西番雅書 3 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

西番雅書 3:1-20

耶路撒冷的敗壞

1這叛逆、污穢、充滿壓迫的城有禍了!

2她不聽命令,不受管教;

不倚靠耶和華,

不親近她的上帝。

3她的首領是咆哮的獅子,

她的審判官是夜間的豺狼,

不留一點獵物到天明。

4她的先知是狂妄詭詐之徒,

她的祭司褻瀆聖殿,違背律法。

5但城中的耶和華是公義的,

祂絕不做不義之事。

祂每天早晨伸張正義,從不間斷。

然而,不義之人卻不知羞恥。

6「我已消滅列國,

摧毀他們的城樓,

使他們的街道荒廢,沒有路人;

他們的城邑淪為廢墟,杳無人跡,沒有居民。

7我以為這城一定會敬畏我,接受管教,

這樣我就不必照所定的毀滅她。

然而,他們卻更加熱衷於犯罪作惡。

8「因此,等著我吧,

等著我指控的那一天吧。

我已決定召集列國列邦,

向他們傾倒我的烈怒,

我的怒火必吞噬天下。

這是耶和華說的。

耶和華的拯救

9「那時,我必潔淨萬民的口,

以便他們可以求告我的名,

同心合意地事奉我。

10那些敬拜我的,

就是我那些分散的子民必從古實河對岸帶著供物來獻給我。

11到那天,你必不再因背叛我而感到羞愧,

因為那時我必除掉你那裡狂妄自大的人,

你在我的聖山上必不再高傲。

12我必把謙卑貧苦的人留在你那裡,

他們必投靠在我耶和華的名下。

13以色列的餘民必不再作惡,

撒謊或出詭詐之言。

他們吃喝躺臥,無人驚擾。」

歡樂之歌

14錫安3·14 」希伯來文是「女子」,可能是對錫安的暱稱。啊,歌唱吧!

以色列啊,歡呼吧!

耶路撒冷城啊,盡情地歡喜快樂吧!

15耶和華已經撤銷對你的刑罰,

趕走你的仇敵,

以色列的王耶和華與你同在,

你必不再懼怕災禍。

16到那天,耶路撒冷必聽到這樣的話:

錫安啊,不要害怕!不要雙手發軟!

17你的上帝耶和華與你同在,

祂是大能的拯救者,

祂必因你而歡喜快樂,歡然歌唱,

用祂的愛安慰你。」

18「我必招聚你那裡因不能守節期而憂愁的人,

使你不再蒙受羞辱。

19看啊,那時我必懲罰所有欺壓你的人,

拯救瘸腿的,召回分散的,

使他們的羞辱化為尊榮,聲名遠播。

20那時,我必招聚你們,帶你們回到故土。

你們回到故土後,

我必使你們在天下萬民中聲名遠播,得到尊榮。」

這是耶和華說的。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Sefania 3:1-20

Hatima Ya Yerusalemu

13:1 Yer 6:6; Kum 21:18; Eze 23:30Ole mji wa wadhalimu,

waasi na waliotiwa unajisi!

23:2 Yer 5:3; 7:28; 22:21; Kum 1:32; Law 26:33; Za 78:23Hautii mtu yeyote,

haukubali maonyo.

Haumtumaini Bwana,

haukaribii karibu na Mungu wake.

33:3 Za 22:13; Mwa 49:27; Mik 3:3Maafisa wake ni simba wangurumao,

watawala wake ni mbwa mwitu wa jioni,

ambao hawabakizi chochote

kwa ajili ya asubuhi.

43:4 Za 25:3; Isa 48:8; Yer 3:20; 9:4; 23:11; Mal 2:10; Eze 22:26Manabii wake ni wenye kiburi,

ni wadanganyifu.

Makuhani wake hunajisi patakatifu

na kuihalifu sheria.

53:5 Ezr 9:15; Kum 32:4; Za 5:3; 99:3, 4; Mao 3:23; Yer 3:3; Eze 18:25Bwana aliye ndani yake ni mwenye haki,

hafanyi kosa.

Asubuhi kwa asubuhi hutoa haki yake,

kila kukipambazuka huitimiza,

bali mtu dhalimu hana aibu.

63:6 Law 26:31“Nimeyafutilia mbali mataifa,

ngome zao zimebomolewa.

Nimeziacha barabara ukiwa,

hakuna anayepita humo.

Miji yao imeharibiwa;

hakuna mmoja atakayeachwa:

hakuna hata mmoja.

