撒迦利亞書 2 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

撒迦利亞書 2:1-13

準繩

1我又舉目觀看,見有人拿著準繩。 2於是我問:「你要去哪裡?」他回答說:「去丈量耶路撒冷,看看有多寬多長。」 3此前與我說話的天使離去時,迎著他走來另一位天使, 4對他說:「快跑去告訴那青年,『耶路撒冷必像沒有城牆限制的村莊,因為城中將有大量的人和牲畜。 5耶和華說,我要成為一堵火牆環繞耶路撒冷,作城中的榮耀。』

6「耶和華說,『我曾把你們分散到天下四方,現在,快!快逃離北方之地。這是耶和華說的。 7住在巴比倫城的人啊,快逃到錫安吧!』」 8萬軍之耶和華說,祂在彰顯榮耀之後要差遣我去那些擄掠你們的國家,因為誰侵害你們,就是侵害祂的瞳人。 9看啊,祂要揮手攻擊他們,使他們被自己的奴隸擄掠。那時你們便知道是萬軍之耶和華差遣了我。 10耶和華說:「錫安2·10 」希伯來文是「女子」,可能是對錫安的暱稱,下同9·9啊,高聲歡唱吧!因為我要來住在你裡面。」 11到那天,許多國家都要歸向耶和華,做祂的子民。祂要住在你裡面。那時,你便知道是萬軍之耶和華差遣我到你們這裡來的。 12耶和華必擁有猶大作祂聖地的產業,祂必再次揀選耶路撒冷13世人都當在耶和華面前肅靜,因為祂要從聖所起來了。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 2:1-13

Maono Ya Tatu: Mtu Mwenye Kamba Ya Kupimia

1Kisha nikatazama juu: pale mbele yangu alikuwepo mtu mwenye kamba ya kupimia mkononi mwake! 22:2 Eze 40:3; Zek 1:16; Ufu 21:15Nikamuuliza, “Unakwenda wapi?”

Akanijibu, “Kupima Yerusalemu, kupata urefu na upana wake.”

3Kisha malaika aliyekuwa akizungumza nami akaondoka, malaika mwingine akaja kukutana naye 42:4 Eze 38:11; Isa 49:20; Yer 30:19; 33:22; Zek 14:11; Eze 36:10na kumwambia: “Kimbia, umwambie yule kijana, ‘Yerusalemu utakuwa mji usio na kuta kwa sababu ya wingi wa watu na mifugo iliyomo. 52:5 Isa 10:17; 11:10; 24:23; 26:1; Eze 38:14; 42:20; Za 46:5; 85:9; 125:2; Ufu 21:23; Isa 4:5Mimi mwenyewe nitakuwa ukuta wa moto kuuzunguka,’ asema Bwana, ‘nami nitakuwa utukufu wake ndani yake.’

62:6 Za 44:11; Eze 17:21; 37:9; Mt 24:31; Mk 13:27; Kum 28:64“Njooni! Njooni! Kimbieni mtoke katika nchi ya kaskazini,” asema Bwana, “Kwa kuwa nimewatawanya kwenye pande nne za mbingu,” asema Bwana.

72:7 Isa 42:7; 48:20; Yer 3:18“Njoo, ee Sayuni! Kimbia, wewe ukaaye ndani ya Binti Babeli!” 82:8 Kum 32:10; 2The 1:6Kwa kuwa hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Baada ya yeye kuniheshimu na kunituma mimi dhidi ya mataifa yaliyokuteka nyara, kwa kuwa yeyote awagusaye ninyi, anaigusa mboni ya jicho lake, 92:9 Isa 14:2; 48:16; Yer 12:14; Hab 2:8; Zek 4:9; 6:15hakika nitauinua mkono wangu dhidi yao ili watumwa wao wawateke nyara. Ndipo mtakapojua ya kwamba Bwana Mwenye Nguvu Zote amenituma.

102:10 Sef 3:14; Isa 23:12; Kut 25:8; Hes 23:21; Law 26:12; Zek 8:3; 9:9; Ufu 21:3; 2Kor 6:16“Piga kelele na ufurahie, ee Binti Sayuni, kwa maana ninakuja, nami nitaishi miongoni mwenu,” asema Bwana. 112:11 Yer 23:7; Mik 4:2; Zek 8:8, 20-22; Isa 2:2-3; Kut 12:49; Eze 33:33“Mataifa mengi yataunganishwa na Bwana siku hiyo, nao watakuwa watu wangu. Nitaishi miongoni mwenu nanyi mtajua kwamba Bwana Mwenye Nguvu Zote amenituma kwenu. 122:12 Kut 34:9; Za 33:12; Yer 10:16; 40:5; Kum 12:5; Isa 14:1; Kum 32:9Bwana atairithi Yuda kama fungu lake katika nchi takatifu na atachagua tena Yerusalemu. 132:13 Kut 14:14; Isa 41:1; Kum 26:15; Za 46:10; Hab 2:20; Rum 3:19Tulieni mbele za Bwana, enyi watu wote, kwa sababu ameinuka kutoka makao yake matakatifu.”