אגרתו השנייה של פטרוס השליח 1 – HHH & NEN

Habrit Hakhadasha/Haderekh

אגרתו השנייה של פטרוס השליח 1:1-21

1מאת שמעון פטרוס, עבדו של ישוע המשיח ושליחו.

אל כל אלה שקיבלו אמונה יקרה כשלנו, בזכות צדקת אלוהינו ומושיענו ישוע המשיח.

2אחים יקרים, ככל שתעמיקו לדעת את אלוהינו ומושיענו, כך הוא יעניק לכם יותר מטובו ושלוותו.

3כי כאשר מעמיקים אנו לדעת אותו, הוא מעניק לנו בגבורתו האלוהית את כל הנחוץ לנו לחיי יושר ואמת; הוא אף מעניק לנו את כבודו ותפארתו. 4בנדיבותו הרבה ובגבורתו העניק לנו אלוהים הבטחות יקרות ונפלאות, כדי שנוכל להימלט באמצעותן מהשחיתות והריקבון שבעולם הסובב אותנו, ואופיינו ילך וידמה לאופיו של אלוהים.

5לפיכך השתדלו כמיטב יכולתכם להוסיף על אמונתכם מעשי צדקה, ולא רק מעשי צדקה: העמיקו לדעת את אלוהים, 6רסנו את עצמכם, היו סבלניים, התמסרו לאלוהים, 7חיו באחווה ובאהבה. 8אם יש בכם מידות אלה, ואתם אף שוקדים לטפח אותן, תוכיחו כי אמונתכם באדוננו נושאת פרי רב ומבורך, 9בעוד שאדם החסר מידות אלה הוא עיוור, או לפחות קצר־ראייה. הוא שכח שאלוהים הושיעו מחיי חטא, כדי שמעתה יחיה ביושר למען אדוננו ישוע המשיח.

10לפיכך, אחים יקרים, עבדו קשה והוכיחו שאלוהים אכן בחר בכם וקרא אתכם אליו. אם כך תנהגו, לעולם לא תיכשלו, 11ואלוהים יפתח לרווחה את שערי השמים, כדי שתיכנסו אל מלכותו הנצחית של אדוננו ומושיענו ישוע המשיח.

12למרות שאתם יודעים דברים אלה ואף חיים לפיהם, יש בדעתי להזכירם שוב ושוב. 13‏-14ישוע המשיח אדוננו גילה לי שלא אחיה עוד זמן רב, אך כל עוד אני חי יש בדעתי לשוב ולהזכירכם דברים אלה, 15בתקווה שיישארו עמכם זמן רב לאחר מותי.

16כשסיפרנו לכם על כוחו וגבורתו של ישוע המשיח ועל שובו אלינו, לא סיפרנו לכם אגדות! במו עיני ראיתי את כבודו ותפארתו. 17‏-18אני עצמי הייתי עם המשיח על הר־הקודש בשעה שקרן הוד וזוהר, שהעניק לו אלוהים אביו, ובאותו מעמד מרשים שמעתי קול נפלא קורא מן השמים: ”זהו בני אהובי, אשר בו חפצתי.“

19אכן היינו עדים לקיום דברי הנביאים, ואתם תנהגו בחכמה אם תשימו לב לדבריהם, שהם כאלומת אור באפלת העולם. כאשר תהגו באמת שבדברי הנביאים ותאמינו בה, יאיר אור היום את נפשכם, וכוכב השחר, המשיח, יזרח בלבבכם. 20עליכם לדעת שאיש אינו יכול לפתור את נבואות כתבי־הקודש בכוחות עצמו, 21שכן אף נבואה לא ניתנה לפי רצון בני־אדם; אלוהים הוא שבחר להשרות את רוחו על אנשים קדושים כדי שיישאו את דברו.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Petro 1:1-21

11:1 Rum 1:1; 1Pet 1:1; Rum 3:21-26; Tit 2:13Simoni Petro, mtumishi na mtume wa Yesu Kristo:

Kwa wale ambao kwa njia ya haki ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo mmepokea imani iliyo na thamani kama yetu:

21:2 2Pet 3:18; Rum 1:7; Flp 3:8; 2Pet 2:20; 1:3, 8Neema na amani iwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.

