתע שלף שמעון פטרוס את חרבו וקיצץ את אוזנו הימנית של מלכוס, עבד הכהן הגדול.

11”השב את החרב לנדן!“ פקד עליו ישוע. ”הרי עלי לשתות את הכוס שנתן לי אבי.“

12החיילים, השוטרים ומפקדם תפסו את ישוע, קשרו את ידיו, 13הוליכו אותו תחילה אל חנן – חותנו של קייפא שהיה הכהן הגדול באותה שנה. 14היה זה אותו קייפא שיעץ ליהודים: ”מוטב שאדם אחד ימות בעד כל העם, מאשר שכל העם ימות בעד אדם אחד.“ 15שמעון פטרוס ותלמיד אחר הלכו במרחק מה אחרי ישוע. התלמיד האחר היה מוכר לכהן הגדול, ולכן הורשה להיכנס אל החצר יחד עם ישוע, 16ואילו פטרוס נאלץ להישאר מעבר לגדר. התלמיד האחר ניגש אל השוערת וביקש ממנה להכניס את פטרוס.

17”הלא גם אתה תלמידו של האיש הזה!“ קראה השוערת לעבר פטרוס. ”מה פתאום?“ הכחיש פטרוס.

18החיילים והמשרתים התחממו סביב לאש מדורה שהדליקו, כי היה קר. פטרוס הצטרף אליהם כדי להתחמם מעט.

19בתוך הבית החל הכהן הגדול לחקור את ישוע על תלמידיו ועל מה שלימד אותם.

20”כל מה שהיה לי לומר אמרתי בציבור, באוזני המנהיגים והעם. תמיד לימדתי בבתי־הכנסת או בבית־המקדש, וכולם יודעים מה שלימדתי“, השיב ישוע. 21”אל תשאל אותי, אלא את שומעי, הם יודעים את מה שאמרתי.“ 22אחד המשרתים שעמד שם הכה את ישוע על פניו. ”ככה אתה מתחצף לכהן הגדול?“ שאל בזעם.

23”אם אני משקר הוכח זאת.“ השיב ישוע. ”אולם אם אני אומר את האמת, מדוע אתה מכה אותי?“

24חנן שלח את ישוע, אסור באזיקים, אל קייפא הכהן הגדול. 25בינתיים המשיך שמעון פטרוס להתחמם לאש המדורה, ושוב נשאל: ”הרי גם אתה אחד מתלמידיו של ישוע, לא כן?“

”לא, מה פתאום?“ הכחיש פטרוס.

26אך אחד מעבדי הכהן הגדול, קרובו של מלכוס (זה שפטרוס קיצץ את אוזנו), קרא: ”אולם ראיתי אותך בחורשה יחד עם ישוע!“

27פטרוס המשיך להכחיש את הדבר, ולפתע קרא התרנגול.

28בבוקר השכם הובילו את ישוע מביתו של קייפא לבית־הממשל. אך הם לא נכנסו פנימה מחשש חמץ – הם רצו להישאר כשרים לאכילת סעודת הפסח. 29על כן יצא אליהם פילטוס ושאל: ”במה אתם מאשימים את האיש?“

30”אלמלא עשה דבר רע, לא היינו אוסרים אותו!“ השיבו.

31”אם כן, שפטו אותו בעצמכם לפי חוקי תורתכם“, אמר פילטוס.

”אבל החוק אינו מתיר לנו עונש מוות“, השיבו היהודים. 32בזאת מלאו את מה שישוע ניבא באשר לצורת מותו.

33פילטוס שב לבית־הממשל וקרא אליו את ישוע. ”האם אתה מלך היהודים?“ שאל.

34”האם אלה המילים שלך או של האחרים?“ השיב ישוע בשאלה.

35”האם אני יהודי?“ שאל פילטוס. ”בני־עמך וראשי הכוהנים הסגירו אותך. מה עשית?“

36”אילו הייתה מלכותי מהעולם הזה, היו משרתי נלחמים לצדי ומונעים את מאסרי על־ידי ראשי היהודים. אולם בעת הזאת מלכותי אינה מהעולם הזה“, אמר ישוע.

37”אם כן, אתה בכל זאת מלך?“ תמה פילטוס.

”כן,“ השיב ישוע, ”משימתי היא להביא את האמת לעולם; לשם כך נולדתי ובאתי לעולם, וכל אוהבי האמת ישמעו לקולי.“

38”מהי האמת?“ שאל פילטוס ויצא החוצה אל היהודים. ”האיש חף מפשע ולא עשה כל רע!“ קרא פילטוס. 39”בכל שנה בחג הפסח אני מוציא לחופשי אסיר אחד. אתם רוצים שאשחרר את מלך היהודים?“

40”לא!“ קראו. ”אל תשחרר אותו; שחרר את בר־אבא!“ בר־אבא היה שותף למרד.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yohana 18:1-40

Yesu Akamatwa

(Mathayo 26:47-56; Marko 14:43-50; Luka 22:47-53)

118:1 2Sam 15:23; Mt 21:1; 26:36Yesu alipomaliza kuomba, akaondoka na wanafunzi wake wakavuka Bonde la Kidroni. Upande wa pili palikuwa na bustani, yeye na wanafunzi wake wakaingia humo.

