詩篇 144 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

詩篇 144:1-15

第 144 篇

祈求拯救與豐裕

大衛的詩。

1耶和華——我的磐石當受稱頌,

祂使我能爭善戰。

2祂是我慈愛的上帝,

我的堡壘,我的避難所,

我的拯救者,我的盾牌,

我投靠祂。

祂使列國臣服於我。

3耶和華啊,

人算什麼,你竟顧念他?

世人算什麼,你竟眷顧他?

4因為人不過像一口氣,

他的年日不過像影子轉眼消逝。

5耶和華啊,

求你打開天門,親自降臨;

求你觸摸群山,使群山冒煙。

6求你發出閃電驅散敵人,

求你射出利箭擊潰他們。

7求你從天上伸手從驚濤駭浪中拯救我,

從外族人手中拯救我。

8他們滿口謊言,

起誓也心懷詭詐。

9上帝啊,我要向你唱新歌,

用十弦琴歌頌你。

10你使君王得勝,

救你的僕人大衛逃離刀劍的殺戮。

11求你從外族人手中拯救我,

他們滿口謊言,

起誓也心懷詭詐。

12願我們的兒子年輕時像茁壯的樹木,

我們的女兒像宮殿中精雕的柱子。

13願我們的倉庫堆滿各樣的穀物,

我們的羊在田野繁衍眾多,

成千上萬。

14願我們的牲口馱滿貨物144·14 牲口馱滿貨物」或譯「繁殖眾多」。

我們的城牆固若金湯,

無人被擄,街上沒有哭叫聲。

15生活在這種光景裡的人有福了!

尊耶和華為上帝的人有福了!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 144:1-15

Zaburi 144

Mfalme Amshukuru Mungu Kwa Ushindi

Zaburi ya Daudi.

1144:1 Mwa 49:24; 2Sam 22:35Sifa ni kwa Bwana Mwamba wangu,

aifundishaye mikono yangu vita,

na vidole vyangu kupigana.

2144:2 Za 59:9; 91:2; 18:39; 27:1; 37:39; 43:2; 18:2; Amu 4:23; Mwa 15:1Yeye ni Mungu wangu wa upendo na boma langu,

ngome yangu na mwokozi wangu,

ngao yangu ninayemkimbilia,

ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.

3144:3 Ebr 2:6Ee Bwana, mwanadamu ni nini hata umjali,

Binadamu ni nini hata umfikirie?

4144:4 Ay 7:7; 27:3; 14:2; Isa 2:22; 1Nya 29:15; Yak 4:14Mwanadamu ni kama pumzi,

siku zake ni kama kivuli kinachopita.

5144:5 Za 18:9; 57:3; 104:32; Isa 64:1; Mwa 11:5Ee Bwana, pasua mbingu zako, ushuke,

gusa milima ili itoe moshi.

6144:6 Hab 3:11; Zek 9:14; Za 59:11; 68:1; 7:12, 13; 18:14Peleka umeme uwatawanye adui,

lenga mishale yako uwashinde.

7144:7 2Sam 22:17; Za 3:7; 57:3; 69:2; 18:44Nyoosha mkono wako kutoka juu,

nikomboe na kuniokoa

kutoka maji makuu,

kutoka mikononi mwa wageni

8144:8 Za 12:2; 41:6; 26:3; Mwa 14:22; Kum 32:40ambao vinywa vyao vimejaa uongo,

na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.

9144:9 Za 28:7; 96:1; 33:2-3; 71:22; 69:1Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mpya,

kwa zeze yenye nyuzi kumi nitakuimbia,

10144:10 2Sam 8:14; Za 18:50; Ay 5:20kwa Yule awapaye wafalme ushindi,

ambaye humwokoa Daudi, mtumishi wake kutokana na upanga hatari.

11144:11 Za 3:7; 25:20; 18:44; 41:6-7; 12:2; 36:3; 106:26; Isa 44:20Nikomboe na uniokoe

kutoka mikononi mwa wageni

ambao vinywa vyao vimejaa uongo,

na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.

12144:12 Za 92:12-14; 128:3; 4:4; 7:4Kisha wana wetu wakati wa ujana wao

watakuwa kama mimea iliyotunzwa vizuri,

binti zetu watakuwa kama nguzo zilizoviringwa

kurembesha jumba la kifalme.

13144:13 Mit 3:10Ghala zetu zitajazwa

aina zote za mahitaji.

Kondoo zetu watazaa kwa maelfu,

kwa makumi ya maelfu katika mashamba yetu;

14144:14 Mit 14:4; 2Fal 25:11; Isa 24:11; Yer 14:2-3; Law 26:17maksai wetu watakokota

mizigo mizito.

Hakutakuwa na kubomoka kuta,

hakuna kuchukuliwa mateka,

wala kilio cha taabu

katika barabara zetu.

15144:15 Kum 28:3; 33:29Heri watu ambao hili ni kweli;

heri wale ambao Bwana ni Mungu wao.