撒迦利亞書 3 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

撒迦利亞書 3:1-10

約書亞大祭司

1耶和華又讓我看見約書亞大祭司站在祂的天使面前,撒旦站在約書亞的右邊要控訴他。 2耶和華對撒旦說:「撒旦啊,耶和華斥責你!揀選耶路撒冷的耶和華斥責你!這人豈不像從火中抽出來的一根柴嗎?」 3那時,約書亞穿著污穢的衣服站在天使面前。 4天使對侍立在周圍的說:「脫掉他污穢的衣服。」他又對約書亞說:「看啊,我已除掉你的罪,我要給你穿上華美的衣服。」

5我說:「要給他戴上潔淨的禮冠。」他們便給他戴上潔淨的禮冠、穿上華美的衣服。那時,耶和華的天使站在旁邊。

6耶和華的天使告誡約書亞7「萬軍之耶和華說,『你若遵行我的道,謹守我的吩咐,便可以管理我的家,看守我的院宇。我必讓你在這些侍立的天使中間自由出入。 8約書亞大祭司啊,你和坐在你面前的同伴們聽著,你們都是將來之事的預兆——我將使我僕人大衛的苗裔興起。 9看啊,這是我在約書亞面前安置的石頭,它有七眼3·9 」或作「面」。,我要在上面刻上字,並在一天之內除掉這地方的罪。這是萬軍之耶和華說的。 10到那天,你們將各自邀請鄰居坐在葡萄樹和無花果樹下。這是萬軍之耶和華說的。』」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 3:1-10

Maono Ya Nne: Mavazi Safi Kwa Ajili Ya Kuhani Mkuu

13:1 Ezr 2:2; Zek 6:11; 2Sam 24:1; 2Nya 18:21; Za 109:6; Mt 4:10; Ay 1:6; Ufu 12:10Kisha akanionyesha Yoshua,3:1 Yoshua kwa Kiebrania ni Yeshua, maana yake ni Yehova ni wokovu. kuhani mkuu, akiwa amesimama mbele ya malaika wa Bwana, naye Shetani amesimama upande wake wa kuume ili amshtaki. 23:2 Yud 9, 23; Isa 14:1; 7:4; Za 109:31; Mt 4:10; Lk 22:31; Rum 16:20; 8:33; 11:5Bwana akamwambia Shetani, “Bwana akukemee Shetani! Bwana, ambaye ameichagua Yerusalemu, akukemee! Je, mtu huyu siyo kijinga kinachowaka kilichonyakuliwa kwenye moto?”

33:3 Isa 64:6Wakati huu, Yoshua alikuwa amevaa nguo chafu alipokuwa amesimama mbele ya malaika. 43:4 2Sam 12:13; Eze 36:25; Mik 7:18; Mwa 41:42; Za 132:9; Ufu 19:8; Isa 52:1Malaika akawaambia wale waliokuwa wamesimama mbele yake, “Mvueni hizo nguo zake chafu.”

Kisha akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeiondoa dhambi yako, nami nitakuvika mavazi ya kitajiri.”

53:5 Kut 29:6Kisha nikasema, “Mvike kilemba kilicho safi kichwani mwake.” Kwa hiyo wakamvika kilemba safi kichwani na kumvika yale mavazi mengine, wakati malaika wa Bwana akiwa amesimama karibu.

6Malaika wa Bwana akamwamuru Yoshua: 73:7 Law 8:35; Kum 17:8-113:7 Eze 44:15-16; 2Nya 23:6; Yer 15:19; Zek 6:15“Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: ‘Ikiwa utakwenda katika njia zangu na kushika masharti yangu, basi utaitawala nyumba yangu na kuwa na amri juu ya nyua zangu, nami nitakupa nafasi miongoni mwa hawa wasimamao hapa.

83:8 Kum 28:46; Eze 12:11; Isa 4:2; 49:3“ ‘Sikiliza, ee Yoshua kuhani mkuu, pamoja na wenzako walioketi mbele yako, ambao ni watu walio ishara ya mambo yatakayokuja: Ninakwenda kumleta mtumishi wangu, Tawi. 9Tazama, jiwe nililoliweka mbele ya Yoshua! Kuna macho saba juu ya jiwe lile moja, nami nitachora maandishi juu yake,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, ‘nami nitaiondoa dhambi ya nchi hii kwa siku moja.

103:10 Ay 11:18; Hes 16:14; 1Fal 4:25; Mik 4:4“ ‘Katika siku hiyo kila mmoja wenu atamwalika jirani yake akae chini ya mzabibu wake na mtini wake,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.”