אגרת פולוס השליח אל-הרומיים 14 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

אגרת פולוס השליח אל-הרומיים 14:1-23

1קבלו את האדם שאמונתו חלשה משלכם בשמחה וחמימות, ואל תמתחו ביקורת על דעותיו והשקפותיו. 2זה מאמין שמותר לו לאכול כל דבר, ואילו זה שאמונתו חלשה הוא צמחוני.

3מי שאוכל בשר אינו צריך לבוז למי שאינו אוכל אותו, ומי שאינו אוכל אינו צריך לבוז למי שאוכל, כי אלוהים אוהב את כולנו במידה שווה! 4מי אתה שתמתח ביקורת על משרתו של אלוהים? המאמין המשיחי הוא משרתו של אלוהים, ורק לו הוא חייב דין וחשבון. הנח לאלוהים לומר למאמין אם הוא נוהג כשורה או לא, ואם יש צורך, אלוהים בהחלט יכול לתקן את דרכו.

5יש אדם המכבד יום מסוים יותר מימים אחרים, ויש המכבד את כל הימים במידה שווה. כל אדם צריך להיות משוכנע במה שהוא מאמין. 6כשם שאדם המעדיף לקדש לה׳ יום מסוים עושה זאת לכבוד האדון, כך גם האוכל אוכל לכבוד ה׳, כי הוא מודה לאלוהים. מי שאינו אוכל – לכבוד ה׳ אינו אוכל, וגם הוא מודה לאלוהים. 7אין אנו אדונים לעצמנו, ואיננו חיים לעצמנו או מתים לפי בחירתנו. 8אם אנו חיים – אנו חיים לאדון, ואם אנו מתים – אנו מתים לאדון; בחיינו ובמותנו אנו שייכים לאדון. 9ישוע המשיח מת וקם לתחייה כדי שיהיה אדון על החיים ועל המוות.

10אין לך זכות לשפוט את מעשי אחיך או לבוז לו. זכור, יום אחד כולנו עתידים להישפט לפני אלוהים – לא לפי קנה־המידה שלנו, אלא לפני קנה־המידה שלו. 11כפי שכתוב:14‏.11 יד 11 ישעיהו מה 23 ”בי נשבעתי … כי לי תכרע כל ברך ותשבע כל לשון“. 12כל אחד מאיתנו ימסור דין וחשבון על מעשיו לאלוהים בלבד. 13לכן הבה נחדל למתוח ביקורת איש על אחיו. לעומת זאת, נבקר את עצמנו ונדאג שלא נכשיל את אחינו במעשינו.

14אני משוכנע באמונה, שדבר אינו טמא בפני עצמו; הוא טמא רק למי שחושב אותו לטמא. 15אם אחיך נפגע מהעובדה שאתה אוכל בשר, ואילו אתה ממשיך בשלך, הרי שאינך מתייחס אליו באהבה. אל תניח לדבר־מאכל לפגוע במאמין המשיחי שגם בעדו מת המשיח. 16אל תניח לדבר הנראה כשר בעיניך להיראות כחטא בעיני אחרים. 17אחרי־הכול לנו, המשיחיים, אכילה ושתייה אינם הדברים החשובים ביותר בחיינו. החשוב יותר הוא לעשות מעשים טובים, לרדוף שלום ולשמוח בהשראת רוח הקודש. 18אם נשרת את האדון בדרך זאת, שירותנו ימצא־חן בעיני אלוהים ובעיני בני־אדם. 19ובאותה דרך הבה נשאף לאחדות ולשלום בקהילה, ונשתדל לבנות איש את רעהו.

20אל תהרוס את עבודת אלוהים בגלל דבר־מאכל. זכור, מותר לך לאכול כל דבר, כי הכול טהור, אך אם אכילתך עלולה לפגוע באחיך, אזי אסור לך לאכול!

21מוטב לא לאכול בשר, לא לשתות יין ולא לעשות דבר שעלול לפגוע באחיך. 22אתה אמנם יודע שמותר לך לאכול כל דבר, כי אלוהים נתן לך רשות, אך שמור זאת בינך לבין אלוהים ואל תתגאה בכך לפני אחרים, כי הם עלולים להיפגע. אשרי האיש העושה את הדבר הנכון במצפון נקי. 23אם אתה חושב שמעשה מסוים אסור, אל תעשהו, כי לגביך הוא אסור. אם אתה בכל זאת עושה אותו, הרי שחטאת, כי לא נהגת באמונה, וכל מה שנעשה ללא אמונה הוא חטא!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Warumi 14:1-23

Msiwahukumu Wengine

114:1 1Kor 8:9-12; 9:22Mkaribisheni yeye ambaye imani yake ni dhaifu, lakini si kwa kugombana na kubishana juu ya mawazo yake. 214:2 Rum 14:14; 1Kor 10:25; 1Tim 4:4; Tit 1:15Mtu mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu, lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula mboga tu. 314:3 Lk 18:9; Kol 2:16Yeye alaye kila kitu asimdharau yeye asiyekula. Wala yeye asiyekula kila kitu asimhukumu yule alaye kila kitu, kwa maana Mungu amemkubali. 414:4 Mt 7:1; Yak 4:12Wewe ni nani hata umhukumu mtumishi wa mtu mwingine? Kwa bwana wake tu anasimama au kuanguka. Naye atasimama kwa sababu Bwana anaweza kumsimamisha.

