Salmo 133 – CST & NEN

Nueva Versión Internacional (Castilian)

Salmo 133:1-3

Salmo 133

Cántico de los peregrinos. De David.

1¡Cuán bueno y cuán agradable es

que los hermanos convivan en armonía!

2Es como el buen aceite que, desde la cabeza,

va descendiendo por la barba,

por la barba de Aarón,

hasta el borde de sus vestiduras.

3Es como el rocío de Hermón

que va descendiendo sobre los montes de Sión.

Donde se da esta armonía,133:3 Donde se da esta armonía. Lit. Ciertamente allí.

el Señor concede bendición y vida eterna.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 133:1-3

Zaburi 133

Sifa Za Pendo La Undugu

Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

1133:1 Mwa 13:8; Yn 17:11; 1Kor 1:10; Rum 12:10Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza

wakati ndugu wanapoishi pamoja katika umoja!

2133:2 Kut 29:7; 30:25Ni kama mafuta ya thamani yaliyomiminwa kichwani,

yakitiririka kwenye ndevu,

yakitiririka kwenye ndevu za Aroni,

mpaka kwenye upindo wa mavazi yake.

3133:3 Ay 29:19; Mit 19:12; Isa 18:4; 26:19; 45:8; Hos 14:5; Mik 5:7; Kum 3:8; Kut 15:17; Law 25:21; Za 2:6; 74:2; 21:4; Dan 12:2-3; Yn 4:14; Ebr 7:25; 1Yn 5:20Ni kama vile umande wa Hermoni

unavyoanguka juu ya Mlima Sayuni.

Kwa maana huko ndiko Bwana alikoamuru baraka yake,

naam, hata uzima milele.