האיגרת אל-העברים 2 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

האיגרת אל-העברים 2:1-18

1עלינו להקדיש תשומת־לב רבה לאמת אשר שמענו, כדי שלא נסטה ממנה בשום פנים ואופן! 2שכן אם דברי התורה שמסרו המלאכים למשה רבנו הוכחו כדברי אמת, וכל מי שלא ציית להם קיבל את העונש שמגיע לו, 3כיצד נימלט אנחנו מעונש, אם נתעלם מהישועה הנפלאה הזאת שהוכרזה על־ידי האדון, ושסופרה לנו מפי עדים אשר שמעוה מפיו? 4אלוהים עצמו העיד עליה והראה לנו שזוהי בשורת אמת, באמצעות אותות, נסים, נפלאות ועל־ידי העובדה שהעניק, כרצונו, מתנות וכישרונות מאת רוח הקודש לכל המאמינים בבשורה.

5העולם הבא שעליו אנו מדברים לא יהיה בשליטת המלאכים, 6שהרי דוד אומר לאלוהים:2‏.6 ב 6 תהלים ח 5‏-7

”מה אנוש כי תזכרנו,

ובן־אדם כי תפקדנו?

7ותחסרהו מעט ממלאכים,

וכבוד והדר תעטרהו,

8כל שתה (הנחת) תחת רגליו“.

שימו לב שכתוב כי אלוהים הניח לרגליו הכול; אין דבר שלא הוכנע והונח לרגלי המשיח!

עדיין לא ראינו את הכול מונח לרגליו, 9אך אנו רואים את ישוע – שלזמן מה נהיה נחות מהמלאכים – מעוטר על־ידי אלוהים בהדר ובכבוד, משום שסבל למעננו עד מוות. כן, על־שום חסדו של אלוהים טעם המשיח מוות בעד כל אדם בעולם. 10האלוהים, שעל־ידו ולכבודו קיים הכול, מצא לנכון להביא סבל על ישוע, כי במעשה זה הושיע אנשים רבים מספור. ובאמצעות הסבל נעשה ישוע, שר ישועתנו, מושלם וראוי לתפקידו.

11אנחנו שקודשנו על־ידי ישוע, כולנו בנים לאותו אב ולכן ישוע אינו מתבייש לקרוא לנו אחים, 12כפי שאמר:2‏.12 ב 12 תהלים כב 23

”אספרה שמך לאחי,

בתוך קהל אהללך“.

13במקום אחר הוא אומר:2‏.13 ב 13 ישעיהו ח 17 ”קויתי לו“. והוא גם אומר:2‏.13 ב 13 ישעיהו ח 18 ”הנה אנכי והילדים אשר נתן לי ה׳“.

14מכיוון שאנחנו, הילדים, עשויים בשר ודם, גם המשיח לבש דמות בשר ודם, כדי שעל־ידי מותו יכריע את השטן אשר לו שליטה על המוות. 15בדרך זאת שיחרר המשיח את כל אלה שהיו משועבדים לפחד מן המוות במשך כל ימי חייהם.

16כולנו יודעים שהמשיח לא בא בדמות מלאך, אלא בצורת אדם מזרע אברהם – כיהודי. 17ישוע צריך היה להידמות לאחיו בכל דבר, כדי שיוכל להיות כוהן גדול, רחמן ונאמן, שמכפר על חטאינו בעיני אלוהים. 18מכיוון שהמשיח עצמו סבל והתענה כשהשטן ניסה לפתותו, הוא יכול לעזור עתה לכל אלה שעומדים בניסיונות ובפיתויים.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Waebrania 2:1-18

Wokovu Mkuu

12:1 Rum 11:22Kwa hiyo, imetupasa kuwa waangalifu sana kuhusu kile tulichosikia, ili tusije tukakiacha. 22:2 Ebr 1:1; Kum 33:2; Mdo 7:53; Gal 3:19; Ebr 10:28Kwa kuwa kama ujumbe ulionenwa na malaika ulikuwa imara, na kila uasi na kutokutii kulipata adhabu ya haki, 32:3 Ebr 10:29; 12:25; 1:2; Lk 1:2je, sisi tutapaje kupona kama tusipojali wokovu mkuu namna hii? Wokovu huu, ambao mwanzo ulitangazwa na Bwana, ulithibitishwa kwetu na wale waliomsikia. 42:4 Mk 16:20; Yn 4:48; 1Kor 12:4; Efe 1:5Pia Mungu aliushuhudia kwa ishara, maajabu na kwa miujiza mbalimbali, na karama za Roho Mtakatifu alizozigawa kulingana na mapenzi yake.

