詩篇 9 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

詩篇 9:1-20

第 9 篇

稱頌上帝的公義

大衛的詩,交給樂長,調用「慕拉辨」9·0 慕拉辨」希伯來文的意思是「喪子」。

1耶和華啊,

我要全心全意地讚美你,

傳揚你一切奇妙的作為。

2我要因你歡喜快樂,

至高者啊,我要歌頌你的名。

3我的仇敵必在你面前敗退,

倒地身亡。

4你坐在寶座上按公義審判,

你為我主持公道。

5你斥責列國,消滅惡人,

永永遠遠抹去他們的名字。

6仇敵永遠滅亡了,

你把他們的城池連根拔起,

無人再記得他們。

7耶和華永遠掌權,

祂已設立施行審判的寶座。

8祂要以公義審判世界,

在萬民中伸張正義。

9耶和華是受欺壓之人的避難所,

是他們患難之時的避風港。

10耶和華啊,

凡認識你名的人都必信靠你,

因為你從來不丟棄尋求你的人。

11要歌頌住在錫安的耶和華,

在列邦傳揚祂的作為。

12祂追討血債,顧念受害者,

不忘傾聽受苦者的呼求。

13耶和華啊,

看看仇敵對我的迫害!

求你憐憫我,

救我離開死亡之門,

14我好在錫安的城門口稱頌你,

因你的拯救而歡樂。

15列邦挖了陷阱卻自陷其中,

設下網羅卻纏住自己的腳。

16耶和華彰顯了自己的公義,

使惡人自食其果。(細拉)

17惡人必下陰間,這是所有忘記上帝之人的結局。

18貧乏人不會永遠被遺忘,

受苦人的希望也不會一直落空。

19耶和華啊,求你起來,

別讓人向你誇勝,

願你審判列邦。

20耶和華啊,

求你使列邦恐懼戰抖,

讓他們明白自己不過是人。(細拉)

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 9:1-20

Zaburi 99 Zaburi hii ikiunganishwa na ya 10 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.

Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Haki Yake

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa muth-labeni.9:0 Muth-labeni ni mtajo mmojawapo katika lugha za muziki. Zaburi ya Daudi.

19:1 Za 86:12; 11:1; 119:2, 10; 145:5; 138:1; Kum 4:34Ee Bwana, nitakutukuza kwa moyo wangu wote,

nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu.

29:2 Ay 22:19; Isa 25:9; Za 14:7; 31:7; 70:4; 92:1; 97:8; 126:3; Mit 23:15; Yoe 2:21; Ufu 19:7; Yer 30:19; Sef 3:14; Mt 5:12; 2Nya 31:2Nitafurahi na kushangilia ndani yako.

Nitaliimbia sifa jina lako, Ewe Uliye Juu Sana.

3Adui zangu wamerudi nyuma,

wamejikwaa na kuangamia mbele zako.

49:4 1Fal 8:45; Isa 6:1; Ay 16:21; Za 7:11; 11:4; 47:8; 67:4; 98:9; 1Pet 2:23Kwa maana umetetea haki yangu na msimamo wangu;

umeketi kwenye kiti chako cha enzi,

ukihukumu kwa haki.

59:5 Mwa 20:7; 37:10; 1Nya 16:21; Za 59:5; 105:14; Isa 26:14; 66:15; Ay 18:17; Kum 9:14Umekemea mataifa na kuwaangamiza waovu;

umeyafuta majina yao milele na milele.

69:6 Kum 29:28; Yer 2:3; Mhu 9:5; Isa 14:22; 26:14; Sef 2:8-10; Za 34:16; 109:15Uharibifu usiokoma umempata adui,

umeingʼoa miji yao;

hata kumbukumbu lao limetoweka.

79:7 Mik 5:2; Ufu 19:6; Ebr 1:11; Hab 1:12; Za 90:2; 1Nya 16:31Bwana anatawala milele,

ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.

89:8 Za 7:11; 11:7; 45:6; 72:29:8 Kum 33:27; 2Sam 22:3; Za 10:18; 32:7; 74:21; 121:7Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki,

atatawala mataifa kwa haki.

9Bwana ni kimbilio la watu wanaoonewa,

ni ngome imara wakati wa shida.

109:10 Mwa 28:15; Kum 4:31; Za 22:1; 37:25; 71:11; 70:4; 91:14; Isa 49:14; Yer 15:18; Ebr 13:5; Yn 17:3; 2Kor 4:6; 1Yn 2:3, 4; 2Tim 1:12Wote wanaolijua jina lako watakutumaini wewe,

kwa maana wewe Bwana,

hujawaacha kamwe wakutafutao.

119:11 Za 7:17; 2:6; 57:9; 18:49; 44:11; 105:1; 106:27; Isa 24:13; Eze 20:23; 1Tim 3:16Mwimbieni Bwana sifa, amefanywa mtawala Sayuni,

tangazeni miongoni mwa mataifa, yale aliyoyatenda.

129:12 2Sam 4:11; Za 10:17; 22:24; Isa 49:13Kwa maana yeye alipizaye kisasi cha damu hukumbuka,

hapuuzi kilio cha wanaoonewa.

139:13 Hes 10:9; Za 3:7; 18:3; 6:2; 41:4; 51:1; 86:3, 16; 119:132; Ay 17:16; Mt 16:18Ee Bwana, tazama jinsi walivyo wengi adui zangu wanaonitesa!

Nihurumie, uniinue kutoka malango ya mauti,

149:14 2Fal 19:21; Isa 1:8; 10:32; 37:22; 62:11; Yer 4:31; 6:2; Mao 1:6; Mt 21:5; Mik 1:13; Sef 3:14; Zek 2:10; Yn 12:15ili niweze kutangaza sifa zako

katika malango ya Binti Sayuni

na huko niushangilie wokovu wako.

159:15 Ay 4:8; Za 35:7, 8; 57:6Mataifa wameanguka kwenye shimo walilolichimba,

miguu yao imenaswa kwenye wavu waliouficha.

169:16 Kut 7:5; Mt 5:22Bwana anajulikana kwa haki yake,

waovu wamenaswa katika kazi za mikono yao.

179:17 Hes 16:30; Mt 5:5; Za 50:22; Ay 8:13; Hos 2:13; Yer 2:32Waovu wataishia kuzimu,

naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu.

189:18 Za 25:3; 39:7; 71:5; Mt 23:18; Yer 14:8, 12; Za 74:19; 12:5; Flp 1:20Lakini mhitaji hatasahaulika siku zote,

wala matumaini ya walioonewa hayatapotea.

199:19 2Nya 14:11; Za 3:7; 110:6; Isa 2:4; Yoe 3:12Ee Bwana, inuka, usimwache binadamu ashinde.

Mataifa na yahukumiwe mbele zako.

209:20 Mwa 35:5; Isa 13:8; Lk 21:26; Za 31:13; 62:9; Isa 31:3; Eze 28:2Ee Bwana, wapige kwa hofu,

mataifa na yajue kuwa wao ni watu tu.