羅馬書 3 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

羅馬書 3:1-31

1那麼,猶太人有什麼長處呢?割禮有什麼價值呢? 2其實益處非常多!首先,上帝的聖言託付給了猶太人。 3雖然有些人不相信,但那有什麼關係呢?難道上帝的信實可靠會因他們的不信而化為無有嗎? 4當然不會!縱然人人都撒謊,上帝仍然真實可靠。正如聖經上說:

「你的判語證明你是公義的;

你雖被人控告,卻終必得勝。」

5我姑且用人的觀點說:「如果我們的不義可以反襯出上帝的公義,我們該做何論?上帝向我們發怒是祂不公正嗎?」 6當然不是!若是這樣,上帝怎麼能審判這世界呢? 7你們又說:「如果我們的虛謊凸顯出上帝的真實,增加祂的榮耀,為什麼祂還要把我們當作罪人審判呢?」 8為什麼你們不乾脆說:「我們作惡吧,好成就善事」?有人毀謗我們,說我們傳這種道理。這些人受審判是罪有應得!

沒有義人

9那麼,我們猶太人比別人優越嗎?絕對不是!我們已經說過,無論是猶太人還是希臘人,所有的人都身陷罪中。 10正如聖經上說:

「沒有義人,一個也沒有,

11沒有人明白,沒有人尋求上帝。

12人人偏離正路,變得毫無價值。

沒有人行善,一個也沒有。

13他們的喉嚨是敞開的墳墓,

舌頭上盡是詭詐,

嘴唇有蛇的毒液,

14滿口咒詛,言語惡毒;

15殺人流血,腳步飛快;

16所到之處,大肆毀滅;

17平安之路,他們未曾知道;

18他們眼中毫無對上帝的畏懼。」

19我們知道律法所講的都是針對律法之下的人,好叫所有的人都無話可說,使全世界都伏在上帝的審判之下。 20因為無人能夠靠遵行律法而被上帝視為義人,律法的本意是要使人知罪。

因信稱義

21但如今,上帝的義在律法以外顯明出來,有律法和眾先知做見證。 22人只要信耶穌基督,就可以被上帝稱為義人,沒有一個人例外。 23因為世人都犯了罪,虧欠上帝的榮耀, 24但蒙上帝的恩典,靠著基督耶穌的救贖,世人被無條件地稱為義人。 25上帝使基督耶穌成為贖罪祭,以便人藉著相信耶穌的寶血可以得到赦免。這是為了顯明上帝的義,因為祂用忍耐的心寬容人過去的罪, 26好在現今顯明祂的義,使人知道祂是公義的,祂也稱信耶穌的為義人。

27既然如此,我們哪裡能誇口呢?當然沒有可誇的。靠什麼方法讓人不能誇口呢?靠遵守律法嗎?不是!是靠信主的方法。 28因為我們堅信人被稱為義人是藉著信,不是靠遵行律法。 29難道上帝只是猶太人的上帝嗎?祂不也是外族人的上帝嗎?祂當然也是外族人的上帝。 30因為上帝只有一位,祂本著信稱受割禮的人為義人,也本著信稱未受割禮的人為義人。 31這麼說來,我們是藉著信心廢掉上帝的律法嗎?當然不是!我們反倒是鞏固律法。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Warumi 3:1-31

Uaminifu Wa Mungu

1Basi kuna faida gani kuwa Myahudi? Au kuna thamani gani katika tohara? 23:2 Za 147:19; Mdo 7:38Kuna faida kubwa kwa kila namna! Kwanza kabisa, Wayahudi wamekabidhiwa lile Neno halisi la Mungu. 33:3 Rum 10:16; Ebr 4:2; 2Tim 2:13Ingekuwaje kama wengine hawakuwa na imani? Je, kutokuamini kwao kungebatilisha uaminifu wa Mungu? 43:4 Yn 3:33; Za 116:11La hasha! Mungu na aonekane mwenye haki, na kila mwanadamu kuwa mwongo, kama ilivyoandikwa:

“Ili uthibitike kuwa wa kweli unaponena,

na ukashinde utoapo hukumu.”

53:5 Rum 6:19; Gal 3:15Ikiwa uovu wetu unathibitisha haki ya Mungu waziwazi, tuseme nini basi? Je, Mungu kuileta ghadhabu yake juu yetu ni kwamba yeye si mwenye haki? (Nanena kibinadamu.) 63:6 Mwa 18:25; Rum 2:16La hasha! Kama hivyo ndivyo ilivyo, Mungu angehukumuje ulimwengu? 73:7 Rum 3:4; 9:19Mtu aweza kuuliza, “Kama uongo wangu unasaidia kuonyesha kweli ya Mungu na kuzidisha utukufu wake, kwa nini basi mimi nahukumiwa kuwa mwenye dhambi?” 83:8 Rum 6:1; Mdo 5:20; 6:1; 15Nasi kwa nini tusiseme, kama wengine wanavyotusingizia kuwa tunasema, “Tutende maovu ili mema yapate kuja?” Wao wanastahili hukumu yao.