Yesu Alifananishwa Na Ndugu Zake

52:5 Ebr 6:5; 2Pet 3:13Mungu hakuuweka ulimwengu ujao ambao tunanena habari zake chini ya malaika. 62:6 Ebr 4:4; Ay 7:17; Za 144:3; 8:4-6Lakini kuna mahali mtu fulani ameshuhudia akisema:

“Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria,

binadamu ni nani hata unamjali?

7Umemfanya chini kidogo kuliko malaika;

ukamvika taji ya utukufu na heshima,

82:8 Za 8:4-6; Mt 22:44; 28:18; 1Kor 15:27; Efe 1:22; Ebr 1:13; 1Kor 15:2nawe umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.”

Kwa kuweka vitu vyote chini yake, Mungu hakuacha kitu chochote ambacho hakukiweka chini ya mwanadamu. Lakini kwa sasa, hatuoni kwamba kila kitu kiko chini yake. 92:9 Ebr 2:7; Mdo 3:13; Flp 2:7-9; 2Kor 5:15; Mdo 2:33; Yn 3:16; 12:32; Rum 5:18; 8:32; 2Kor 5:15; 1Tim 2:6; 1Yn 2:2; Ufu 5:9Lakini twamwona Yesu, aliyefanywa chini kidogo kuliko malaika, sasa akiwa amevikwa taji ya utukufu na heshima kwa sababu alistahimili mauti, ili kwamba kwa neema ya Mungu apate kuonja mauti kwa ajili ya kila mtu.

102:10 Rum 11:36; Lk 24:26; Ebr 5:8, 9; 7:28; Lk 24:46; Mdo 3:15; 5:31; Ebr 12:2; Lk 13:32; Ebr 5:9Ili kuwaleta wana wengi katika utukufu, ilifaa kwamba Mungu, ambaye ni kwa ajili yake na kupitia kwake kila kitu kimekuwepo, amkamilishe mwanzilishi wa wokovu wao kwa njia ya mateso. 112:11 Ebr 10:10; Mdo 17:26; Mt 28:10; Yn 20:17; Rum 8:29; Efe 5:26; Ebr 13:12Yeye awafanyaye watu kuwa watakatifu, pamoja na hao ambao hufanywa watakatifu, wote hutoka katika jamaa moja. Hivyo Yesu haoni aibu kuwaita ndugu zake. 122:12 Za 22:22, 25; 68:26Yeye husema,

“Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu;

mbele ya kusanyiko nitaimba sifa zako.”

132:13 Isa 8:17, 18; Yn 10:29; Za 18:2; Isa 12:2; Yn 20:17; 17:6, 9, 11, 12Tena,

“Nitaweka tumaini langu kwake.”

Tena anasema,

“Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mungu amenipa.”

142:14 Yn 1:14; Rum 8:3Basi kwa kuwa watoto wana nyama na damu, yeye pia alishiriki katika ubinadamu wao, ili kwa kifo chake, apate kumwangamiza huyo mwenye nguvu za mauti, yaani ibilisi, 152:15 2Tim 1:7; Lk 1:74; Rum 8:15na kuwaweka huru wale waliokuwa utumwani maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa mauti. 162:16 Isa 41:8, 9; Lk 3:8Kwa kuwa ni dhahiri kwamba hakuja kusaidia malaika, bali uzao wa Abrahamu. 172:17 Ebr 2:14; 5:1; 5:2; 3:1; 4:14, 15; Flp 2:7; Rum 3:25; Za 22:22Kwa sababu hii ilibidi afanane na ndugu zake kwa kila hali, ili apate kuwa Kuhani Mkuu mwenye huruma na mwaminifu katika kumtumikia Mungu, ili pia apate kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi za watu. 182:18 Ebr 4:15, 16; 5:2; 7:2; 4:15Kwa kuwa yeye mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wale wanaojaribiwa.