Salmo 26
Salmo de David.
1Hazme justicia, Señor,
pues he llevado una vida intachable;
¡en el Señor confío sin titubear!
2Examíname, Señor; ¡ponme a prueba!
purifica mis entrañas y mi corazón.
3Tu gran amor lo tengo presente,
y siempre ando en tu verdad.
4Yo no convivo con los mentirosos,
ni me junto con los hipócritas;
5aborrezco la compañía de los malvados;
no cultivo la amistad de los perversos.
6Con manos limpias e inocentes
camino, Señor, en torno a tu altar,
7proclamando en voz alta tu alabanza
y contando todas tus maravillas.
8Señor, yo amo la casa donde vives,
el lugar donde reside tu gloria.
9En la muerte, no me incluyas
entre pecadores y asesinos,
10entre gente que tiene las manos
llenas de artimañas y sobornos.
11Yo, en cambio, llevo una vida intachable;
líbrame y compadécete de mí.
12Tengo los pies en terreno firme,
y en la gran asamblea bendeciré al Señor.
Zaburi 26
Maombi Ya Mtu Mwema
Zaburi ya Daudi.
126:1 1Sam 24:15; Isa 12:2; 25:9; Mit 20:7; Yer 17:7; Za 15:2; 22:4; 40:4; 2Fal 20:3; Dan 3:28; Ebr 10:23Ee Bwana, nithibitishe katika haki,
maana nimeishi maisha yasiyo na lawama;
nimemtumainia Bwana
bila kusitasita.
226:2 Za 7:9; 66:10; Kum 6:6; Eze 11:5; Yer 22:20; 20:12Ee Bwana, unijaribu, unipime,
uuchunguze moyo wangu
na mawazo yangu;
326:3 1Fal 2:4; Za 6:4; 40:11; 43:3; 86:11; 119:30kwa maana upendo wako
uko mbele yangu daima,
nami natembea siku zote
katika kweli yako.
426:4 Za 1:1; 28:3; Mt 6:226:4 Amo 9:6; Zek 10:1Siketi pamoja na watu wadanganyifu,
wala siandamani na wanafiki,
526:5 Za 139:21ninachukia kusanyiko la watenda mabaya
na ninakataa kuketi pamoja na waovu.
626:6 Za 73:13; Mt 27:24Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia,
naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
726:7 Isa 42:12; 60:6; Yos 3:5; Za 9:1nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa,
huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.
826:8 Za 96:6; 122:6; Isa 66:10; 2Nya 7:1; Kut 29:43Ee Bwana, naipenda nyumba yako mahali unakoishi,
mahali ambapo utukufu wako hukaa.
926:9 Za 5:6; 28:3; 55:23; 139:19; Mit 29:10Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi,
wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,
1026:10 Za 21:11; Isa 1:23; Ay 36:18; Eze 22:12ambao mikononi mwao kuna mipango miovu,
ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.
1126:11 Za 31:5; 69:18; 119:134; Tit 2:14Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama;
nikomboe na unihurumie.
1226:12 Za 22:25; 27:11; Ay 36:18; Lk 6:17; Isa 26:7; 40:3-4; 45:13; Zek 4:7Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare;
katika kusanyiko kuu nitamsifu Bwana.