Otkrivenje 12 – CRO & NEN

Knijga O Kristu

Otkrivenje 12:1-17

Žena i Zmaj

1Na nebu se pokaže veliko znamenje. Ugledam ženu obučenu u sunce, s Mesecom pod nogama i vijencem od dvanaest zvijezda na glavi. 2Trudna je vikala u porođajnim bolima.

3Odjednom se pojavi velik crveni zmaj sa sedam glava i deset rogova. Na glavama je imao sedam kruna. 4Repom sruši na zemlju trećinu zvijezda. Stajao je pred ženom koja je rađala da joj proždre Dijete čim se rodi.

5Ona rodi muško dijete koje će vladati svim narodima željeznom palicom te je uzeto k Bogu i njegovu prijestolju. 6A žena pobjegne u pustinju, gdje joj je Bog pripravio sklonište da bude zbrinuta tisuću dvjesto šezdeset dana.

7U nebu nastane rat: Mihael i anđeli pod njegovim vodstvom zarate sa Zmajem i njegovim anđelima 8te ih nadvladaju i istjeraju iz neba. 9Veliki Zmaj, stara Zmija koju nazivaju Đavlom, Sotonom i zavodnikom svega svijeta, zbačen je na zemlju, a s njime i njegovi anđeli.

10Začujem zatim s neba silan glas:

“Evo spasenja i snage i kraljevstva našega Boga,

i vlasti njegova Pomazanika!

Jer zbačen je na zemlju tužitelj naše braće

koji ih je danonoćno optuživao pred Bogom.

11Pobijedili su ga s pomoću krvi Jaganjčeve

i riječi svojega svjedočanstva.

Nisu se bojali umrijeti.

12Radujte se, nebesa i svi vi koji u njima obitavate!

Teško vama, zemljo i more!

Jer đavao je sišao k vama silno gnjevan

znajući da mu je preostalo malo vremena!”

13Kad je Zmaj vidio da je zbačen na zemlju, počne progoniti ženu koja je rodila muško dijete. 14Ali ona dobije dva velika orlovska krila te odleti u sklonište pripremljeno za nju u pustinji, gdje će, zaštićena od Zmije, biti zbrinuta jedno vrijeme, dva vremena i polovicu vremena.

15Zmaj ispusti za ženom iz usta mlaz vode poput rijeke da je rijeka odnese. 16Ali zemlja pomogne ženi: otvori usta i proguta rijeku što je šikljala iz Zmajevih usta. 17Zmaj se nato rasrdi na ženu pa zarati s ostatkom njezina potomstva—sa svima koji čuvaju Božje zapovijedi i svjedoče da pripadaju Isusu Kristu.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 12:1-17

Mwanamke Na Joka

1Kukaonekana ishara kuu mbinguni: Palikuwa na mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi ukiwa chini ya miguu yake, na taji ya nyota kumi na mbili ilikuwa kichwani mwake. 212:2 Gal 4:19Alikuwa na mimba naye akilia kwa uchungu kwa kuwa alikuwa anakaribia kuzaa. 312:3 Dan 7:7, 20; Ufu 13:1; 19:21Kisha ishara nyingine ikaonekana mbinguni: Likaonekana joka kubwa jekundu lenye vichwa saba na pembe kumi na taji saba katika vichwa vyake. 412:4 Ufu 8:7; Dan 8:10; Mt 22:16Mkia wake ukakokota theluthi ya nyota zote angani na kuziangusha katika nchi. Ndipo lile joka likasimama mbele ya yule mwanamke aliyekuwa karibu kuzaa ili lipate kumla huyo mtoto mara tu atakapozaliwa. 512:5 Za 2:9; Ufu 19:15Yule mwanamke akazaa mtoto mwanaume, atakayeyatawala mataifa yote kwa fimbo yake ya utawala ya chuma. Lakini huyo mtoto akanyakuliwa na kupelekwa kwa Mungu kwenye kiti chake cha enzi. 612:6 Ufu 11:2Yule mwanamke akakimbilia jangwani, ambako Mungu alikuwa amemtayarishia mahali ili apate kutunzwa huko kwa muda wa siku 1,260.

Malaika Mikaeli Amshinda Yule Joka

7Basi palikuwa na vita mbinguni: Mikaeli na malaika zake wakapigana na hilo joka, nalo joka pamoja na malaika zake likapigana nao. 8Lakini joka na malaika zake wakashindwa, na hapakuwa tena na nafasi yao huko mbinguni. 912:9 Mwa 3:1-7; Mt 25:41; Ufu 20:3, 8, 10; Lk 10:18; Yn 12:31Lile joka kuu likatupwa chini, yule nyoka wa zamani aitwaye ibilisi au Shetani, aupotoshaye ulimwengu wote. Akatupwa chini duniani, yeye pamoja na malaika zake.

Ushindi Mbinguni Watangazwa

1012:10 Ufu 11:15; Zek 3:1Kisha nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema:

“Sasa wokovu na uweza na Ufalme wa Mungu wetu umekuja

na mamlaka ya Kristo wake.

Kwa kuwa ametupwa chini

mshtaki wa ndugu zetu,

anayewashtaki mbele za Mungu

usiku na mchana.

1112:11 Ufu 7:14; 6:9; Lk 14:26Nao wakamshinda

kwa damu ya Mwana-Kondoo

na kwa neno la ushuhuda wao.

Wala wao hawakuyapenda maisha yao

hata kufa.

1212:12 Isa 44:23; Ufu 18:20; 8:13; 10:6Kwa hiyo, furahini ninyi mbingu

na wote wakaao humo!

Lakini ole wenu nchi na bahari,

kwa maana huyo ibilisi ameshuka kwenu,

akiwa amejaa ghadhabu,

kwa sababu anajua ya kuwa

muda wake ni mfupi!”

13Lile joka lilipoona kuwa limetupwa chini duniani, lilimfuatilia yule mwanamke aliyekuwa amezaa mtoto mwanaume. 1412:14 Kut 19:4; Dan 7:25Lakini huyo mwanamke akapewa mabawa mawili ya tai mkubwa, kusudi aweze kuruka mpaka mahali palipotayarishwa kwa ajili yake huko jangwani, ambako atatunzwa kwa wakati na nyakati na nusu,12:14 Maana yake ni miaka mitatu na nusu. ya wakati ambako yule joka hawezi kufika. 15Ndipo lile joka likamwaga maji kama mto kutoka kinywani mwake, ili kumfikia huyo mwanamke na kumkumba kama mafuriko. 16Lakini nchi ikamsaidia huyo mwanamke kwa kufungua kinywa na kuumeza huo mto ambao huyo joka alikuwa ameutoa kinywani mwake. 1712:17 Ufu 11:7; Mwa 3:15; Ufu 14:12; 1:2Kisha lile joka likapatwa na hasira kali kwa ajili ya huyo mwanamke na likaondoka ili kupigana vita na watoto waliosalia wa huyo mwanamke, yaani, wale wanaozitii amri za Mungu na kuushika ushuhuda wa Yesu Kristo. Lile joka likasimama kwenye mchanga wa bahari.