阿摩司書 1 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

阿摩司書 1:1-15

1猶大烏西雅約阿施的兒子以色列耶羅波安執政期間,大地震前兩年,提哥亞的牧人阿摩司看到了關於以色列的異象。以下是阿摩司的話。

2他說:

「耶和華在錫安1·2 錫安」位於耶路撒冷北部,即大衛城,有時用來指耶路撒冷。怒吼,

在耶路撒冷呼喊。

牧人的草場枯乾,

迦密山頂枯黃。」

對亞蘭的審判

3耶和華說:

大馬士革人三番四次地犯罪,

我必不收回對他們的懲罰,

因為他們用打糧食的鐵器蹂躪基列

4所以我要降火在哈薛王家,

燒毀便·哈達王的城堡。

5我要折斷大馬士革城的門閂,

剷除亞文平原1·5 亞文平原」希伯來文是「邪惡谷」。亞文平原和伯·伊甸皆屬於亞蘭人。的居民和伯·伊甸的掌權者,

使亞蘭人被擄到吉珥1·5 吉珥的位置不詳,亞蘭人原來自吉珥。

這是耶和華說的。」

對非利士的審判

6耶和華說:

迦薩人三番四次地犯罪,

我必不收回對他們的懲罰,

因為他們把被擄之人全都帶走,

賣到以東做奴隸。

7所以,我要降火在迦薩的城牆上,

燒毀它的城堡。

8我要剷除亞實突的居民和亞實基倫的掌權者,

伸手攻擊以革倫

剩下的非利士人都要滅亡。

這是主耶和華說的。」

對泰爾的審判

9耶和華說:

泰爾人三番四次地犯罪,

我必不收回對他們的懲罰,

因為他們背棄弟兄之盟,

把被擄之人都賣到以東

10所以,我要降火在泰爾的城牆上,

燒毀它的城堡。」

對以東的審判

11耶和華說:

以東人三番四次地犯罪,

我必不收回對他們的懲罰,

因為他們拔刀追趕自己的弟兄,

沒有半點憐憫之心;

他們怒氣不息,永懷憤怒。

12所以,我要降火在提幔

燒毀波斯拉的城堡。」

對亞捫的審判

13耶和華說:

亞捫人三番四次地犯罪,

我必不收回對他們的懲罰,

因為他們為了擴張領土,

竟剖開基列孕婦的肚腹。

14所以,我要在戰爭的吶喊聲中,

在暴風雨吹襲的時候,

降火在拉巴的城牆上,

燒毀它的城堡。

15他們的君王和首領都要被擄。

這是耶和華說的。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Amosi 1:1-15

11:1 2Sam 14:2; Zek 14:5; 2Fal 14:21-23; Hos 1:1; 2Nya 11:6; Za 78:70; 2Nya 26:23Maneno ya Amosi, mmoja wa wachunga wanyama wa Tekoa: yale aliyoyaona kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi, wakati Uzia alikuwa mfalme wa Yuda, na Yeroboamu mwana wa Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli.

21:2 Isa 42:13; Yoe 3:16; Amo 9:3; Yer 12:4; Za 29:3Alisema:

Bwana ananguruma toka Sayuni,

pia ananguruma kutoka Yerusalemu;

malisho ya wachunga wanyama yanakauka,

kilele cha Karmeli kinanyauka.”

Hukumu Juu Ya Majirani Wa Israeli

31:3 Isa 8:4; 7:9; 17:1-3; 8:4; 2Fal 10:33; Amo 2:6Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Dameski,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu aliipura Gileadi

kwa vyombo vya chuma vyenye meno.

41:4 Eze 30:8; Yer 17:27; 49:23-27; 1Fal 20:1; 19:17; 2Fal 6:24Nitatuma moto juu ya nyumba ya Hazaeli

ambao utateketeza ngome za Ben-Hadadi.

51:5 Yer 51:30; 49:27; Isa 7:1, 16; 22:6; Zek 9:1; 2Fal 16:9Nitalivunja lango la Dameski;

nitamwangamiza mfalme aliyeko katika Bonde la Aveni,1:5 Bonde la Aveni maana yake Bonde la Uovu.

na yeye ambaye anaishika fimbo ya utawala katika Beth-Edeni.

Watu wote wa Aramu watakwenda uhamishoni huko Kiri,”

asema Bwana.

61:6 2Nya 28:18; 1Sam 6:17; Mwa 10:19; 14:6; Oba 1:11; Sef 2:4Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Gaza,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu walichukua mateka jumuiya nzima

na kuwauza kwa Edomu,

71:7 2Fal 18:8nitatuma moto juu ya kuta za Gaza

ambao utateketeza ngome zake.

81:8 2Nya 26:6; Za 81:14; Eze 25:16; Isa 14:28-32; 34:8; Sef 2:4-7Nitamwangamiza mfalme wa Ashdodi

na yeye aishikaye fimbo ya utawala katika Ashkeloni.

Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni,

hadi Mfilisti wa mwisho atakapokufa,”

asema Bwana Mwenyezi.

91:9 Isa 23:1-18; 1Fal 5:12; 9:11-14; Yer 25:22; Yoe 3:4Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Tiro,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu ameuza jumuiya nzima ya mateka kwa Edomu,

na kutokujali mapatano ya undugu,

101:10 Yer 47:6; Eze 26:2-4; Isa 23:1-18; 34:8; Zek 9:1-4Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro

ambao utateketeza ngome zake.”

111:11 Yer 49:7-22; Eze 25:12-14; Zek 1:15; Mal 1:4; Za 83:6; Hes 20:14-21; 2Nya 28:17Hili ndilo Bwana asemalo:

“Kwa dhambi tatu za Edomu,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu alimfuatia ndugu yake kwa upanga,

alikataa kuonyesha huruma yoyote,

kwa sababu hasira yake kali iliendelea kupanda wakati wote

na ghadhabu iliwaka bila kuzuiliwa.

121:12 Mwa 36:11-15; Mao 1:9-10; Isa 34:5; 63:1-6; Eze 25:12-14; Mal 1:2-5Nitatuma moto juu ya Temani

ambao utateketeza ngome za Bosra.”

131:13 Mwa 19:38; 34:29; Yer 49:1-6; 2Fal 8:12; Hos 13:16; Eze 21:28Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Amoni,

hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

Kwa sababu aliwatumbua wanawake wajawazito wa Gileadi

ili kuongeza mipaka yake.

141:14 Kum 3:11; Ay 39:25; Eze 25:5; Amo 2:2; Isa 30:30; Yer 23:19Nitatuma moto kwenye kuta za Raba

ambao utateketeza ngome zake

katikati ya vilio vya vita katika siku ya mapigano,

katikati ya upepo mkali katika siku ya dhoruba.

151:15 Yer 25:21; 49:1-3; Eze 21:28-32; 25:2-7; 1Nya 20:1Mfalme wake atakwenda uhamishoni,

yeye pamoja na maafisa wake,”

asema Bwana.