第 116 篇
感謝拯救之恩
1我愛耶和華,
因為祂垂聽了我的呼求和禱告。
2因為祂垂聽我的祈求,
我一生都要向祂禱告。
3死亡的繩索纏繞我,
陰間的恐怖籠罩我,
我被困苦和憂愁淹沒。
4於是,我求告耶和華,
說:「耶和華啊,求你拯救我。」
5耶和華仁慈、公義,
我們的上帝充滿憐憫。
6耶和華保護心地單純的人,
危難之時祂救了我。
7我的心啊,再次安寧吧,
因為耶和華恩待你。
8祂救我的性命脫離死亡,
止住我眼中的淚水,
使我雙腳免於滑倒。
9我要在世上事奉耶和華。
10我相信,所以才說:
「我受盡了痛苦。」
11我曾驚恐地說:
「人人都說謊。」
12我拿什麼報答耶和華賜給我的一切恩惠呢?
13我要為耶和華的拯救之恩而舉杯稱頌祂的名。
14我要在耶和華的子民面前還我向祂許的願。
15耶和華的眼目顧惜祂聖民的死亡。
16耶和華啊!我是你的僕人,
是你的僕人,是你婢女的兒子。
你除去了我的鎖鏈。
17我要向你獻上感恩祭,
呼求你的名。
18-19我要在耶路撒冷,
在耶和華的殿中,
在耶和華的子民面前還我向祂許的願。
你們要讚美耶和華!
Zaburi 116
Shukrani Kwa Kuokolewa Kutoka Mauti
1116:1 Za 18:1; 31:22; 40:1; 6:9; 28:2Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu;
amesikia kilio changu ili anihurumie.
2116:2 Za 5:1Kwa sababu amenitegea sikio lake,
nitamwita siku zote za maisha yangu.
3116:3 2Sam 22:6; Za 18:4-5Kamba za mauti zilinizunguka,
maumivu makuu ya kuzimu yalinipata,
nikalemewa na taabu na huzuni.
4116:4 Za 80:2, 18; 118:5Ndipo nikaliitia jina la Bwana:
“Ee Bwana, niokoe!”
5116:5 Kut 22:27; 9:27; Ezr 9:15; Za 11:7; 86:15; 2Nya 12:6; Neh 9:8; Yer 12:1; Mao 1:18; Ufu 16:5Bwana ni mwenye neema na haki,
Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
6116:6 Za 79:8; 18:3; 22:5; 107:13Bwana huwalinda wanyenyekevu,
nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
7116:7 Za 13:6; 106:1; 142:7; 46:10; 62:1; 131:2; Mt 11:29; Yer 6:16Ee nafsi yangu, tulia tena,
kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
8116:8 Za 86:13Kwa kuwa wewe, Ee Bwana,
umeniokoa nafsi yangu na mauti,
macho yangu kutokana na machozi,
miguu yangu kutokana na kujikwaa,
9116:9 Mwa 5:22; Za 56:13; 89:15; 27:13; Ay 28:13; Isa 38:11; Yer 11:9ili niweze kutembea mbele za Bwana,
katika nchi ya walio hai.
10116:10 Za 9:18; 72:2; 107:17; 119:67, 71, 75; 2Kor 4:13Niliamini, kwa hiyo nilisema,
“Mimi nimeteseka sana.”
11116:11 Yer 9:3-5Katika taabu yangu nilisema,
“Wanadamu wote ni waongo.”
12116:12 Za 103:2; 106:1Nimrudishie Bwana nini
kwa wema wake wote alionitendea?
13116:13 Za 105:1Nitakiinua kikombe cha wokovu
na kulitangaza jina la Bwana.
14116:14 Hes 30:2; Za 66:13Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana
mbele za watu wake wote.
15116:15 Za 72:14; Hes 23:10; Ay 5:26; Lk 16:22; Ufu 14:13Kifo cha watakatifu kina thamani
machoni pa Bwana.
16116:16 Za 119:125; 143:12; 86:16; Ay 12:18Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako,
mimi ni mtumishi wako,
mwana wa mjakazi wako;116:16 Au: mwanao mwaminifu.
umeniweka huru
toka katika minyororo yangu.
17116:17 Law 7:12; Ezr 1:4Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru
na kuliita jina la Bwana.
18116:18 Za 116:14; Law 22:18Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana
mbele za watu wake wote,
19116:19 Za 102:21; 92:13; 135:2; 96:8; 100:4katika nyua za nyumba ya Bwana,
katikati yako, ee Yerusalemu.
Msifuni Bwana.