Salmo 150
1¡Aleluya! ¡Alabado sea el Señor!
Alabad a Dios en su santuario,
alabadle en su poderoso firmamento.
2Alabadle por sus proezas,
alabadle por su inmensa grandeza.
3Alabadle con sonido de trompeta,
alabadle con el arpa y la lira.
4Alabadle con panderos y danzas,
alabadle con cuerdas y flautas.
5Alabadle con címbalos sonoros,
alabadle con címbalos resonantes.
6¡Que todo lo que respira alabe al Señor!
¡Aleluya! ¡Alabado sea el Señor!
Zaburi 150
Msifuni Bwana Kwa Ukuu Wake
1150:1 Za 112:1; 73:17; 68:24-26; 102:19; 148:1Msifuni Bwana.
Msifuni Mungu katika patakatifu pake,
msifuni katika mbingu zake kuu.
2150:2 Kum 3:24; Kut 15:7Msifuni kwa matendo yake makuu,
msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3150:3 Hes 10:2; Za 57:8Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta,
msifuni kwa kinubi na zeze,
4150:4 Kut 15:20; Za 45:8; Isa 38:20; Mwa 4:21msifuni kwa matari na kucheza,
msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
5150:5 2Sam 6:5msifuni kwa matoazi yaliayo,
msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6150:6 Za 103:22; Ufu 5:13Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana.
Msifuni Bwana!