彼得前書 5 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

彼得前書 5:1-14

勸勉長老

1我是基督受苦的見證人,將分享以後所顯明的榮耀。我以長老的身分勸你們中間作長老的: 2務要牧養上帝託付給你們的羊群,按著上帝的旨意甘心樂意地照顧他們,不是出於勉強,不是為了謀利,而是出於熱誠。 3不要辖制託付給你們的羊群,而是要做群羊的榜樣。 4等到大牧長顯現的時候,你們必得到永不衰殘的榮耀冠冕。

5你們年輕的要順服年長的,大家都要存謙卑的心彼此服侍。因為上帝阻擋驕傲的人,恩待謙卑的人。 6所以你們要在上帝大能的手下謙卑,時候到了,祂必擢升你們。 7你們要把一切憂慮卸給上帝,因為祂眷顧你們。

8你們務要謹慎,警醒,因為你們的仇敵魔鬼好像咆哮的獅子四處遊走,尋找可以吞吃的獵物。 9你們要以堅固的信心抵擋牠,要知道世界各地的弟兄姊妹在遭受同樣的苦難。 10你們忍受短暫的苦難之後,廣施恩典、在基督裡呼召你們享受祂永遠榮耀的上帝必親自復興你們,使你們剛強、篤定、堅立。 11願權能歸給祂,直到永永遠遠。阿們!

問候

12在忠心的弟兄西拉的幫助下,我簡單地寫了這封信勸勉你們,並證明這是上帝真實的恩典。你們務要在這恩典上站穩。

13巴比倫和你們一同蒙揀選的教會問候你們,我的兒子馬可也問候你們。 14你們要以愛心彼此親吻問候。

願平安歸給你們所有在基督裡的人!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Petro 5:1-14

Kulichunga Kundi La Mungu

15:1 Mdo 11:30; Lk 24:48; 1Pet 4:13; Ufu 1:9Kwa wazee waliomo miongoni mwenu, nawasihi mimi nikiwa mzee mwenzenu, shahidi wa mateso ya Kristo, na mshiriki katika utukufu utakaofunuliwa: 25:2 Yn 21:6; 1Tim 3:3lichungeni kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mkitumika kama waangalizi, si kwa kulazimishwa bali kwa hiari, kama Mungu anavyowataka mwe; si kwa tamaa ya fedha, bali mlio na bidii katika kutumika. 35:3 Eze 34:4; Mt 20:25-28; Flp 3:17; 1Tim 4:12Msijifanye mabwana juu ya wale walio chini ya uangalizi wenu, bali kuweni vielelezo kwa hilo kundi. 45:4 1Kor 9:25; Ebr 13:20; 1Kor 9:25; 2Tim 4:8; Yak 1:12; 1Pet 1:4Naye Mchungaji Mkuu atakapodhihirishwa, mtapokea taji ya utukufu isiyoharibika.

55:5 Efe 5:21; Mit 3:34; Yak 4:6Vivyo hivyo, ninyi mlio vijana watiini wazee. Nanyi nyote imewapasa kujivika unyenyekevu kila mtu kwa mwenzake, kwa kuwa,

“Mungu huwapinga wenye kiburi,

lakini huwapa wanyenyekevu neema.”

65:6 Yak 4:10Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake. 75:7 Mit 27:5; Mt 6:25; Ebr 13:5Mtwikeni yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana na mambo yenu.

85:8 Ay 1:7; Lk 21:34, 36; 1The 5:6; 1Pet 4:7; Ufu 12:12Mwe na kiasi na kukesha, maana adui yenu ibilisi huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mtu ili apate kummeza. 95:9 Yak 4:7; Kol 2:5; Mdo 14:22Mpingeni, mkiwa thabiti katika imani, mkijua ya kwamba mateso kama hayo yanawapata ndugu zenu pote duniani.

105:10 2Kor 4:17; 2The 2:17Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo kidogo, Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele ndani ya Kristo, yeye mwenyewe atawarejesha na kuwatia nguvu, akiwaimarisha na kuwathibitisha. 115:11 Rum 11:36; 1Pet 4:11; Ufu 1:6Uweza una yeye milele na milele. Amen.

Salamu Za Mwisho

125:12 2Kor 1:19; Ebr 13:22Kwa msaada wa Silvano,5:12 Yaani Sila. ambaye ninamhesabu kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia waraka huu mfupi ili kuwatia moyo, na kushuhudia kwamba hii ni neema halisi ya Mungu. Simameni imara katika neema hiyo.

135:13 Mdo 12:12Kanisa lililoko Babeli, lililochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu; vivyo hivyo mwanangu Marko anawasalimu. 145:14 Rum 16:16; Efe 6:23Salimianeni kwa busu la upendo.

Amani iwe nanyi nyote mlio katika Kristo.