約翰福音 17 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

約翰福音 17:1-26

耶穌的禱告

1耶穌說完後,就抬頭望著天說:「父啊!時候到了,願你使你的兒子得榮耀,好讓你的兒子也使你得榮耀。 2因為你把管理世人的權柄賜給了祂,使祂可以將永生賜予你交託給祂的人。 3這永生就是,認識你——獨一的真神,並且認識你所差來的耶穌基督。 4我已經完成你交給我的工作,使你在地上得了榮耀。 5父啊,現在讓我和你同享創世以前我們所共有的榮耀吧!

6「你從世上賜給我的人,我已將你17·6 」希臘文是「你的名」,「名」代表一個人的全部。顯明給他們。他們本來屬於你,你將他們賜給了我,他們遵守你的道。 7如今他們知道,你賜給我的一切都是從你那裡來的, 8因為我已經把你賜給我的道賜給他們,他們也接受了,並且確實知道我是從你那裡來的,也相信是你差遣了我。

9「我不為世人祈求,卻為他們祈求,就是為你賜給我的那些人祈求,因為他們屬於你。 10一切屬於我的都是你的,屬於你的也是我的,我從他們身上得了榮耀。 11現在我要離開這個世界去你那裡了,他們卻仍然留在世上。聖父啊,求你為了自己的名,就是你賜給我的名而保守他們,使他們像我們一樣合而為一。 12我和他們在一起的時候,靠著你賜給我的名保守他們,看顧他們。除了那個注定滅亡的人以外,他們一個也沒有滅亡,這是為了應驗聖經上的話。

13「現在我要去你那裡了,我趁著還在世上的時候這樣說,是要叫他們心裡充滿我的喜樂。 14我已將你的道賜給他們,世人恨他們,因為他們像我一樣不屬於這個世界。 15我不求你帶他們離開這個世界,但求你保守他們脫離那惡者。 16因為他們像我一樣不屬於這個世界。 17求你用真理,就是你的道,使他們聖潔。 18你怎樣差我到世上來,我也照樣差他們到世人中間。 19為了他們,我獻上自己,使他們藉著真理可以聖潔。

20「我不但為這些人祈求,也為那些因他們的話而信我的人祈求, 21使他們都合而為一,正如父你在我裡面,我在你裡面一樣,並且使他們也在我們裡面,好讓世人相信是你差我來的。 22我又將你賜給我的榮耀賜給他們,使他們像我們一樣合而為一。 23我在他們裡面,你在我裡面,好使他們也完完全全地合而為一。這樣,世人便知道我是你差來的,而且知道你愛他們,就像愛我一樣。

24「父啊!我在哪裡,願你賜給我的人也在哪裡,好讓他們看見你賜給我的榮耀,因為在創世以前你已經愛我了。 25公義的父啊!世界還未認識你以前,我已經認識你了,這些人也知道是你差我來的。 26我使他們認識了你的名,我還要使他們更認識你,好讓你對我的愛存在他們裡面,我也在他們裡面。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Yohana 17:1-26

Yesu Ajiombea Mwenyewe

117:1 Yn 11:41; 12:23; 13:31, 32Baada ya Yesu kusema haya, alitazama kuelekea mbinguni akawaombea na kusema:

“Baba, saa imewadia. Umtukuze Mwanao, ili Mwanao apate kukutukuza wewe. 217:2 Dan 7:14; Yn 6:37, 39Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. 317:3 Flp 3:8; Yn 17:8, 18, 21, 23, 25; 3:17Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. 417:4 Yn 13:31; 19:30Nimekutukuza wewe duniani kwa kuitimiza ile kazi uliyonipa niifanye. 517:5 Flp 2:6; Yn 1:2Hivyo sasa, Baba, unitukuze mbele zako kwa ule utukufu niliokuwa nao pamoja na wewe kabla ulimwengu haujakuwepo.

