撒迦利亞書 10 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

撒迦利亞書 10:1-12

耶和華應許拯救以色列

1要在春季向耶和華求雨。

祂創造雷雨,

為世人降下甘霖,

使田間長出青翠之物。

2因為神像說的是虛言,

占卜者講的是謊話,

他們說的是假夢,

他們的安慰是空的。

所以人們如迷失的羊,

因沒有牧人而受苦。

3「我必向牧人發怒,

我必懲罰這些首領10·3 首領」希伯來文作「公山羊」。

因為我——萬軍之耶和華必眷顧我的羊群猶大家,

我必使他們像戰場上的駿馬。

4房角石、帳篷的橛子、戰弓,

以及所有掌權者必出自猶大

5他們必像戰場上的勇士,

將仇敵踐踏在街上的泥土中。

他們必爭戰,

因為耶和華與他們同在。

他們必使敵方的騎兵蒙羞。

6「我必使猶大家強盛,

我必拯救約瑟家。

我必帶他們回到故土,

因為我憐憫他們。

他們必好像從未被我拋棄一樣,

因為我是他們的上帝耶和華,

我必應允他們的禱告。

7以法蓮人必如勇士,

他們必心裡快樂,如同喝了酒,

他們的兒女見狀也必快樂,

他們必因耶和華而歡心。

8「我必吹哨聚集他們,

因為我救贖了他們,

他們必像從前一樣人數眾多。

9雖然我把他們分散到列國,

他們必在遠方想起我,

他們及其子女必得以倖存,

並且回到故土。

10我必從埃及領他們回到故土,

亞述招聚他們,

領他們到基列黎巴嫩

那裡將不夠他們居住。

11祂必經過苦海,

擊打海浪,

尼羅河必乾涸,

亞述的驕傲必掃地,

埃及的勢力必滅沒。

12我必讓他們靠著我強盛,

他們必奉我的名行事。

這是耶和華說的。」

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zekaria 10:1-12

Bwana Ataitunza Yuda

110:1 Law 26:4; 1Fal 8:36; Za 104:13; 135:7; Ay 14:9; Yer 14:22; Yoe 2:32Mwombeni Bwana mvua wakati wa vuli;

ndiye Bwana atengenezaye mawingu ya tufani.

Huwapa watu manyunyu ya mvua,

pia mimea ya shambani kwa ajili ya kila mtu.

210:2 Eze 21:21; Isa 44:25; 40:19; Yer 23:16; Hes 27:17; Hos 3:4; Mt 9:36Sanamu huzungumza udanganyifu,

waaguzi huona maono ya uongo;

husimulia ndoto ambazo si za kweli,

wanatoa faraja batili.

Kwa hiyo watu wanatangatanga kama kondoo

walioonewa kwa kukosa mchungaji.

310:3 Isa 14:9; Yer 25:34; Eze 34:8-10; Kut 4:31; Rut 1:6; Sef 2:7; Lk 1:68; 1Pet 2:12“Hasira yangu inawaka dhidi ya wachungaji,

nami nitawaadhibu viongozi;

kwa kuwa Bwana Mwenye Nguvu Zote

atalichunga kundi lake,

nyumba ya Yuda,

naye atawafanya kuwa kama farasi

mwenye kiburi akiwa vitani.

410:4 Za 118:22; Mdo 4:11; Isa 22:23; Zek 9:10Kutoka Yuda litatokea Jiwe la pembeni,

kutoka kwake vitatoka vigingi vya hema,

kutoka kwake utatoka upinde wa vita,

kutoka kwake atatoka kila mtawala.

510:5 2Sam 22:43; Mik 7:10; 5:8; Amo 2:15; Hag 2:22; Zek 12:4Kwa pamoja watakuwa kama mashujaa

wanaokanyaga barabara za matope

wakati wa vita.

Kwa sababu Bwana yu pamoja nao,

watapigana na kuwashinda wapanda farasi.

610:6 Eze 30:24; 36:37; Za 102:13; 34:17; Isa 37:19; 14:1; 58:9; 65:24; Zek 8:7-8; 13:9“Nitaiimarisha nyumba ya Yuda

na kuiokoa nyumba ya Yosefu.

Nitawarejesha kwa sababu

nina huruma juu yao.

Watakuwa kama watu ambao

sijawahi kuwakataa

kwa sababu mimi ndimi Bwana Mungu wao,

nami nitawajibu.

710:7 Zek 9:15; 1Sam 2:1; Isa 60:5; Yoe 2:23Waefraimu watakuwa kama mashujaa,

mioyo yao itafurahi kana kwamba ni kwa divai.

Watoto wao wataona na kufurahi,

mioyo yao itashangilia katika Bwana.

810:8 Isa 5:26; Yer 33:22; Eze 36:11Nitawaashiria na kuwakusanya ndani.

Hakika nitawakomboa,

nao watakuwa wengi

kama walivyokuwa mwanzoni.

910:9 Isa 44:21; Eze 6:9Ijapokuwa niliwatawanya miongoni mwa mataifa,

hata hivyo wakiwa katika nchi za mbali

watanikumbuka mimi.

Wao na watoto wao watanusurika katika hatari

nao watarudi.

1010:10 Isa 11:11; 49:19; Zek 8:8; Yer 50:19; Rum 11:25; Kut 14:26-27Nitawarudisha kutoka Misri

na kuwakusanya toka Ashuru.

Nitawaleta katika nchi ya Gileadi na Lebanoni,

na hapo hapatakuwa na nafasi ya kuwatosha.

1110:11 Isa 19:5-7; 51:10; Sef 2:13; Eze 29:15; 30:13Watapita katika bahari ya mateso;

bahari iliyochafuka itatulizwa

na vilindi vyote vya Mto Naili vitakauka.

Kiburi cha Ashuru kitashushwa,

nayo fimbo ya utawala ya Misri itatoweka.

1210:12 Eze 30:24; Mik 4:5Nitawaimarisha katika Bwana,

na katika jina lake watatembea,”

asema Bwana.