雅各書 4 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

雅各書 4:1-17

不要與世俗為友

1你們彼此衝突、互相鬥毆的起因是什麼呢?不就是你們身體中不斷交戰的慾望嗎? 2你們貪心,得不到就去殺人。你們嫉妒,得不到就爭吵、打鬥。你們得不到是因為你們不向上帝祈求。 3你們求也得不到是因為你們動機不純,只求享樂和滿足自己的慾望。 4你們這些對主不忠的人啊,難道還不明白與世俗為友就是與上帝爲敵嗎?所以,凡是與世俗為友的,都是上帝的敵人。 5聖經上說:「上帝所賜、住在我們心裡的聖靈深願我們完全屬於祂。」你們以為這是空談嗎? 6但上帝賜給我們更大的恩典,所以聖經上說:「上帝阻擋驕傲的人,恩待謙卑的人。」

7因此,你們要服從上帝,抵擋魔鬼,魔鬼必逃離你們。 8你們親近上帝,上帝就必親近你們。有罪的人啊,洗淨你們的手吧!三心二意的人啊,潔淨你們的心吧! 9你們要悲傷、憂愁、痛哭,轉歡笑為悲哀,變歡樂為愁苦。 10你們要在主面前謙卑,祂必擢升你們。

不要論斷

11弟兄姊妹,不要彼此批評。批評、論斷弟兄姊妹就等於是批評、論斷律法。如果你論斷律法,你就不是遵行律法的人,而是以審判者自居。 12設立律法和審判人的只有一位,就是能拯救人也能毀滅人的上帝。你是誰,竟然論斷別人呢?

警戒自誇

13你們有些人說:「今天或是明天,我們要往某某城去,在那裡逗留一年半載,做生意賺錢。」 14其實你們根本不知道明天會發生什麼事。你們的生命是什麼呢?你們只不過像一陣霧氣,出現片刻,就無影無蹤了。 15你們只當說:「如果主許可,我們就可以活著,可以做這事或做那事。」 16現在,你們竟敢傲慢自誇,這實屬邪惡。 17所以人若知道善而不去行,就是犯罪。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yakobo 4:1-17

Jinyenyekezeni Kwa Mungu

14:1 Tit 3:9; Rum 7:23Ni kitu gani kinachosababisha mapigano na ugomvi miongoni mwenu? Je, haya hayatokani na tamaa zenu zinazoshindana ndani yenu? 24:2 Mt 5:21, 22; Yak 5:6; 1Yn 3:15Mnatamani lakini hampati, kwa hiyo mwaua. Mwatamani kupata lakini hampati vile mnavyotaka, kwa hiyo mnajitia katika magomvi na mapigano. Mmepungukiwa kwa sababu hammwombi Mungu. 34:3 Mt 7:7; Za 66:18; 1Yn 5:14Mnapoomba hampati kwa sababu mnaomba kwa nia mbaya, ili mpate kuvitumia hivyo mtakavyopata kwa tamaa zenu.

44:4 Yak 1:27; Rum 8:7; Yn 15:19Ninyi wanaume na wanawake wazinzi, hamjui ya kwamba urafiki na dunia ni uadui na Mungu? Kwa hiyo mtu yeyote anayetaka kuwa rafiki wa dunia hufanyika adui wa Mungu. 54:5 1Kor 6:19; Mwa 6:5; 8:21; Hes 11:29; Mit 21:10Au mwadhani kwamba Andiko lasema bure kuwa huyo Roho ambaye Mungu amemweka ndani yetu hututamani kiasi cha kuona wivu? 64:6 Za 138:6; Mt 23:12Lakini yeye hutupatia neema zaidi. Hii ndiyo sababu Andiko husema:

“Mungu huwapinga wenye kiburi,

lakini huwapa wanyenyekevu neema.”

74:7 Efe 6:11; 1Pet 5:6-9Basi mtiini Mungu. Mpingeni ibilisi, naye atawakimbia. 84:8 Ebr 7:19; Isa 1:16; Za 119:113Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu ninyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu ninyi wenye nia mbili. 94:9 Lk 6:25; Mt 5:4Huzunikeni, ombolezeni na kulia. Kicheko chenu na kigeuzwe kuwa kuomboleza, na furaha yenu kuwa huzuni. 104:10 Ay 22:29; Mt 23:12; Lk 14:11; 1Pet 5:6Jinyenyekezeni mbele za Bwana, naye atawainua.

Onyo Kuhusu Kuhukumu Wengine

114:11 Rum 1:30; 2Kor 12:20; Mt 7:1; Yak 1:22Ndugu, msineneane mabaya ninyi kwa ninyi. Mtu yeyote anayesema mabaya dhidi ya ndugu yake au kumhukumu anasema dhidi ya sheria na kuihukumu. Unapoihukumu sheria, basi huishiki sheria bali umekuwa hakimu wa kuihukumu hiyo sheria. 124:12 Mt 10:28; 7:1Yuko Mtoa sheria mmoja tu na yeye peke yake ndiye Hakimu, ndiye awezaye kuokoa au kuangamiza. Lakini wewe ni nani hata umhukumu jirani yako?

Kujivuna Kwa Ajili Ya Kesho

134:13 Lk 12:18-20Basi sikilizeni ninyi msemao, “Leo au kesho tutakwenda katika mji huu ama ule tukae humo mwaka mmoja, tufanye biashara na kupata faida.” 144:14 Za 39:5; Isa 2:22Lakini hamjui hata litakalotukia kesho. Maisha yenu ni nini? Ninyi ni ukungu ambao huonekana kwa kitambo kidogo kisha hutoweka. 154:15 Mdo 18:21Badala yake, inawapasa kusema, “Kama Bwana akipenda, tutaishi na kufanya hili ama lile.” 164:16 1Kor 5:6Kama ilivyo sasa, mnajisifu na kujigamba. Kujisifu kwa namna hiyo ni uovu. 174:17 Lk 12:47; Yn 9:41Basi mtu yeyote anayejua jema limpasalo kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda dhambi.