約伯的回答
1約伯回答說:
2「我的哀訴至今充滿苦楚,
祂的責罰使我呻吟不止。
3但願我知道何處能尋見上帝,
知道怎樣去祂的居所。
4我好在祂面前陳明案情,
滔滔不絕地為自己申辯;
5我好知道祂的答覆,
看看祂對我說什麼。
6祂會用大能與我爭辯嗎?
不會的,祂會垂聽我的申訴,
7允許正直的人與祂理論,
審判者會讓我永遠脫罪。
8「然而,我去東邊,祂不在那裡;
我到西邊,也找不到祂。
9祂在北邊工作,我看不見祂;
祂轉到南邊,我也看不見祂。
10但祂知道我的一舉一動,
我被祂試煉後必如純金。
11我緊隨祂的腳步,
持守祂的道,沒有偏離。
12我沒有違背祂的誡命,
我珍視祂的話語勝過我日用的飲食。
13祂獨行其事,誰能阻擋祂?
祂按自己的意願行事。
14祂在我身上的計劃必然實現,
祂還有許多這樣的計劃。
15所以,我在祂面前驚恐不安。
我想起這事,便對祂充滿恐懼。
16上帝使我心驚膽戰,
全能者使我驚恐不安。
17然而,我不會因為置身黑暗,
被幽暗籠罩而緘默不言。
Hotuba Ya Nane Ya Ayubu
Ayubu Anajibu: Kulalamika Kwangu Ni Uchungu
1Ndipo Ayubu akajibu:
223:2 Ay 6:3; 7:11; 1Sam 1:10“Hata leo malalamiko yangu ni chungu;
mkono wake ni mzito juu yangu hata nikiugua.
323:3 Kum 4:29Laiti ningefahamu mahali pa kumwona;
laiti ningeweza kwenda mahali akaapo!
423:4 Ay 13:18; 9:15Ningeliweka shauri langu mbele zake,
na kukijaza kinywa changu na hoja.
5Ningejua kwamba angenijibu nini,
na kuelewa lile ambalo angelisema.
623:6 Ay 9:4, 19; Isa 27:4Je, angenipinga kwa nguvu nyingi?
La, asingenigandamiza.
723:7 Mwa 3:8; Ay 9:3Hapo mtu mwadilifu angeweka shauri lake mbele zake,
nami ningeokolewa milele na mhukumu wangu.
8“Lakini nikienda mashariki, hayupo;
nikienda magharibi, simpati.
923:9 Ay 9:11Anapokuwa kazini pande za kaskazini, simwoni;
akigeukia kusini, nako simwoni hata kidogo.
1023:10 Za 66:10; 139:1-3; 12:6; 1Pet 1:7; Yak 1:12Lakini anaijua njia niiendeayo;
akiisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu.
1123:11 Za 17:5; Ay 31:7; Yer 11:20; Za 44:18; 125:5Nyayo zangu zimefuata hatua zake kwa karibu;
nimeishika njia yake bila kukengeuka.
1223:12 Ay 6:10; 15:11; Yn 4:32, 34; Mt 4:4Sijaziacha amri zilizotoka midomoni mwake;
nimeyathamini maneno ya kinywa chake kuliko chakula changu cha kila siku.
1323:13 Za 115:3; Isa 55:11; Mhu 3:14; Rum 9:19“Lakini yeye husimama peke yake; ni nani awezaye kumpinga?
Yeye hufanya lolote atakalo.
1423:14 1The 3:3; 1Pet 4:12Hutimiliza maagizo yake dhidi yangu,
na bado anayo mipango mingi kama hiyo ambayo ameiweka akiba.
1523:15 Mwa 45:3; Yos 24:14; Mhu 3:14; 12:13; 2Kor 5:11Hiyo ndiyo sababu ninaingiwa na hofu mbele zake;
nifikiriapo haya yote ninamwogopa.
1623:16 Za 22:14; Yer 51:46; Ay 27:223:16 Kum 20:3; Ay 27:2; Kut 3:6; Ufu 6:16Mungu ameufanya moyo wangu kuzimia;
yeye Mwenyezi amenitia hofu.
1723:17 Ay 3:6; 6:9; 19:8Hata hivyo sijanyamazishwa na giza,
wala kwa giza nene linalofunika uso wangu.