514:5 Gal 4:10; Kol 2:16Mtu mmoja anaitukuza siku fulani kuwa ni bora kuliko nyingine, na mwingine anaona kuwa siku zote ni sawa. Basi kila mmoja awe na hakika na yale anayoamini. 614:6 Mt 14:19; 1Tim 4:3, 4Yeye anayehesabu siku moja kuwa takatifu kuliko nyingine, hufanya hivyo kwa kumheshimu Bwana. Naye alaye nyama hula kwa Bwana, kwa maana humshukuru Mungu, naye akataaye kula nyama hufanya hivyo kwa Bwana na humshukuru Mungu. 714:7 2Kor 5:15; Gal 2:20Kwa kuwa hakuna hata mmoja wetu anayeishi kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna hata mmoja wetu afaye kwa ajili yake mwenyewe. 814:8 Flp 1:20; Gal 2:20; 1The 5:10; Lk 20:38Kama tunaishi, tunaishi kwa Bwana, nasi pia tukifa tunakufa kwa Bwana. Kwa hiyo basi, kama tukiishi au kama tukifa, sisi ni mali ya Bwana.

914:9 Ufu 1:18; 2:8; Mdo 10:42; 2Kor 5:15Kwani kwa sababu hii hasa, Kristo alikufa na akawa hai tena kusudi apate kuwa Bwana wa wote, yaani, waliokufa na walio hai. 1014:10 2Kor 5:10; Mdo 17:31; Mt 25:31, 32; 7:1; 2Kor 5:10Basi kwa nini wewe wamhukumu ndugu yako? Au kwa nini wewe unamdharau ndugu yako? Kwa kuwa sote tutasimama mbele ya kiti cha Mungu cha hukumu. 1114:11 Isa 45:23; Flp 2:10, 11Kwa kuwa imeandikwa:

“ ‘Kama vile niishivyo,’ asema Bwana,

‘kila goti litapigwa mbele zangu,

na kila ulimi utakiri kwa Mungu.’ ”

1214:12 Mt 12:36; 1Pet 4:5Hivyo basi kila mmoja wetu atatoa habari zake mwenyewe kwa Mungu.

Usimfanye Ndugu Yako Ajikwae

1314:13 Mt 7:1; Rum 14:1; 2Kor 8:9, 13Kwa hiyo tusiendelee kuhukumiana: Badala yake mtu asiweke kamwe kikwazo au kizuizi katika njia ya ndugu mwingine. 1414:14 Mdo 10:15; 1Kor 8:7Ninajua tena nimehakikishiwa sana katika Bwana Yesu kwamba hakuna kitu chochote ambacho ni najisi kwa asili yake. Lakini kama mtu anakiona kitu kuwa ni najisi, basi kwake huyo kitu hicho ni najisi. 1514:15 Efe 5:2; 1Kor 8:7Kama ndugu yako anahuzunishwa kwa sababu ya kile unachokula, basi huenendi tena katika upendo. Usiruhusu kile unachokula kiwe sababu ya kumwangamiza ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake. 1614:16 1Kor 10:30; Tit 2:5; Rum 12:17Usiruhusu kile ambacho unakiona kuwa chema kisemwe kuwa ni kiovu. 1714:17 1Kor 8:8; Gal 5:22Kwa maana Ufalme wa Mungu si kula na kunywa, bali ni haki, amani na furaha katika Roho Mtakatifu. 1814:18 Lk 2:52; Mdo 24:16Kwa sababu mtu yeyote anayemtumikia Kristo kwa jinsi hii, anampendeza Mungu na kukubaliwa na wanadamu.

1914:19 Za 34:14; 1Kor 7:15; Rum 15:2; Efe 4:12, 29Kwa hiyo na tufanye bidii kutafuta yale yaletayo amani na kujengana sisi kwa sisi. 2014:20 Rum 14:15; Mt 15:11; Mdo 10:15; Tit 1:15Usiiharibu kazi ya Mungu kwa ajili ya chakula. Hakika vyakula vyote ni safi, lakini ni kosa kula kitu chochote kinachomsababisha ndugu yako ajikwae. 2114:21 1Kor 8:13; Mt 15:29Ni afadhali kutokula nyama wala kunywa divai au kufanya jambo lingine lolote litakalomsababisha ndugu yako ajikwae.

2214:22 1Yn 3:21; Mt 15:29Je, wewe unayo imani? Ile imani uliyo nayo, uwe nayo nafsini mwako mbele za Mungu. Heri mtu yule asiye na sababu ya kujihukumu nafsi yake kwa ajili ya kile anachokifanya. 23Lakini kama mtu ana shaka kuhusu kile anachokula, amehukumiwa, kwa sababu hakula kwa imani. Kwa kuwa chochote kinachofanywa pasipo imani ni dhambi.