歷代志下 26 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

歷代志下 26:1-23

猶大王烏西雅

1全體猶大人立十六歲的烏西雅為王,繼承他父親亞瑪謝的王位。 2亞瑪謝與祖先同眠後,烏西雅猶大收復了以祿城,並重新修建。 3烏西雅十六歲登基,在耶路撒冷執政五十二年。他母親叫耶可利雅,是耶路撒冷人。 4他效法他父親亞瑪謝,做耶和華視為正的事。 5撒迦利亞在世之日,烏西雅尋求上帝,撒迦利亞教導他敬畏上帝。當他尋求上帝時,上帝就使他亨通。

6他出兵攻打非利士人,把迦特雅比尼亞實突的城牆夷平後,在亞實突境內及非利士人的其他地區興建城邑。 7上帝幫助他攻打非利士人和住在姑珥·巴力阿拉伯人及米烏尼人。 8亞捫人向他進貢,烏西雅的名聲傳到埃及,因他極其強大。

9烏西雅耶路撒冷的角門、谷門和城牆拐角的地方建造城樓,並加固城樓, 10又在曠野建造瞭望塔,挖了許多水井,因為他在高原和平原有很多牲畜。他雇人在山區和沃野為他耕種和照料葡萄園,因為他喜愛農耕。

11烏西雅有支可以隨時列隊出戰的軍兵,歸書記耶利和官長瑪西雅召集,由王的將軍哈拿尼雅統領。 12率領戰士的族長有兩千六百名, 13他們手下有三十萬七千五百精兵,隨時幫助王攻打敵人。 14烏西雅為全軍備有盾牌、矛槍、頭盔、鎧甲、弓箭和投石器用的石頭, 15又讓巧匠在耶路撒冷設計和製造兵器,安放在城樓和角樓上,用來發射弓箭和石頭。烏西雅威名遠揚,因為他得到非常的幫助,極其強盛。

16烏西雅強盛後,便心高氣傲,以致走向滅亡。他干犯他的上帝耶和華,擅自進入耶和華的殿在香壇上燒香。 17祭司亞撒利雅率領八十位耶和華勇敢的祭司跟著進殿, 18阻止烏西雅王,說:「烏西雅啊,給耶和華燒香不是你可以做的事,乃是承受聖職做祭司的亞倫子孫的事。離開聖所吧!你已干犯耶和華上帝,必不能從祂那裡得榮耀。」 19手拿香爐要燒香的烏西雅大怒,正當他在耶和華殿裡的香壇旁向眾祭司發怒的時候,他額頭上突然患了痲瘋病。 20亞撒利雅大祭司和眾祭司見狀,就催促他出殿,他急忙出去了,因為耶和華降災給他。 21烏西雅王到死一直有痲瘋病。他被隔離在別的宮中,不得進耶和華的殿。他兒子約坦管理王室,治理國家。

22烏西雅其他的事蹟,自始至終都是亞摩斯的兒子以賽亞先知記載的。 23烏西雅與祖先同眠後,葬在他祖墳附近、王室的墳場,因為他有痲瘋病。他兒子約坦繼位。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 26:1-23

Uzia Mfalme Wa Yuda

(2 Wafalme 14:21-22; 15:1-7)

126:1 1Fal 14:21; 2Nya 22:1Kisha watu wote wa Yuda wakamtwaa Uzia, aliyekuwa na umri wa miaka kumi na sita, nao wakamfanya mfalme mahali pa Amazia baba yake. 2Ndiye alijenga upya Elathi kuirudisha kwa Yuda baada ya Amazia kulala pamoja na baba zake.

3Uzia alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka hamsini na miwili. Mama yake aliitwa Yekolia wa Yerusalemu. 4Akatenda yaliyo mema machoni pa Bwana, kama Amazia baba yake alivyofanya. 526:5 2Nya 15:2; Mwa 41:15; Dan 1:17; 2Nya 7:2; Dan 2:9; 10:1Akamtafuta Mungu katika siku za Zekaria, aliyemwelekeza kumcha Mungu. Wakati wote alipomtafuta Bwana, Mungu alimfanikisha.

626:6 Isa 2:6; Yer 25:20; Amo 3:9; Isa 14:29; 1Nya 21:16Alipigana vita dhidi ya Wafilisti na kubomoa kuta za Gathi, Yabne na Ashdodi. Kisha akajenga upya miji karibu na Ashdodi na mahali pengine katikati ya Wafilisti. 726:7 2Nya 21:16; 1Nya 5:20; 2Nya 20:1; 14:11; Mdo 26:22Mungu akamsaidia dhidi ya Wafilisti na dhidi ya Waarabu walioishi Gur-Baali na dhidi ya Wameuni. 826:8 Mwa 19:38; 2Nya 17:11; 1Sam 11:1; 2Sam 8:2Waamoni wakamletea Uzia ushuru, umaarufu wake ukaenea hadi kwenye mpaka wa Misri, kwa sababu alikuwa amekuwa na nguvu sana.

