Salmo 26 – CST & NEN

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Salmo 26:1-12

Salmo 26

Salmo de David.

1Hazme justicia, Señor,

pues he llevado una vida intachable;

¡en el Señor confío sin titubear!

2Examíname, Señor; ¡ponme a prueba!

purifica mis entrañas y mi corazón.

3Tu gran amor lo tengo presente,

y siempre ando en tu verdad.

4Yo no convivo con los mentirosos,

ni me junto con los hipócritas;

5aborrezco la compañía de los malvados;

no cultivo la amistad de los perversos.

6Con manos limpias e inocentes

camino, Señor, en torno a tu altar,

7proclamando en voz alta tu alabanza

y contando todas tus maravillas.

8Señor, yo amo la casa donde vives,

el lugar donde reside tu gloria.

9En la muerte, no me incluyas

entre pecadores y asesinos,

10entre gente que tiene las manos

llenas de artimañas y sobornos.

11Yo, en cambio, llevo una vida intachable;

líbrame y compadécete de mí.

12Tengo los pies en terreno firme,

y en la gran asamblea bendeciré al Señor.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 26:1-12

Zaburi 26

Maombi Ya Mtu Mwema

Zaburi ya Daudi.

126:1 1Sam 24:15; Isa 12:2; 25:9; Mit 20:7; Yer 17:7; Za 15:2; 22:4; 40:4; 2Fal 20:3; Dan 3:28; Ebr 10:23Ee Bwana, nithibitishe katika haki,

maana nimeishi maisha yasiyo na lawama;

nimemtumainia Bwana

bila kusitasita.

226:2 Za 7:9; 66:10; Kum 6:6; Eze 11:5; Yer 22:20; 20:12Ee Bwana, unijaribu, unipime,

uuchunguze moyo wangu

na mawazo yangu;

326:3 1Fal 2:4; Za 6:4; 40:11; 43:3; 86:11; 119:30kwa maana upendo wako

uko mbele yangu daima,

nami natembea siku zote

katika kweli yako.

426:4 Za 1:1; 28:3; Mt 6:226:4 Amo 9:6; Zek 10:1Siketi pamoja na watu wadanganyifu,

wala siandamani na wanafiki,

526:5 Za 139:21ninachukia kusanyiko la watenda mabaya

na ninakataa kuketi pamoja na waovu.

626:6 Za 73:13; Mt 27:24Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia,

naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,

726:7 Isa 42:12; 60:6; Yos 3:5; Za 9:1nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa,

huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.

826:8 Za 96:6; 122:6; Isa 66:10; 2Nya 7:1; Kut 29:43Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi,

mahali ambapo utukufu wako hukaa.

926:9 Za 5:6; 28:3; 55:23; 139:19; Mit 29:10Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi,

wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,

1026:10 Za 21:11; Isa 1:23; Ay 36:18; Eze 22:12ambao mikononi mwao kuna mipango miovu,

ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.

1126:11 Za 31:5; 69:18; 119:134; Tit 2:14Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama;

nikomboe na unihurumie.

1226:12 Za 22:25; 27:11; Ay 36:18; Lk 6:17; Isa 26:7; 40:3-4; 45:13; Zek 4:7Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare;

katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.