Yesu Awaombea Wanafunzi Wake

617:6 Yn 17:26; 1:18“Nimelidhihirisha jina lako kwa wale ulionipa kutoka ulimwengu. Walikuwa wako, nawe ukanipa mimi, nao wamelitii neno lako. 7Sasa wamejua ya kuwa vyote ulivyonipa vimetoka kwako, 817:8 Yn 8:26; 1:18kwa kuwa maneno yale ulionipa nimewapa wao, nao wameyapokea na kujua kwamba kweli nimetoka kwako, nao wameamini kuwa wewe ulinituma. 917:9 Lk 22:32Ninawaombea wao. Mimi siuombei ulimwengu, bali nawaombea wale ulionipa kwa sababu wao ni wako. 1017:10 Yn 16:15Wote walio wangu ni wako na walio wako ni wangu, nami nimetukuzwa ndani yao. 1117:11 Yn 13:1; 17:13; 7:33; 17:21-23; Za 133:1; Yn 10:30Mimi sasa simo tena ulimwenguni, lakini wao bado wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, uwalinde kwa uweza wa jina lako ulilonipa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja. 1217:12 Yn 6:39; 6:70Nilipokuwa pamoja nao, niliwalinda, wakawa salama kwa lile jina ulilonipa. Hakuna hata mmoja aliyepotea, isipokuwa yule aliyekusudiwa upotevu, ili Maandiko yapate kutimia.

1317:13 Yn 3:29“Lakini sasa naja kwako, nami ninasema mambo haya wakati bado nikiwa ulimwenguni, ili wawe na furaha yangu kamili ndani yao. 1417:14 Yn 15:19; 8:23; 1Yn 3:13; Yn 17:16Nimewapa neno lako, nao ulimwengu umewachukia kwa kuwa wao si wa ulimwengu kama mimi nisivyo wa ulimwengu huu. 1517:15 Mt 5:37Siombi kwamba uwaondoe ulimwenguni, bali uwalinde dhidi ya yule mwovu. 1617:16 Yn 17:14Wao si wa ulimwengu huu, kama vile mimi nisivyo wa ulimwengu. 1717:17 2Sam 7:28; Yn 15:3; 1Fal 17:24Uwatakase kwa ile kweli, neno lako ndilo kweli. 1817:18 Yn 17:3, 8, 21, 23, 25; 20:21Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma vivyo hivyo. 1917:19 Yn 17:17; 1Kor 1:2, 30; 1The 4:7; Ebr 10:10Kwa ajili yao najiweka wakfu ili wao nao wapate kutakaswa katika ile kweli.

Yesu Awaombea Wote Wamwaminio

2017:20 Yn 17:9“Siwaombei hawa peke yao, bali nawaombea na wale wote watakaoniamini kupitia neno lao 2117:21 Gal 3:28; Rum 12:5; Yn 10:38; 14:11ili wawe na umoja kama vile wewe Baba ulivyo ndani yangu na mimi nilivyo ndani yako, wao nao wawe ndani yetu, ili ulimwengu upate kuamini ya kuwa wewe ndiye uliyenituma mimi. 2217:22 Yn 14:20; 1Yn 1:2; 3:24Utukufu ule ulionipa nimewapa wao, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja. 2317:23 Yn 3:17; 16:27; Kol 3:14Mimi ndani yako na wewe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja na ulimwengu upate kujua ya kuwa umenituma, nami nimewapenda wao kama unavyonipenda mimi.

2417:24 Yn 12:26; 1:14; Mt 25:34; Yn 1:2“Baba, shauku yangu ni kwamba, wale ulionipa wawe pamoja nami pale nilipo, ili waweze kuuona utukufu wangu, yaani, utukufu ule ulionipa kwa kuwa ulinipenda hata kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu.

2517:25 Yn 15:21; 16:3; 3:17; 7:29“Baba Mwenye Haki, ingawa ulimwengu haukujui, mimi ninakujua, nao wanajua ya kuwa umenituma. 26Nimefanya jina lako lijulikane kwao nami nitaendelea kufanya lijulikane, ili kwamba upendo ule unaonipenda mimi uwe ndani yao na mimi mwenyewe nipate kuwa ndani yao.”