926:9 2Fal 14:13; 2Nya 25:23; Neh 2:13; 3:13; Zek 14:10Uzia akajenga minara huko Yerusalemu katika Lango la Pembeni, katika Lango la Bondeni na katika pembe, mahali kuta zikutanapo, kisha akaijengea ngome. 1026:10 2Nya 21:16Akajenga pia minara jangwani na kuchimba visima vingi vya maji, kwa sababu alikuwa na mifugo mingi chini ya vilimani na kwenye nchi tambarare. Alikuwa na watu wanaofanya kazi katika mashamba yake na kwenye mashamba yake ya mizabibu huko vilimani na katika ardhi zenye rutuba, kwa kuwa aliupenda udongo.

11Zaidi ya hayo, Uzia alikuwa na jeshi lililofunzwa vizuri, lililokuwa tayari kwenda vitani kwa vikosi kufuatana na idadi yao kama walivyokusanywa na Yeieli mwandishi na Maaseya msimamizi chini ya maelekezo ya Hanania, mmojawapo wa maafisa wa mfalme. 12Idadi yote ya viongozi wa jamaa waliowaongoza hawa wapiganaji walikuwa 2,600. 13Chini ya uongozi wao kulikuwa na jeshi la askari 307,500 watu waliofundishwa kwa ajili ya vita, jeshi lenye nguvu la kumsaidia mfalme dhidi ya adui zake. 1426:14 Yer 46:4Uzia akalipatia jeshi lote ngao, mikuki, chapeo, dirii, pinde na mawe ya kombeo. 15Huko Yerusalemu watu wenye utaalamu mkubwa wakatengeneza mitambo iliyotumika katika minara na kwenye pembe za ulinzi ili kurusha mishale na kuvurumisha mawe makubwa. Sifa zake zikaenea mbali sana kwa sababu alisaidiwa mno mpaka akawa na nguvu sana.

1626:16 2Fal 14:10; Kum 32:15; 2Nya 25:19; 1Nya 5:25; 2Fal 16:12-13; Hab 2:4; Kol 2:18; Kum 8:14Lakini baada ya Uzia kuwa na nguvu sana, majivuno yake yakamsababishia kuanguka. Alikosa uaminifu kwa Bwana Mungu wake, naye akaingia hekaluni mwa Bwana ili afukize uvumba kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba. 1726:17 1Nya 6:10; 1Fal 4:2; Mdo 26:22Azaria kuhani akiwa pamoja na makuhani wengine themanini wa Bwana wenye ujasiri wakamfuata huko ndani. 1826:18 Hes 16:39; 18:1-7; Kut 30:7; Yer 13:18; 1Nya 6:49; 2Nya 19:2; Mt 14:4; Gal 2:21Wakamkabili na kumwambia, “Siyo sawa kwako, Uzia, kumfukizia Bwana uvumba. Hiyo ni kazi ya makuhani, wazao wa Aroni, ambao wamewekwa wakfu ili kufukiza uvumba. Ondoka mahali patakatifu, kwa kuwa umekosa uaminifu nawe hutaheshimiwa na Bwana.”

1926:19 2Fal 5:25-27; Hes 12:10Uzia, ambaye alikuwa na chetezo mkononi mwake tayari kufukiza uvumba, akakasirika. Alipokuwa anawaghadhibikia makuhani mbele ya madhabahu ya kufukizia uvumba katika Hekalu la Bwana, ukoma ukamtokea penye kipaji chake cha uso. 2026:20 Es 6:12Azaria kuhani mkuu pamoja na makuhani wengine wote walipomtazama wakaona kwamba alikuwa na ukoma penye kipaji chake cha uso wakaharakisha kumtoa nje. Naam, hata yeye mwenyewe alikuwa anatamani kuondoka kwa sababu Bwana alikuwa amempiga.

2126:21 Law 13:46; 14:8; Kut 4:6; 2Fal 15:5; Hes 5:2Mfalme Uzia alikuwa na ukoma mpaka siku ya kufa kwake. Akatengwa katika nyumba ya pekee akiwa mwenye ukoma, naye akawa ametengwa kutoka Hekalu la Bwana. Yothamu mwanawe akawa msimamizi wa jumba la mfalme, pia akawaongoza watu wa nchi.

2226:22 2Fal 15:1; Isa 6:1Matukio mengine ya utawala wa Uzia, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa na nabii Isaya mwana wa Amozi. 2326:23 2Fal 15:7; Isa 6:1Uzia akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa karibu nao katika shamba la kuzikia lililokuwa mali ya wafalme, kwa kuwa watu walisema, “Alikuwa na ukoma.” Yothamu mwanawe akawa mfalme baada yake.