Salmo 150 – CST & NEN

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Salmo 150:1-6

Salmo 150

1¡Aleluya! ¡Alabado sea el Señor!

Alabad a Dios en su santuario,

alabadle en su poderoso firmamento.

2Alabadle por sus proezas,

alabadle por su inmensa grandeza.

3Alabadle con sonido de trompeta,

alabadle con el arpa y la lira.

4Alabadle con panderos y danzas,

alabadle con cuerdas y flautas.

5Alabadle con címbalos sonoros,

alabadle con címbalos resonantes.

6¡Que todo lo que respira alabe al Señor!

¡Aleluya! ¡Alabado sea el Señor!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 150:1-6

Zaburi 150

Msifuni Bwana Kwa Ukuu Wake

1150:1 Za 112:1; 73:17; 68:24-26; 102:19; 148:1Msifuni Bwana.

Msifuni Mungu katika patakatifu pake,

msifuni katika mbingu zake kuu.

2150:2 Kum 3:24; Kut 15:7Msifuni kwa matendo yake makuu,

msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.

3150:3 Hes 10:2; Za 57:8Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta,

msifuni kwa kinubi na zeze,

4150:4 Kut 15:20; Za 45:8; Isa 38:20; Mwa 4:21msifuni kwa matari na kucheza,

msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,

5150:5 2Sam 6:5msifuni kwa matoazi yaliayo,

msifuni kwa matoazi yavumayo sana.

6150:6 Za 103:22; Ufu 5:13Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana.

Msifuni Bwana!