1אל קהילת תסלוניקי, ששייכת לאלוהים אבינו ולישוע המשיח אדוננו.
מאת פולוס, סילוונוס וטימותיוס.
שלום וברכה מאת האלוהים אבינו וישוע המשיח אדוננו.
2בכל פעם שאנו מתפללים בעדכם אנו מודים לאלוהים על כולכם, 3ומזכירים לפניו תמיד את מעשיכם הטובים, את אמונתכם החזקה, את אהבתכם ואת ציפייתכם הסבלנית לשובו של ישוע המשיח אדוננו.
4אחים יקרים ואהובי האדון, אנחנו יודעים שאלוהים בחר בכם, 5שהרי כאשר בישרנו לכם את בשורת האלוהים לא המילים שלנו שכנעו אתכם, אלא רוח הקודש הוא ששכנע אתכם ועזר לכם להאמין בבשורה בהתלהבות ובדבקות. גם אורח חיינו שימש הוכחה חותכת לאמיתות הבשורה שבישרנו לכם. 6וכך הלכתם בעקבותינו כשם שאנו הלכנו בעקבות האדון. למרות שאמונתכם בבשורה הביאה עליכם צרות וסבל מאויביכם, מילא אתכם רוח הקודש שמחה, 7ותוך זמן קצר הפכתם בעצמכם לדוגמה ועשיתם שם בין כל המאמינים ביוון. 8בינתיים פרסמתם את דבר־אלוהים בכל מקום, ואנו שומעים על אמונתכם הנפלאה באלוהים בכל מקום שאנו הולכים. לנו לא נותר מה לספר! 9אנשים מספרים לנו על קבלת־הפנים החמה שערכתם לנו, וכיצד עזבתם את האלילים והאמנתם באלוהים החי והאמיתי. 10הם גם סיפרו לנו על ציפייתכם לשובו של בן־האלוהים מהשמים, הלא הוא ישוע המשיח שקם לתחייה והושיענו מזעם אלוהים על החטא.
Salamu
11:1 Mdo 16:1; 17:1; Rum 1:7Paulo, Silvano1:1 Yaani Sila. na Timotheo:
Kwa kanisa la Wathesalonike, ninyi mlio ndani ya Mungu Baba yetu na ndani ya Bwana Yesu Kristo:
Neema iwe kwenu na amani.
Shukrani Kwa Ajili Ya Imani Ya Wathesalonike
21:2 Rum 1:8; 2The 1:11; Efe 1:16; Flm 4Siku zote tunamshukuru Mungu kwa ajili yenu ninyi nyote, tukiwataja kwenye maombi yetu daima. 31:3 2The 1:11; 1The 2:13; Yn 6:29; Gal 5:6; 1The 3:6; Yak 2:17; Rum 16:6Tunaikumbuka daima kazi yenu ya imani mbele za Mungu aliye Baba yetu, taabu yenu katika upendo na saburi yenu ya tumaini katika Bwana wetu Yesu Kristo.
41:4 Kol 3:12; 2The 2:13Ndugu zetu mpendwao na Mungu, kwa kuwa tunajua kwamba Mungu amewachagua, 51:5 2The 2:14; Mk 16:20; 1Kor 6:6; Kol 2:2kwa sababu ujumbe wetu wa Injili haukuja kwenu kwa maneno matupu bali pia ulidhihirishwa katika nguvu na katika Roho Mtakatifu, tena ukiwa na uthibitisho kamili, kama vile ninyi wenyewe mnavyojua jinsi tulivyoenenda katikati yenu kwa ajili yenu. 61:6 1Kor 4:16; Mdo 17:5-10; 13:52Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, ingawa mlipata mateso mengi, mlilipokea lile Neno kwa furaha katika Roho Mtakatifu. 71:7 1The 4:10; Flp 3:7; 1Pet 5:3; 1Tim 4:12Hivyo ninyi mkawa kielelezo kwa waumini wote katika Makedonia na Akaya. 81:8 Rum 1:8; 10:18Kwa maana kutoka kwenu neno la Bwana limesikika, si katika Makedonia na Akaya tu, bali pia imani yenu katika Mungu imejulikana kila mahali kiasi kwamba hatuna haja ya kusema lolote kwa habari yake. 91:9 1Kor 12:2; Gal 4:8Kwa maana watu wa maeneo hayo wenyewe wanaeleza jinsi mlivyotupokea na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkaacha sanamu, ili kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli 101:10 Mdo 2:24; Rum 5:9na ili kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu: yaani, Yesu, yeye aliyetuokoa kutoka ghadhabu inayokuja.