第 2 篇
上帝膏立的君王
1列國為何咆哮?
萬民為何枉費心機?
2世上的君王一同行動,
官長聚集商議,
要抵擋耶和華和祂所膏立的王。
3他們說:
「讓我們掙斷他們的鎖鏈,
脫去他們的捆索!」
4坐在天上寶座上的主必笑他們,
祂必嘲笑他們。
5那時,祂必怒斥他們,
使他們充滿恐懼。
6祂說:
「在我的錫安聖山上,
我已立了我的君王。」
7那位君王說:
「我要宣告耶和華的旨意,
祂對我說,『你是我的兒子,
我今日成為你父親。
8你向我祈求,我必把列國賜給你作產業,
讓天下都歸你所有。
9你要用鐵杖統治他們,
把他們像陶器一般打碎。』」
10君王啊,要慎思明辨!
世上的統治者啊,要接受勸誡!
11要以敬畏的心事奉耶和華,
要喜樂也要戰戰兢兢。
12要降服在祂兒子面前,
免得祂發怒,
你們便在罪惡中滅亡,
因為祂的怒氣將臨。
投靠祂的人有福了!
Zaburi 2
Mfalme Aliyechaguliwa Na Mungu
12:1 Za 21:11; 83:5; Mit 24:2Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya,
na kabila za watu kula njama bure?
22:2 Za 45:7; 48:4; 1Sam 9:16; Yn 1:41; Mdo 4:25-262:2 Mao 3:55; Za 22:2; 55:17; 142:5; 42:7Wafalme wa dunia wanajipanga
na watawala wanajikusanya pamoja
dhidi ya Bwana
na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
32:3 Ay 36:8; Lk 19:14; 2Sam 3:34Wanasema, “Tuvunje minyororo yao
na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”
42:4 Za 11:4; Isa 37:16; 40:22; 66:1; Za 37:13; Mit 1:26Yeye atawalaye mbinguni hucheka,
Bwana huwadharau.
52:5 Za 6:1; 27:9; 38:1; 21:9; 79:6; 90:7; 110:5Kisha huwakemea katika hasira yake
na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,
62:6 Za 10:16; 24:10; 9:11; 48:2, 11; 78:6; 110:2; 133:3; 2Fal 19:31; Kut 15:17“Nimemtawaza Mfalme wangu
juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
Ushindi Wa Mfalme
72:7 Mt 3:17; 8:29; 2Sam 7:14; Ebr 1:5; 5:5; Mdo 13:33Nitatangaza amri ya Bwana:
Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu,
leo mimi nimekuzaa.
82:8 Ay 22:26; Za 22:27; 67:7; Dan 7:13, 14; Mt 21:38Niombe, nami nitayafanya mataifa
kuwa urithi wako,
miisho ya dunia kuwa milki yako.
92:9 Mwa 49:10; Ufu 2:27; 12:5; 19:15; Mt 21:44; Kut 15:6; Isa 30:14; Yer 19:10Utawatawala kwa fimbo ya chuma
na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
102:10 Za 141:6; Amu 2:3; Mit 8:15; 27:11Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima;
mwonyeke, enyi watawala wa dunia.
112:11 1Nya 16:30; Za 9:2; 35:9; Isa 61:10Mtumikieni Bwana kwa hofu
na mshangilie kwa kutetemeka.
122:12 Kum 9:8; Za 5:11; 34:8; 64:10; Yer 17:7; Ufu 6:16; Yn 5:22, 23Mbusu Mwana, asije akakasirika
nawe ukaangamizwa katika njia yako,
kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula.
Heri wote wanaomkimbilia.