73:7 Yer 7:28; Mwa 6:12; Hos 9:9Niliuambia huo mji,

‘Hakika utaniogopa na kukubali maonyo!’

Ndipo makao yake hayatafutiliwa mbali,

wala adhabu zangu zote hazitakuja juu yake.

Lakini walikuwa bado na shauku

kutenda kwa upotovu katika yote waliyofanya.”

83:8 Za 27:14; 79:6; Yoe 3:2; 3:11; Isa 2:3; Mit 20:22; Ufu 16:1; Yer 10:25; Mao 4:11; Sef 1:18Bwana anasema,

“Kwa hiyo ningojee mimi,

siku nitakayosimama kuteka nyara.

Nimeamua kukusanya mataifa,

kukusanya falme

na kumimina ghadhabu yangu juu yao,

hasira yangu kali yote.

Dunia yote itateketezwa

kwa moto wa wivu wa hasira yangu.

93:9 Sef 2:11; Mwa 4:26; Isa 19:18“Ndipo nitatakasa midomo ya mataifa,

kwamba wote waweze kuliitia jina la Bwana

na kumtumikia kwa pamoja.

103:10 Mwa 10:6; Za 68:31; Mal 1:11; Isa 60:7; Mdo 8:27; 2Nya 32:23Kutoka ngʼambo ya mito ya Kushi

watu wangu wanaoniabudu,

watu wangu waliotawanyika,

wataniletea sadaka.

113:11 Isa 29:22; Yoe 2:26-27; Mwa 50:15; Kut 15:17; Za 59:12; Mt 3:9; Law 26:19Siku hiyo hutaaibishwa

kwa ajili ya makosa yote ulionitendea,

kwa sababu nitawaondoa kutoka mji huu

wale wote wanaoshangilia

katika kiburi chao.

Kamwe hutajivuna tena

katika kilima changu kitakatifu.

123:12 Isa 14:32; Mt 5:3; Lk 6:20; Isa 57:15; Yer 29:12; Nah 1:7Lakini nitakuachia ndani yako

wapole na wanyenyekevu,

ambao wanatumaini jina la Bwana.

133:13 Isa 4:3; 10:21; Za 119:3; Yer 33:16; Ufu 14:5; Ay 16:17; Eze 34:25-28Mabaki ya Israeli hayatafanya kosa;

hawatasema uongo,

wala udanganyifu hautakuwa

katika vinywa vyao.

Watakula na kulala

wala hakuna yeyote

atakayewaogopesha.”

143:14 Za 9:14; 14:7; Zek 2:10; Isa 12:6; 51:11Imba, ee Binti Sayuni;

paza sauti, ee Israeli!

Furahi na kushangilia kwa moyo wako wote,

ee Binti Yerusalemu!

153:15 Yn 1:49; Eze 37:26-28; 48:35; Ufu 21:3; Isa 54:14; Zek 9:9Bwana amekuondolea adhabu yako,

amewarudisha nyuma adui zako.

Bwana, Mfalme wa Israeli, yu pamoja nawe;

kamwe hutaogopa tena madhara yoyote.

163:16 2Fal 19:26; Ebr 12:12; Ay 4:3; Isa 35:3-4Katika siku hiyo watauambia Yerusalemu,

“Usiogope, ee Sayuni;

usiiache mikono yako ilegee.

173:17 Isa 40:1; 62:4; 63:1; Yoe 2:21; Kum 28:63; Hos 14:4Bwana Mungu wako yu pamoja nawe,

yeye ni mwenye nguvu kuokoa.

Atakufurahia kwa furaha kubwa,

atakutuliza kwa pendo lake,

atakufurahia kwa kuimba.”

183:18 Mao 2:6“Huzuni katika sikukuu zilizoamriwa

nitaziondoa kwenu;

hizo ni mzigo na fedheha kwenu.

193:19 Isa 14:2; 60:18; Eze 34:16; Mik 4:6Wakati huo nitawashughulikia

wote waliokudhulumu;

nitaokoa vilema na kukusanya

wale ambao wametawanywa.

Nitawapa sifa na heshima

katika kila nchi ambayo waliaibishwa.

203:20 Yer 29:14; Eze 37:12; Za 22:27; Isa 56:5; 60:18; 66:22; Kum 26:19Wakati huo nitawakusanya;

wakati huo nitawaleta nyumbani.

Nitawapa sifa na heshima

miongoni mwa mataifa yote ya dunia

wakati nitakapowarudishia mateka yenu

mbele ya macho yenu hasa,”

asema Bwana.