詩篇 2 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

詩篇 2:1-12

第 2 篇

上帝膏立的君王

1列國為何咆哮?

萬民為何枉費心機?

2世上的君王一同行動,

官長聚集商議,

要抵擋耶和華和祂所膏立的王。

3他們說:

「讓我們掙斷他們的鎖鏈,

脫去他們的捆索!」

4坐在天上寶座上的主必笑他們,

祂必嘲笑他們。

5那時,祂必怒斥他們,

使他們充滿恐懼。

6祂說:

「在我的錫安聖山上,

我已立了我的君王。」

7那位君王說:

「我要宣告耶和華的旨意,

祂對我說,『你是我的兒子,

我今日成為你父親。

8你向我祈求,我必把列國賜給你作產業,

讓天下都歸你所有。

9你要用鐵杖統治他們,

把他們像陶器一般打碎。』」

10君王啊,要慎思明辨!

世上的統治者啊,要接受勸誡!

11要以敬畏的心事奉耶和華,

要喜樂也要戰戰兢兢。

12要降服在祂兒子面前,

免得祂發怒,

你們便在罪惡中滅亡,

因為祂的怒氣將臨。

投靠祂的人有福了!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 2:1-12

Zaburi 2

Mfalme Aliyechaguliwa Na Mungu

12:1 Za 21:11; 83:5; Mit 24:2Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya,

na kabila za watu kula njama bure?

22:2 Za 45:7; 48:4; 1Sam 9:16; Yn 1:41; Mdo 4:25-262:2 Mao 3:55; Za 22:2; 55:17; 142:5; 42:7Wafalme wa dunia wanajipanga

na watawala wanajikusanya pamoja

dhidi ya Bwana

na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.

32:3 Ay 36:8; Lk 19:14; 2Sam 3:34Wanasema, “Tuvunje minyororo yao

na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”

42:4 Za 11:4; Isa 37:16; 40:22; 66:1; Za 37:13; Mit 1:26Yeye atawalaye mbinguni hucheka,

Bwana huwadharau.

52:5 Za 6:1; 27:9; 38:1; 21:9; 79:6; 90:7; 110:5Kisha huwakemea katika hasira yake

na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,

62:6 Za 10:16; 24:10; 9:11; 48:2, 11; 78:6; 110:2; 133:3; 2Fal 19:31; Kut 15:17“Nimemtawaza Mfalme wangu

juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”

Ushindi Wa Mfalme

72:7 Mt 3:17; 8:29; 2Sam 7:14; Ebr 1:5; 5:5; Mdo 13:33Nitatangaza amri ya Bwana:

Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu,

leo mimi nimekuzaa.

82:8 Ay 22:26; Za 22:27; 67:7; Dan 7:13, 14; Mt 21:38Niombe, nami nitayafanya mataifa

kuwa urithi wako,

miisho ya dunia kuwa milki yako.

92:9 Mwa 49:10; Ufu 2:27; 12:5; 19:15; Mt 21:44; Kut 15:6; Isa 30:14; Yer 19:10Utawatawala kwa fimbo ya chuma

na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”

102:10 Za 141:6; Amu 2:3; Mit 8:15; 27:11Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima;

mwonyeke, enyi watawala wa dunia.

112:11 1Nya 16:30; Za 9:2; 35:9; Isa 61:10Mtumikieni Bwana kwa hofu

na mshangilie kwa kutetemeka.

122:12 Kum 9:8; Za 5:11; 34:8; 64:10; Yer 17:7; Ufu 6:16; Yn 5:22, 23Mbusu Mwana, asije akakasirika

nawe ukaangamizwa katika njia yako,

kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula.

Heri wote wanaomkimbilia.