उत्पत्ति 15 – HCV & NEN

Hindi Contemporary Version

उत्पत्ति 15:1-21

याहवेह का अब्राम के साथ वाचा

1इन बातों के बाद अब्राम को एक दर्शन में याहवेह का यह संदेश मिला:

“अब्राम, भयभीत न हो,

मैं तुम्हारी ढाल,

और तुम्हारा सबसे बड़ा प्रतिफल हूं.”

2अब्राम ने उत्तर दिया, “हे प्रभु याहवेह, आप मुझे क्या दे सकते हैं, क्योंकि मेरी कोई संतान नहीं है, और मेरा वारिस दमेशेक का एलिएज़र होगा?” 3अब्राम ने यह भी कहा, “आपकी ओर से तो मुझे कोई संतान नहीं मिली; इसलिये मेरे घर में एक सेवक मेरा वारिस होगा.”

4तब अब्राम के पास याहवेह का यह वचन आया, “तुम्हारा वारिस यह दास नहीं, परंतु एक पुत्र जो तुम्हारा ही मांस और खून है, तुम्हारा वारिस होगा.” 5याहवेह अब्राम को बाहर ले गए और अब्राम से कहने लगे, “आकाश की ओर देखो. और तारों की गिनती करो.” याहवेह ने अब्राम से कहा, “ऐसे ही तुम्हारा वंश होगा, जिनको कोई गिन नहीं पायेगा.”

6अब्राम ने याहवेह पर विश्वास किया; याहवेह ने इस बात को उसकी धार्मिकता मानी.

7याहवेह ने अब्राम को आश्वासन दिया “मैं वही याहवेह हूं, जिसने तुम्हें कसदियों के ऊर नगर से बाहर निकाला, ताकि तुम्हें यह देश मिले और तुम इस देश पर अधिकार करे.”

8अब्राम ने कहा, “हे प्रभु याहवेह, मैं कैसे जानूं कि आप मुझे यह देश देंगे?”

9इसलिये परमेश्वर ने अब्राम से कहा, “मेरे लिए तीन वर्ष की एक कलोर, तीन वर्ष की एक बकरी, तीन वर्ष का एक मेढ़ा, एक पिण्डुक तथा एक कबूतर का बच्चा ले आओ.”

10अब्राम याहवेह के लिए ये सब ले आए, इन सभी चीज़ों को काटकर दो-दो टुकड़े किए तथा हर एक टुकड़े को आमने-सामने रख दिये, पर उन्होंने पक्षियों के टुकड़े नहीं किए. 11इन टुकड़ों को देख गिद्ध नीचे उतर आए, किंतु अब्राम ने उन्हें भगा दिया.

12जब सूरज डूब रहा था, तब अब्राम गहरी नींद में सो गए और पूरा अंधेरा हो गया. 13तब याहवेह ने अब्राम से कहा, “यह सच है तुम्हारे वंश के लोग पराए देश में परदेशी होकर रहेंगे, जहां उन्हें दास बना लिया जाएगा, और वे उन्हें चार सौ वर्ष तक दुःख देंगे. 14फिर जिस देश के वे दास होंगे, उस देश के लोगों को मैं दंड दूंगा, फिर तुम्हारे वंश के लोग वहां से बहुत धन लेकर निकलेंगे. 15पर तुम्हारा अंत बहुत शांति से होगा और तुम अपनी पूरे बुढ़ापे की आयु में अपने पुरखों के पास दफनाए जाओगे. 16तुम्हारा वंश, चौथी पीढ़ी में यहां फिर लौट आयेगा, क्योंकि अमोरियों का अधर्म अब तक पूरा नहीं हुआ.”

17शाम ढलकर रात बहुत हो गई थी तब एक अंगीठी जिससे धुआं निकल रहा था और उसमें से एक जलता हुआ पतीला उन टुकड़ों के बीच में से गुजरा. 18और उसी दिन याहवेह ने अब्राम से एक वाचा बांधी और कहा, “मैं तुम्हारे वंश को मिस्र के नदी से लेकर फरात महानदी तक दूंगा, 19जो कि केनी, कनिज्ज़ी, कदमोनी, 20हित्ती, परिज्ज़ी, रेफाइम, 21अमोरी, कनानी, गिर्गाशी तथा यबूसियों का देश है.”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 15:1-21

Agano La Mungu Na Abramu

115:1 1Sam 3:10; 15:10; 2Sam 7:4; 22:3, 31; 1Fal 6:11; 12:22; Yer 1:8, 13; Eze 3:16; Dan 10:1; Mwa 21:17; 26:24; 46:3; 46:2; Rut 1:20; Hes 12:6; 24:4; Ay 33:15; Kut 14:13; 20:20; 2Fal 6:16; Hag 2:5; 2Nya 20:15-17; Za 3:3; 5:12; 18:2, 20; 37:25; 58:11; 28:7; 33:20; 84:11; 119:114; 144:2; 27:1; Isa 7:4; 41:10-14; 43:1, 5; Kum 33:29; Mit 2:7; 30:5Baada ya jambo hili, neno la Bwana likamjia Abramu katika maono:

“Usiogope, Abramu.

Mimi ni ngao yako,

na thawabu yako kubwa sana.”

215:2 Isa 49:22; Yer 44:26; Eze 5:11; 16:48; Mdo 7:5; Mwa 14:15Lakini Abramu akasema, “Ee Bwana Mwenyezi, utanipa nini na mimi sina hata mtoto na atakayerithi nyumba yangu ni huyu Eliezeri Mdameski?” 315:3 Mwa 24:2, 34; 12:5Abramu akasema, “Hukunipa watoto, hivyo mtumishi katika nyumba yangu ndiye atakuwa mrithi wangu.”

