彼得後書 3 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

彼得後書 3:1-18

主再來的應許

1親愛的弟兄姊妹,我現在寫給你們的是第二封信。這兩封信都是為了提醒你們,激勵你們保持真誠的心, 2叫你們記得從前聖先知們說的預言,以及我們的主和救主藉著派到你們那裡的使徒所傳給你們的誡命。

3最重要的是,你們要知道在末世的時候必出現喜歡冷嘲熱諷、為所欲為的人。他們說: 4「主要降臨的應許在哪裡?從我們的祖先長眠地下直到現在,萬物依舊與創世之初一樣。」 5他們故意忽略:太初,上帝憑口中的話語創造了諸天,並藉著水從水中造出了地; 6後來,那個世界被水淹沒而毀滅了。 7同樣,現在的天地要憑上帝的話語存留到不敬虔的人被審判和毀滅的日子,那時天地要被火焚燒。

8親愛的弟兄姊妹,有一件事你們不可忽略,就是主看一日如千年,千年如一日。 9主的應許還未實現,有人以為祂拖延,其實祂不是拖延,而是在寬容你們。祂不願任何人滅亡,願意人人悔改。 10不過,主再來的日子要像賊一樣突然臨到。那日,諸天必在一聲巨響中消失,有形有質的都要被烈火焚毀,大地和其中的一切將不復存在。

11-12一切都要這樣被焚毀,你們在熱切等候上帝來臨的日子期間,該怎樣過聖潔、敬虔的生活啊!因為到那日,天要被火焚毀,有形有質的都要被烈火熔化燒盡。 13但我們等候的是上帝應許的新天新地,有公義住在其中。

14所以,親愛的弟兄姊妹,你們既然盼望這些事,就當努力使自己在主面前毫無瑕疵,無可指責,安然無懼。 15你們要把耶穌的寬容看作是讓眾人得救的機會,正如我們親愛的弟兄保羅按著上帝賜給他的智慧寫信告訴你們的。 16他所有的書信都談到這些事。一些不學無術、反覆無常的人曲解了信中一些難懂的地方,就像曲解其他經文一樣,他們是自取滅亡。

17因此,親愛的弟兄姊妹,你們既然預先知道了這些事,就應該提防,不要讓那些不法之徒用錯謬的理論引誘你們,使你們失去原本堅固的立場。 18相反,你們要在我們的主和救主耶穌基督的恩典中不斷長進,越來越認識祂。

願榮耀歸給祂,從現在直到永遠。阿們!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Petro 3:1-18

Ahadi Ya Kuja Kwa Bwana

13:1 2Pet 1:13; 1Kor 10:14Wapenzi, huu ndio waraka wangu wa pili ninaowaandikia. Katika nyaraka hizi mbili ninajaribu kuziamsha nia zenu safi kwa mawazo makamilifu. 23:2 1Tim 4:1; Yud 18; Lk 1:70; Mdo 3:21; Efe 4:11Nataka ninyi mkumbuke maneno yaliyosemwa zamani na manabii watakatifu na ile amri ya Bwana na Mwokozi mliyopewa kupitia kwa mitume wenu.

33:3 1Tim 4:1; 2Tim 3:1; 2Pet 2:10Kwanza kabisa, ni lazima mfahamu ya kwamba siku za mwisho watakuja watu wenye dhihaka, wakidhihaki na kuzifuata tamaa zao mbaya. 43:4 Isa 5:19; Lk 17:30; Mk 10:6Watasema, “Iko wapi ile ahadi ya kuja kwake? Tangu baba zetu walipofariki, kila kitu kinaendelea kama kilivyokuwa tangu mwanzo wa kuumbwa.” 53:5 Mwa 1:6, 9; Ebr 11:1; Za 24:2Lakini wao kwa makusudi hupuuza ukweli huu, ya kwamba kwa neno la Mungu mbingu zilikuwepo tangu zamani, nayo dunia ilifanyizwa kutoka ndani ya maji na kwa maji. 63:6 Mwa 7:21, 22; 2Pet 2:5Ulimwengu wa wakati ule uligharikishwa kwa hayo maji na kuangamizwa. 73:7 2The 1:7; 2Pet 3:10; Mt 25:41; 2The 1:8Lakini kwa neno lilo hilo, mbingu za sasa na dunia zimewekwa akiba kwa ajili ya moto, zikihifadhiwa hadi siku ile ya hukumu na ya kuangamizwa kwa watu wasiomcha Mungu.

83:8 Za 90:4Lakini wapenzi, msisahau neno hili: kwamba kwa Bwana, siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja. 93:9 Hab 2:3; Ebr 10:37; Rum 2:11; 1Tim 2:4; Ufu 2:21Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama watu wengine wanavyokudhani kukawia. Badala yake, yeye anawavumilia ninyi, maana hataki mtu yeyote aangamie, bali kila mtu afikilie toba.

103:10 Lk 12:39; 1The 5:2; Ebr 12:27; Ufu 21:11Lakini siku ya Bwana itakuja kama mwizi. Ndipo mbingu zitatoweka kwa kishindo kikuu; navyo vitu vya asili vitateketezwa kwa moto, nayo dunia na kila kitu kilichomo ndani yake kitaunguzwa.

113:11 1Pet 1:15Kwa kuwa vitu vyote vitaharibiwa namna hii, je, ninyi imewapasa kuwa watu wa namna gani? Inawapasa kuishi maisha matakatifu na ya kumcha Mungu, 123:12 1Kor 1:7; Za 50:3mkingojea na kuhimiza kuja kwa hiyo siku ya Mungu. Siku hiyo italeta mbingu kuchomwa moto na kutoweka, na vitu vya asili vitayeyuka kwa moto. 133:13 Isa 66:22; Ufu 21:1Lakini kufuatana na ahadi yake, sisi tunatazamia mbingu mpya na dunia mpya, ambayo haki hukaa ndani yake.

143:14 1Kor 1:7, 8; Yud 24; 1The 3:13Kwa sababu hii, wapenzi, kwa kuwa mnatazamia mambo haya, fanyeni bidii ili awakute katika amani, bila mawaa wala dosari. 153:15 Rum 2:4; Efe 3:3; 2Pet 3:9; 1Pet 3:20Hesabuni uvumilivu wa Bwana kuwa ni wokovu, kama vile ndugu yetu mpenzi Paulo alivyowaandikia kwa hekima ile aliyopewa na Mungu. 163:16 Yak 1:8; 2Pet 2:14Huandika vivyo hivyo katika nyaraka zake zote, akizungumzia ndani yake mambo haya. Katika nyaraka zake kuna mambo mengine ambayo ni vigumu kuyaelewa, ambayo watu wajinga na wasio thabiti huyapotosha kwa maangamizi yao wenyewe, kama wapotoshavyo pia Maandiko mengine.

173:17 1Kor 10:12; 2Pet 2:18; Ufu 2:5Basi, ninyi wapenzi, kwa kuwa mmekwisha kujua mambo haya, jilindeni msije mkachukuliwa na kosa la watu hao waasi na kuanguka kutoka kwenye uthabiti wenu. 183:18 2Pet 1:11; 2:20Bali kueni katika neema na katika kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na milele! Amen.