אגרת פולוס השנייה אל-הקורנתים 9 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

אגרת פולוס השנייה אל-הקורנתים 9:1-15

1איני צריך לכתוב לכם על העזרה הכספית למאמינים ביהודה, 2כי אני יודע שאתם מוכנים לעזור, ואף התגאיתי בכם לפני המאמינים במקדוניה. ”המאמינים ביוון היו מוכנים לשלוח תרומה כבר לפני שנה“, אמרתי להם. התלהבותכם עוררה רבים מהם להשתתף בתרומה. 3עתה אני שולח אחים אלה רק כדי לוודא שאתם באמת מוכנים ושכבר אספתם את כל התרומות, כפי שאמרתי להם. איני רוצה לגלות שהפעם התגאיתי בכם לשווא.

4אם יבואו אתי האנשים ממקדוניה וייווכחו שאינכם מוכנים, הרי אתבייש מאוד וגם אתם תתביישו.

5על כן ביקשתי מהאחים לבוא אליכם לפני, כדי לוודא שהתרומה אשר הבטחתם אכן מוכנה. ברצוני שתתרמו מתוך נדיבות ולא מתוך קמצנות.

6זכרו, אם תתנו מעט תקבלו מעט. איכר שזורע זרעים מעטים יקצור יבול דל, אך אם יזרע זרעים רבים יקצור יבול רב. 7כל אחד ייתן כאשר ידרבנו לבו; אל תאלצו איש לתת מעל רצונו, כי אלוהים אוהב את הנותנים בשמחה. 8אלוהים יכול לתת לכם מעל מה שאתם צריכים, כך שתמיד יהיה לכם די והותר לעצמכם, ואף תוכלו לתת לנזקקים בנדיבות ובשמחה.

9ככתוב:9‏.9 ט 9 תהלים קיב 9 ”פזר נתן לאביונים, צדקתו עומדת לעד“.

10האלוהים שנותן לאיכר זרע לזרוע, ואחר כך יבול לאכול, ייתן לכם זרע בשפע ויברך את יבול מעשיכם הטובים.

11אכן, אלוהים ייתן לכם שפע כדי שתוכלו לתת לזולת בשפע, וכאשר נמסור את מתנותיכם לנזקקים הם יודו לאלוהים על עזרתכם הנדיבה. 12וכך שירותכם לא רק יספק את צרכי המאמינים, אלא גם יביאם לידי הודיה לה׳.

13הואיל ושירותכם זה עמד במבחן, יודו רבים לה׳ על עזרתכם הנדיבה, ועל שאתם מקיימים הלכה למעשה את בשורת המשיח שבה אתם מאמינים.

14יתרה מזאת, הם יתפללו בעדכם בחיבה רבה, בגלל החסד הנפלא שהעניק לכם אלוהים.

15הבה נודה לאלוהים על מתנתו העצומה מספר.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Wakorintho 9:1-15

Wasaidieni Wakristo Wenzenu

19:1 1The 4:9; Mdo 24; 17; 9:13Hakuna haja yangu kuwaandikia kuhusu huduma hii itolewayo kwa ajili ya watakatifu. 29:2 2Kor 8:11-19; 7:4, 14; 8:10, 24; Mdo 18:12Kwa kuwa ninajua mlivyo na shauku ya kusaidia, nami nimekuwa nikijivuna kwa ajili ya jambo hilo kwa watu wa Makedonia, nikiwaambia kuwa ninyi wa Akaya mmekuwa tayari kutoa tangu mwaka jana na shauku yenu imewachochea wengi wao katika kutoa. 39:3 2Kor 8:23; 1Kor 16:2Lakini sasa nawatuma hawa ndugu ili kujivuna kwetu kuhusu mchango wenu kusiwe maneno matupu, bali mpate kuwa tayari kama nilivyosema mngekuwa tayari. 49:4 Rum 15:26Kwa maana kama nikija na Mmakedonia yeyote na kuwakuta hamjawa tayari, tutaona aibu kusema chochote juu yenu katika matoleo. 59:5 Flp 4:17; 2Kor 12:17-18Kwa hivyo niliona ni muhimu niwahimize hawa ndugu watangulie kuja huko kwenu kabla yangu, wafanye mipango ya hayo matoleo ya ukarimu mliyokuwa mmeahidi, ili yawe tayari kama matoleo ya hiari wala si kama ya kutozwa kwa nguvu.

Kupanda Kwa Ukarimu

69:6 Mit 11:24-25; 22:9; Gal 6:7-9Kumbukeni kwamba: Yeyote apandaye kwa uchache pia atavuna kwa uchache, naye apandaye kwa ukarimu pia atavuna kwa ukarimu. 79:7 Kut 25:2; 2Kor 8:12; Kum 15:10; Rum 12:8Kila mtu atoe kama anavyokusudia moyoni mwake, si kwa uchoyo au kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu. 89:8 Efe 3:20; Flp 4:19Naye Mungu aweza kuwapa kila baraka kwa wingi, ili katika mambo yote kila wakati, mwe na kila kitu mnachohitaji, ili mweze kushiriki kwa wingi katika kila kazi njema. 99:9 Mal 3:10; Za 112:9Kama ilivyoandikwa:

“Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu

akawapa maskini;

haki yake hudumu milele.”

109:10 Isa 55:10; Hos 10:12Yeye ampaye mpanzi mbegu kwa ajili ya kupanda na mkate kuwa chakula, atawapa na kuzizidisha mbegu zenu za kupanda na kuongeza mavuno ya haki yenu. 119:11 1Kor 1:5; 2Kor 1:11; 4:15Mtatajirishwa kwa kila namna ili mpate kuwa wakarimu kila wakati, na kupitia kwetu, ukarimu wenu utamletea Mungu shukrani.

129:12 2Kor 8:12; 1:11Huduma hii mnayofanya si tu kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya watakatifu, bali huzidi sana kwa shukrani nyingi apewazo Mungu. 13Kwa sababu ya huduma ambayo mmejithibitisha wenyewe, watu watamtukuza Mungu kwa ajili ya utiifu ufuatanao na ukiri wenu wa Injili ya Kristo, na kwa ukarimu wenu wa kushiriki pamoja nao na pia wengine wote. 149:14 2Kor 8:1Nao katika maombi yao kwenu mioyo yao itawaonea shauku kwa sababu ya neema ipitayo kiasi mliyopewa na Mungu. 159:15 2Kor 2:14; Rum 5:15-16Ashukuriwe Mungu kwa karama yake isiyoelezeka.