415:4 Gal 4:28Ndipo neno la Bwana lilipomjia: “Mtu huyu hatakuwa mrithi wako, bali mwana atakayetoka katika viuno vyako mwenyewe ndiye atakayekuwa mrithi wako.” 515:5 Ay 11:8; 35:5; Za 8:3; 147:4; Yer 30:19; 33:22; Mwa 12:2; Rum 4:18; Ebr 11:12; Kut 32:13Akamtoa nje na kusema, “Tazama juu kuelekea mbinguni na uhesabu nyota, kama hakika utaweza kuzihesabu.” Ndipo akamwambia, “Hivyo ndivyo uzao wako utakavyokuwa.”

615:6 Za 106:31; Rum 4:3, 20-24; Gal 3:6; Yak 2:23Abramu akamwamini Bwana, naye kwake hili likahesabiwa kuwa haki.

715:7 Mwa 12:1; 13:17; 17:8; 28:4; 35:12; 48:4; Kut 6:8; 20:2; Mdo 7:3; Ebr 11:8; Kum 9:5Pia akamwambia, “Mimi ndimi Bwana, niliyekutoa toka Uru ya Wakaldayo nikupe nchi hii uimiliki.”

815:8 Lk 1:18; Kum 12:20; 19:8Lakini Abramu akasema, “Ee Bwana Mwenyezi, nitawezaje kujua kwamba nitapata kuimiliki?”

915:9 Hes 19:2; Kum 21:3; Hos 4:16; Amo 4:1; 1Sam 1:24; Law 1:14; 5:7, 11; 12:8Ndipo Bwana akamwambia, “Niletee mtamba wa ngʼombe, mbuzi na kondoo dume, kila mmoja wa miaka mitatu, pamoja na hua na kinda la njiwa.”

1015:10 Yer 34:18; Law 1:17; 5:8Abramu akamletea hivi vyote, akampasua kila mnyama vipande viwili, akavipanga kila kimoja kuelekea mwenzake, lakini hata hivyo ndege, hakuwapasua vipande viwili. 1115:11 Kum 28:26; Yer 7:33Kisha ndege walao nyama wakatua juu ya mizoga, lakini Abramu akawafukuza.

1215:12 Mwa 2:21Wakati jua lilipokuwa linatua, Abramu akashikwa na usingizi mzito, giza nene na la kutisha likaja juu yake. 1315:13 Kut 1:11; 3:7; 5:6-14; 12:40; Ay 3:18; Kum 5:15; Mdo 7:6; Hes 20:15; Gal 3:17Kisha Bwana akamwambia, “Ujue hakika kwamba wazao wako watakuwa wageni kwenye nchi ambayo si yao, nao watafanywa watumwa na kuteswa kwa miaka mia nne. 1415:14 Mwa 50:24; Kut 3:8; 6:6-8; 12:25; 12:32-38; Hes 10:29; Yos 1:2; Mdo 7:7Lakini nitaliadhibu taifa lile watakalolitumikia kama watumwa, na baadaye watatoka huko na mali nyingi. 1515:15 Mwa 25:8; 35:29; 47:30; 49:29; Kum 31:16; 34:7; 2Sam 7:12; 1Fal 1:21; Za 49:19; 91:16; Kut 23:29; Yos 14:11; Amu 8:32; 1Nya 29:28; Ay 5:26; 21:23; 42:17; Mit 3:16; 9:11; Isa 65:20Wewe, hata hivyo utakwenda kwa baba zako kwa amani na kuzikwa katika uzee mwema. 1615:16 Kut 3:8, 17; 12:40; Mwa 28:15; 46:4; 48:21; 50:24; Law 18:28; Yos 13:4; Amu 10:11; Eze 16:3; 1Fal 21:26; 2Fal 16:3; 21:11Katika kizazi cha nne wazao wako watarudi hapa, kwa maana dhambi ya Waamori bado haijafikia kipimo kilichojaa.”

1715:17 Amu 7:16-20; 14:4-5Wakati jua lilipokuwa limezama na giza limeingia, tanuru la moshi na mwali wa moto unaowaka vikatokea na kupita kati ya vile vipande vya nyama. 1815:18 Mwa 2:14; 4:7; 12:7; 17:2-7; Kut 6:4; 34:10, 27; 1Nya 16:16; Za 105:9; Hes 34:5; Isa 27:12; Yos 15:4, 47; 1Fal 8:65; 2Fal 24:7; 2Nya 7:8; Yer 37:5; 46:2; Mao 4:17; Eze 30:22; 47:19Siku hiyo Bwana akafanya Agano na Abramu, na kumwambia, “Nitawapa wazao wako nchi hii, kuanzia Kijito cha Misri15:18 Kijito cha Misri hapa ina maana Wadi-el-Arish kwenye mpaka wa kusini wa Yuda. hadi mto ule mkubwa, Frati, 1915:19 Hes 24:21; Amu 1:16; 4:11; 5:24; 1Sam 15:6; 27:10; 30:29; 1Nya 2:55yaani nchi ya Wakeni, Wakenizi, Wakadmoni, 2015:20 Mwa 10:15; Kum 7:1; Mwa 13:7; 14:5Wahiti, Waperizi, Warefai, 2115:21 Mwa 10:16; Yos 3:10; 24:11; Neh 9:8Waamori, Wakanaani, Wagirgashi na Wayebusi.”