約伯記 7 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

約伯記 7:1-21

1「人生在世豈不像服勞役嗎?

他有生之年豈不像個雇工嗎?

2他像切望陰涼的奴隸,

又如盼望報酬的雇工。

3同樣,我註定要度過虛空的歲月,

熬過悲慘的黑夜。

4我躺在床上,想著何時起來。

長夜漫漫,我輾轉難眠,直到拂曉。

5我身上佈滿蛆蟲、傷疤,

皮膚破裂,流膿不止。

6我的年日飛逝,比梭還快,

轉眼結束,毫無盼望。

7「上帝啊,別忘了我的生命不過是一口氣,

我再也看不見幸福。

8注視我的眼睛將再也看不見我,

你將尋找我,而我已不復存在。

9人死後一去不返,

就像煙消雲散;

10他永不再返回家園,

故土也不再認識他。

11「因此我不再緘默不語,

我要吐露胸中的悲愁,

傾訴心裡的苦楚。

12上帝啊,我豈是大海,豈是海怪,

值得你這樣防範我?

13我以為床鋪是我的安慰,

臥榻可解除我的哀愁,

14你卻用噩夢驚我,

用異象嚇我,

15以致我寧願窒息而死,

也不願這樣活著。

16我厭惡生命,不想永活。

不要管我,因為我的日子都是虛空。

17「人算什麼,你竟這樣看重他,

這樣關注他?

18你天天早上察看他,

時時刻刻考驗他。

19你的視線何時離開我,

給我嚥口唾沫的時間?

20鑒察世人的主啊,

我若犯了罪,又於你何妨?

為何把我當成你的箭靶?

難道我成了你的重擔?

21為何不赦免我的過犯,

饒恕我的罪惡?

我很快將歸於塵土,

你將尋找我,

而我已不復存在。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 7:1-21

Ayubu: Mateso Yangu Hayana Mwisho

17:1 Ay 14:6, 13-14; Isa 40:2; Law 25:50; Za 39:4; Mhu 3:1, 2; Ay 5:7“Je, mwanadamu hana kazi ngumu duniani?

Siku zake si kama zile za mtu aliyeajiriwa?

27:2 Law 19:13; Ay 14:1; Mhu 2:23; Ay 14:6Kama mtumwa anavyovionea shauku vivuli vya jioni,

au mtu aliyeajiriwa anavyoungojea mshahara wake,

37:3 Mhu 4:1; Mao 1:2, 16; Za 39:5; Mhu 1:14; Isa 16:9; Yer 9:1ndivyo nilivyogawiwa miezi ya ubatili,

nami nimeandikiwa huzuni usiku hata usiku.

47:4 Kum 28:67; Ay 7:13-14Wakati nilalapo ninawaza, ‘Itachukua muda gani kabla sijaamka?’

Usiku huwa mrefu, nami najigeuzageuza hadi mapambazuko.

57:5 Ay 17:14; Za 38:5-7; Isa 1:6Mwili wangu umevikwa mabuu na uchafu,

ngozi yangu imetumbuka na kutunga usaha.

Ayubu Anamlilia Mungu

67:6 Za 39:5; 52:9; Isa 38:15; Ay 9:25; 13:15“Siku zangu zinapita upesi kuliko mtande wa kufuma,

nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.

77:7 Mhu 7:15; Yak 4:14; Ay 9:25; Za 78:39Kumbuka, Ee Mungu, maisha yangu ni kama pumzi;

macho yangu kamwe hayataona tena raha.

87:8 Isa 41:12; Mdo 20:25; Ay 20:9Lile jicho linaloniona sasa halitaniona tena;

utanitafuta, wala sitakuwepo.

97:9 Ay 30:15; 38:17; 2Sam 12:23; Za 39:13Kama vile wingu liondokavyo na kutoweka,

vivyo hivyo yeye ashukaye kaburini7:9 Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol. harudi tena.

107:10 Ay 18:21; 21:18; 27:21; Za 58:9; Yer 18:17; 19:8; Za 37:10; 104:35Kamwe harudi tena nyumbani mwake;

wala mahali pake hapatamjua tena.

117:11 Za 39:1, 9“Kwa hiyo sitanyamaza;

nitanena kutokana na maumivu makuu ya roho yangu,

nitalalama kwa uchungu wa nafsi yangu.

127:12 Mwa 1:21; Eze 32:2-3; Ay 38:8-11; Isa 1:14Je, mimi ni bahari, au mnyama mkubwa mno akaaye vilindini,

hata uniweke chini ya ulinzi?

137:13 Ay 7:11Ninapofikiri kwamba kitanda changu kitanifariji,

nacho kiti changu cha fahari kitapunguza malalamiko yangu,

147:14 Ay 9:34; 3:26; Mwa 41:8ndipo wanitisha kwa ndoto

na kunitia hofu kwa maono,

157:15 1Fal 19:4; Yn 4:3; Ay 6:9; Ufu 9:6hivyo ninachagua kujinyonga na kufa,

kuliko huu mwili wangu.

167:16 Mwa 27:46; Za 62:9; 1Fal 19:4; Ay 10:1; Mhu 6:11Ninayachukia maisha yangu; nisingetamani kuendelea kuishi.

Niache; siku zangu ni ubatili.

177:17 Za 144:3; 8:4; Ebr 2:6; Ay 4:19“Mwanadamu ni kitu gani hata umjali kiasi hiki,

kwamba unamtia sana maanani,

187:18 Ay 23:10; 14:3; Za 139:23; 17:3; 26:2; 66:10; 73:14kwamba unamwangalia kila asubuhi

na kumjaribu kila wakati?

197:19 Ay 7:16; 9:18; 13:26; 14:6; 27:2; Za 139:7Je, hutaacha kamwe kunitazama,

au kuniacha japo kwa kitambo kidogo tu?

207:20 Yer 7:19; Ay 6:4; 16:12; 35:6; Za 36:6Ikiwa nimetenda dhambi, nimekufanyia nini,

Ewe mlinzi wa wanadamu?

Kwa nini umeniweka niwe shabaha yako?

Je, nimekuwa mzigo kwako?

217:21 Yer 31:34; Mwa 3:19; Ay 9:28; Ebr 1:3; Za 119:120; 7:5; 22:15; 90:3; 104:29; Isa 43:25Kwa nini husamehi makosa yangu

na kuachilia dhambi zangu?

Kwa kuwa hivi karibuni nitalala mavumbini;

nawe utanitafuta, wala sitakuwepo.”