218:2 Lk 21:37; 22:39Basi Yuda, yule aliyemsaliti alipafahamu mahali hapo kwani Yesu alikuwa akikutana humo na wanafunzi wake mara kwa mara. 318:3 Mt 26:47; Mk 14:43; Lk 22:47; Mdo 1:16Hivyo Yuda akaja bustanini. Aliongoza kikosi cha askari wa Kirumi, na baadhi ya maafisa kutoka kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo. Nao walikuwa wamechukua taa, mienge na silaha.

418:4 Yn 6:64; 13:1; 11; 19:28Yesu akijua yale yote yatakayompata, akajitokeza mbele yao akawauliza, “Mnamtafuta nani?”

518:5 Mk 1:4Wao wakamjibu, “Yesu wa Nazareti.”

Yesu akawajibu, “Mimi ndiye.” Yuda, yule aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja nao. 6Yesu alipowaambia, “Mimi ndiye,” walirudi nyuma na kuanguka chini!

718:7 Yn 18:4Akawauliza tena, “Mnamtafuta nani?”

Nao wakamjibu, “Yesu wa Nazareti.”

8Yesu akawaambia, “Nimekwisha kuwaambia kuwa, mimi ndiye; kwa hiyo kama mnanitafuta mimi, waacheni hawa watu waende zao.” 918:9 Yn 6:39; 17:12Hii ilikuwa ili litimie lile neno alilosema, “Sikumpoteza hata mmoja miongoni mwa wale ulionipa.”

1018:10 Mt 26:51; Mk 14:47; Lk 22:49, 50Simoni Petro, aliyekuwa na upanga, akaufuta na kumkata sikio la kuume mtumishi wa kuhani mkuu. Jina la mtumishi huyo aliitwa Malko.

1118:11 Mt 20:22Yesu akamwambia Petro, “Rudisha upanga wako kwenye ala yake. Je, hainipasi kukinywea kikombe alichonipa Baba?”

Yesu Mbele Ya Kuhani Mkuu

1218:12 Yn 18:3Hivyo wale askari, wakiwa pamoja na majemadari wao na maafisa wa Wayahudi, wakamkamata Yesu na kumfunga. 1318:13 Yn 18:24; Mt 26:3Kwanza wakampeleka kwa Anasi, mkwewe Kayafa, aliyekuwa kuhani mkuu mwaka ule. 1418:14 Yn 11:49-51Kayafa ndiye alikuwa amewashauri Wayahudi kwamba imempasa mtu mmoja kufa kwa ajili ya watu.

Petro Anamkana Yesu

(Mathayo 26:69-70; Marko 14:55-64; Luka 22:66-71)

1518:15 Mt 26:3; 26:58; Mk 14:54Simoni Petro pamoja na mwanafunzi mwingine walikuwa wakimfuata Yesu. Huyu mwanafunzi mwingine alikuwa anafahamika kwa kuhani mkuu, hivyo aliingia ndani ya ukumbi pamoja na Yesu. 1618:16 Mt 26:69; Mk 14:66; Lk 22:54Lakini Petro alisimama nje karibu na lango, ndipo yule mwanafunzi mwingine, aliyejulikana na kuhani mkuu, akazungumza na msichana aliyekuwa analinda lango, akamruhusu Petro aingie ndani.

1718:17 Yn 17:25Yule msichana akamuuliza Petro, “Je, wewe pia si mmoja wa wanafunzi wa mtu huyu?”

Petro akajibu, “Sio mimi.”

1818:18 Yn 21:9; Mk 14:54, 67Wale watumishi na askari walikuwa wamesimama wakiota moto wa makaa kwa sababu palikuwa na baridi, Petro naye alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.

Kuhani Mkuu Amhoji Yesu

19Wakati huo kuhani mkuu akawa anamuuliza Yesu kuhusu wanafunzi wake na mafundisho yake.

2018:20 Mt 4:23; 26:55; Yn 7:26Yesu akamjibu, “Nimekuwa nikizungumza waziwazi mbele ya watu wote. Siku zote nimefundisha katika masinagogi na Hekaluni, mahali ambapo Wayahudi wote hukusanyika. Sikusema jambo lolote kwa siri. 21Mbona unaniuliza mimi maswali? Waulize wale walionisikia yale niliyowaambia. Wao wanajua niliyosema.”

2218:22 Yer 20:2; Mdo 23:2; Mt 16:21Alipomaliza kusema hayo, mmoja wa askari aliyekuwa amesimama karibu naye, akampiga Yesu kofi usoni, kisha akasema, “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu kuhani mkuu?”