Wito Wa Mkristo Na Uteule

31:3 1Pet 1:5; Rum 8:28; 1The 2:12Uweza wake wa uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe. 41:4 2Kor 7:1; Efe 4:24; Ebr 12:10; Yak 1:27Kwa sababu hiyo, ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa asili ya uungu, na kuokoka kutoka upotovu ulioko duniani unaosababishwa na tamaa mbaya.

51:5 Kol 2:3; 2Pet 3:18; 1Pet 3:7; Gal 5:6, 22; Yud 3Kwa sababu hii hasa, jitahidini sana katika imani yenu kuongeza wema; na katika wema, maarifa; 61:6 Mdo 24:25; Ebr 10:36; 2Pet 1:3katika maarifa, kiasi; katika kiasi, saburi; katika saburi, utauwa;1:6 Maana yake kumcha Mungu. 71:7 Rum 12:10; 1The 3:12; Gal 6:18; 1The 5:15; 1Yn 4:21katika utauwa, upendano wa ndugu; na katika upendano wa ndugu, upendo. 81:8 Yn 15:2; Kol 1:10Kwa maana haya yakiwa ndani yenu kwa wingi na kuzidi kuongezeka, yanawasaidia msikose bidii wala kutozaa matunda katika kumjua Bwana wetu Yesu Kristo. 91:9 1Yn 2:11; Mt 1:21Lakini mtu yeyote asipokuwa na mambo haya haoni mbali, na ni kipofu, naye amesahau kule kutakaswa kutoka dhambi zake za zamani.

101:10 Za 15:5; Rum 8:28; Za 15:5; 2Pet 3:17; Yud 24Kwa hiyo, ndugu zangu, fanyeni bidii zaidi kuuthibitisha wito wenu na uteule wenu. Kwa maana mkifanya hivyo, hamtajikwaa kamwe, 111:11 Za 145:13; 2Tim 4:18; 2Pet 2:20; 3:18na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.

Unabii Wa Maandiko

121:12 1Yn 2:21; Flp 3:1; Yud 5; 2Yn 2Hivyo nitawakumbusha mambo haya siku zote, hata ingawa mnayajua na mmethibitishwa katika kweli mliyo nayo. 131:13 Isa 38:12; 2Kor 5:14; 2Pet 3:1; 2Kor 5:1, 4Naona ni vyema kuwakumbusha mambo haya wakati wote niwapo katika hema hili ambalo ni mwili wangu, 141:14 2Tim 4:6; Yn 13:36; 21:18, 19kwa sababu najua ya kwamba hivi karibuni nitaliweka kando, kama vile Bwana wetu Yesu Kristo alivyoliweka wazi kwangu. 151:15 Lk 9:31; Hes 22:4-20; 31:16; Kum 23:4; Yud 11; Ufu 2:14Nami nitafanya kila juhudi kuona kwamba baada ya kuondoka kwangu mtaweza kuyakumbuka mambo haya siku zote.

161:16 Mk 13:26; Hes 22:21-30; 1Kor 1:17; 2:1, 4; 2Kor 2:17; 4:2Tulipowafahamisha juu ya uweza na kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo, hatukufuata hadithi zilizotungwa kwa werevu, bali tulishuhudia kwa macho yetu ukuu wake. 17Alipewa heshima na utukufu kutoka kwa Mungu Baba, sauti ilipomjia katika Utukufu Mkuu, ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa naye sana.” 18Sisi wenyewe tuliisikia sauti hii ambayo ilitoka mbinguni, wakati tulipokuwa pamoja naye kwenye ule mlima mtakatifu.

191:19 Za 119:105; Ufu 22:16Nasi tunalo pia neno la hakika zaidi la unabii, ambalo mtafanya vyema mkiliangalia kwa bidii, kama vile nuru inavyongʼaa gizani, hadi kupambazuka na nyota ya asubuhi izuke mioyoni mwenu. 201:20 Rum 12:6; 2Pet 3:3Zaidi ya yote, yawapasa mjue kwamba hakuna unabii katika Maandiko uliofasiriwa kama alivyopenda nabii mwenyewe. 211:21 2Tim 3:16; 2Sam 23:2; Mdo 1:16Kwa maana unabii haukuja kamwe kwa mapenzi ya mwanadamu, bali watu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.