Wote Wametenda Dhambi

93:9 1Fal 8:46; Gal 3:22Tusemeje basi? Je, sisi ni bora kuwaliko wao? La hasha! Kwa maana tumekwisha kuhakikisha kwa vyovyote kwamba Wayahudi na watu wa Mataifa wote wako chini ya nguvu ya dhambi. 103:10 Za 14:1, 3; 53:1Kama ilivyoandikwa:

“Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.

11Hakuna hata mmoja mwenye ufahamu,

hakuna hata mmoja amtafutaye Mungu.

123:12 Za 53:1-3; Mhu 7:20Wote wamepotoka,

wote wameoza pamoja;

hakuna atendaye mema,

naam, hakuna hata mmoja.”

133:13 Za 5:9; 140:3“Makoo yao ni makaburi wazi;

kwa ndimi zao wao hufanya udanganyifu.”

“Sumu ya nyoka iko midomoni mwao.”

143:14 Za 10:7“Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu.”

153:15 Isa 59:7, 8; Mit 1:16“Miguu yao ina haraka kumwaga damu;

16maangamizi na taabu viko katika njia zao,

173:17 Isa 59:7, 9wala njia ya amani hawaijui.”

183:18 Za 36:1“Hakuna hofu ya Mungu machoni pao.”

193:19 Yn 10:34; Rum 2:12Basi tunajua ya kwamba chochote sheria inachosema, inawaambia wale walio chini ya sheria ili kila kinywa kinyamazishwe na ulimwengu wote uwajibike kwa Mungu. 203:20 Mdo 13:39; Gal 2:16; Rum 4:15; 7:7Kwa hiyo hakuna binadamu hata mmoja atakayehesabiwa haki mbele za Mungu kwa matendo ya sheria, kwa maana sheria hutufanya tuitambue dhambi.

Haki Kwa Njia Ya Imani

213:21 Isa 46:13; Rum 9:30; Mdo 10:43; Rum 1:2Lakini sasa, haki itokayo kwa Mungu imedhihirishwa pasipo sheria, ambayo Sheria na Manabii wanaishuhudia. 223:22 Rum 9:30; Gal 3:28; Kol 3:11Haki hii itokayo kwa Mungu hupatikana kwa Yesu Kristo kwa wote wamwaminio. Kwa maana hapo hakuna tofauti, 233:23 Rum 9:19; 5:2; 3:9; Gal 3:22kwa kuwa wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu, 243:24 2Kor 12:9; Tit 2:11; Za 130:7; Gal 4:5wanahesabiwa haki bure kwa neema yake kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu. 253:25 Za 65:3; Ebr 9:28; 1Pet 1:19; Ufu 1:5; Mdo 14:16; 17:30Yeye ambaye Mungu alimtoa awe dhabihu ya upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake. Alifanya hivi ili kuonyesha haki yake, kwa sababu kwa ustahimili wake aliziachilia zile dhambi zilizotangulia kufanywa. 26Alifanya hivyo ili kuonyesha haki yake wakati huu, ili yeye awe mwenye haki na mwenye kumhesabia haki yule anayemwamini Yesu.

Umuhimu Wa Kuwa Na Imani

273:27 1Kor 1:29-31; Efe 2:9Basi, kujivuna kuko wapi? Kumewekwa mbali. Kwa sheria gani? Je, ni kwa ile ya matendo? La hasha, bali kwa ile sheria ya imani. 283:28 Gal 3:11; Yn 2:19Kwa maana twaona kwamba mwanadamu huhesabiwa haki kwa njia ya imani wala si kwa matendo ya sheria. 293:29 Mdo 10:34, 35Je, Mungu ni Mungu wa Wayahudi peke yao? Je, yeye si Mungu wa watu wa Mataifa pia? Naam, yeye ni Mungu wa watu wa Mataifa pia. 303:30 Rum 4:11, 12; Gal 3:8Basi kwa kuwa tuna Mungu mmoja tu, atawahesabia haki wale waliotahiriwa kwa imani na wale wasiotahiriwa kwa imani iyo hiyo. 31Je, basi ni kwamba tunaibatilisha sheria kwa imani hii? La, hasha! Badala yake tunaithibitisha sheria.