詩篇 90 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

詩篇 90:1-17

卷四:詩篇90—106

第 90 篇

上帝與世人

上帝的僕人摩西的祈禱。

1主啊,

你是我們世世代代的居所。

2群山尚未誕生,

大地和世界還未形成,

從亙古到永遠,你是上帝。

3你叫人歸回塵土,

說:「世人啊,歸回塵土吧。」

4在你眼中,

千年如一日,又如夜裡的一更。

5你像急流一般把世人沖走,

叫他們如夢消逝。

他們像清晨的嫩草,

6清晨還生機盎然,

傍晚就凋謝枯萎。

7你的怒氣使我們滅亡,

你的憤怒使我們戰抖。

8你知道我們的罪惡,

對我們隱秘的罪瞭若指掌。

9我們活在你的烈怒之下,

一生就像一聲歎息飛逝而去。

10我們一生七十歲,

強壯的可活八十歲,

但人生最美好的時光也充滿勞苦和愁煩,

生命轉瞬即逝,

我們便如飛而去。

11誰明白你憤怒的威力?

有誰因為明白你的烈怒而對你心存敬畏呢?

12求你教導我們明白人生有限,

使我們做有智慧的人。

13耶和華啊,我還要苦候多久呢?

求你憐憫你的僕人。

14求你在清晨以慈愛來滿足我們,

使我們一生歡喜歌唱。

15你使我們先前經歷了多少苦難和不幸的歲月,

求你也賜給我們多少歡樂的歲月。

16求你讓僕人們看見你的作為,

讓我們的後代看見你的威榮。

17願主——我們的上帝恩待我們,

使我們所做的亨通,

使我們所做的亨通。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 90:1-17

KITABU CHA NNE

(Zaburi 90–106)

Zaburi 90

Umilele Wa Mungu Na Udhaifu Wa Mwanadamu

Maombi ya Mose, mtu wa Mungu.

190:1 Kum 33:27; Efe 2:22; Ufu 21:3Bwana, wewe umekuwa makao yetu

katika vizazi vyote.

290:2 Ay 38:4, 5; 10:5; 15:7; Mwa 21:33; Isa 9:6; 57:15; Za 102:24-27; Mit 8:23-26Kabla ya kuzaliwa milima

au hujaumba dunia na ulimwengu,

wewe ni Mungu tangu milele hata milele.

390:3 Mwa 2:7; 3:9; Ay 7:21; 34:15; 1Kor 15:47; Mhu 12:7Huwarudisha watu mavumbini,

ukisema, “Rudini mavumbini, enyi wanadamu.”

490:4 Ebr 13:8; 2Pet 3:8; Ay 10:5Kwa maana kwako miaka elfu

ni kama siku moja iliyokwisha pita,

au kama kesha la usiku.

590:5 Mwa 19:15; Isa 40:6Unawatowesha wanadamu katika usingizi wa kifo,

nao ni kama majani machanga ya asubuhi:

690:6 Isa 40:6-8; Ay 14:2; Za 92:7ingawa asubuhi yanachipua,

ifikapo jioni huwa yamenyauka na kukauka.

7Tumeangamizwa kwa hasira yako

na tumetishwa kwa ghadhabu yako.

890:8 2Kor 4:2; Efe 5:12; Ebr 4:13; 4:12, 13; Za 19:12; 50:21; Yer 16:17; Mit 5:21; Mhu 12:14; Rum 2:16; 1Kor 4:5Umeyaweka maovu yetu mbele yako,

dhambi zetu za siri katika nuru ya uwepo wako.

990:9 Za 78:33Tumeishi siku zetu zote chini ya ghadhabu yako,

tunamaliza miaka yetu kwa kuomboleza.

1090:10 Isa 23:15, 17; 2Sam 19:35; Ay 5:7; 20:8; 34:15; Yer 25:11Siku zetu za kuishi ni miaka sabini,

au miaka themanini ikiwa tuna nguvu,

lakini yote ni ya shida na taabu,

nazo zapita haraka, nasi twatoweka.

1190:11 Za 7:11; 76:7Ni nani ajuaye nguvu za hasira yako?

Kwa maana ghadhabu yako ni kubwa

kama hofu tunayopaswa kuwa nayo kwako.

1290:12 Za 39:4; 139:16; Mit 16:9; 20:24; Kum 32:29Tufundishe kuzihesabu siku zetu vizuri,

ili tujipatie moyo wa hekima.

1390:13 Za 6:3; Kum 32:36Ee Bwana, uwe na huruma! Utakawia hata lini?

Wahurumie watumishi wako.

1490:14 Za 103:5; 107:9; 145:16, 19; 31:7; 77:8; 143:8Tushibishe asubuhi kwa upendo wako usiokoma,

ili tuweze kuimba kwa shangwe na kufurahi siku zetu zote.

15Utufurahishe kulingana na siku ulizotuadhibu,

kulingana na miaka tuliyotaabika.

1690:16 Za 44:1; Hab 3:2Matendo yako na yaonekane kwa watumishi wako,

utukufu wako kwa watoto wao.

1790:17 Isa 26:12; 2The 2:16, 17Wema wa Bwana Mungu wetu uwe juu yetu;

uzithibitishe kazi za mikono yetu:

naam, uzithibitishe kazi za mikono yetu.