2318:23 Mt 5:39; Mdo 26:3Yesu akamjibu akasema, “Kama nimesema jambo baya, shuhudia huo ubaya niliousema. Lakini kama nimesema yaliyo kweli, mbona umenipiga?” 2418:24 Yn 18:13; Mt 26:3Ndipo Anasi akampeleka Yesu kwa kuhani mkuu Kayafa, akiwa bado amefungwa.

Petro Amkana Yesu Tena

(Mathayo 26:71-75; Marko 14:69-72; Luka 22:58-62)

2518:25 Yn 18:18; 18:17; Mt 26:69, 71; Mk 14:69; Lk 22:58Wakati huo Simoni Petro alikuwa amesimama akiota moto. Baadhi ya wale waliokuwepo wakamuuliza, “Je, wewe si mmoja wa wanafunzi wake?”

Petro akakana, akasema, “Sio mimi.”

2618:26 Yn 18:1; 10Mmoja wa watumishi wa kuhani mkuu, ndugu yake yule mtu ambaye Petro alikuwa amemkata sikio, akamuuliza, “Je, mimi sikukuona kule bustanini ukiwa na Yesu?” 2718:27 Yn 13:38Kwa mara nyingine tena Petro akakana, naye jogoo akawika wakati huo huo.

Yesu Apelekwa Kwa Pilato

(Mathayo 27:1-2, 11-14; Marko 15:1-5; Luka 23:1-5)

2818:28 Mt 27:2; Yn 18:33; 19:9; 11:55Ndipo Wayahudi wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa na kumpeleka kwenye jumba la kifalme la mtawala wa Kirumi.18:28 Jumba la mfalme la mtawala wa Kirumi lilikuwa linaitwa Praitorio. Wakati huo ilikuwa ni alfajiri, ili kuepuka kuwa najisi kwa taratibu za ibada, Wayahudi hawakuingia ndani kwa sababu ya sheria za Kiyahudi. Wangehesabiwa kuwa najisi kama wangeingia nyumbani mwa mtu asiye Myahudi na wasingeruhusiwa kushiriki katika Sikukuu ya Pasaka. 29Hivyo Pilato akatoka nje walikokuwa akawauliza, “Mmeleta mashtaka gani kumhusu mtu huyu?”

30Wao wakamjibu, “Kama huyu mtu hakuwa mhalifu tusingemleta kwako.”

31Pilato akawaambia, “Basi mchukueni ninyi mkamhukumu kwa kufuata sheria zenu.”

Wayahudi wakamjibu, “Sisi haturuhusiwi kutoa hukumu ya kifo kwa mtu yeyote.” 3218:32 Mt 20:19; 26:2Walisema hivyo ili yale maneno aliyosema Yesu kuhusu kifo atakachokufa yapate kutimia.

3318:33 Mt 27:11; Yn 19:9; Lk 23:3; Mt 2:2Kwa hiyo Pilato akaingia ndani ya jumba la kifalme, akamwita Yesu, akamuuliza, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”

3418:34 Mt 16:13Yesu akamjibu, “Je, unauliza swali hili kutokana na mawazo yako mwenyewe, au uliambiwa na watu kunihusu mimi?”

3518:35 Yn 1:11; Mt 21:39Pilato akamjibu, “Mimi si Myahudi, ama sivyo? Taifa lako mwenyewe na viongozi wa makuhani wamekukabidhi kwangu. Umefanya kosa gani?”

3618:36 Mt 3:2; 26:53; Lk 17:21; Yn 6:51Yesu akajibu, “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, wafuasi wangu wangenipigania ili nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini kama ilivyo, ufalme wangu hautoki hapa ulimwenguni.”

3718:37 Yn 3:32; 8:47; 1Yn 4:6Pilato akamuuliza, “Kwa hiyo wewe ni mfalme?” Yesu akajibu, “Wewe wasema kwamba mimi ni mfalme. Kwa kusudi hili nilizaliwa, na kwa ajili ya hili nilikuja ulimwenguni, ili niishuhudie kweli. Mtu yeyote aliye wa kweli husikia sauti yangu.”

3818:38 Lk 23:4-6Pilato akamuuliza Yesu, “Kweli ni nini?” Baada ya kusema haya Pilato akaenda nje tena akawaambia wale viongozi wa Wayahudi waliomshtaki Yesu, “Sioni kosa lolote alilotenda mtu huyu. 3918:39 Mt 27:15; Mk 15:6; Lk 23:19Lakini ninyi mna desturi yenu kwamba wakati wa Pasaka nimwachie huru mfungwa mmoja mnayemtaka. Je, mnataka niwafungulie huyu ‘Mfalme wa Wayahudi’?”

4018:40 Mdo 3:14Wao wakapiga kelele wakisema, “Si huyu mtu, bali tufungulie Baraba!” Yule Baraba alikuwa mnyangʼanyi.