彌迦書 3 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

彌迦書 3:1-12

斥責以色列的領袖

1我說:「雅各的首領,以色列家的統治者啊!

你們要聽!

難道你們不知正義嗎?

2你們憎惡良善,

喜愛邪惡,

剝下我百姓的皮,

從他們的骨頭上剔肉。

3你們吃我百姓的肉,

剝我百姓的皮,

打碎他們的骨頭,

把他們切成塊,

如同下在鍋裡、放進釜中的肉。

4你們遭難的時候,

向耶和華呼求,

祂必不應允你們。

因你們的惡行,

祂必掩面不顧你們。」

5耶和華說:

「使我的子民步入歧途的先知啊,

你們向供養你們的人報平安,

出言攻擊那不供養你們的人。

6因此,黑夜必籠罩你們,

使你們看不見異象;

幽暗必臨到你們,

使你們無法占卜。

太陽要因你們而沉落,

白晝變為黑夜。

7假先見必抱愧,

占卜者必蒙羞。

因得不到上帝的答覆,

你們必羞愧地捂著臉。」

8至於我,

因有耶和華的靈,

我充滿權能、正義和力量,

能向雅各宣告他的過犯,

以色列宣告他的罪惡。

9雅各家的首領,以色列家的統治者啊,

你們要聽!

你們厭惡正義,顛倒是非;

10以血腥建立錫安

以罪惡建造耶路撒冷

11城裡的首領為貪贓而枉法,

祭司為銀子而施教,

先知為錢財而占卜。

他們卻宣稱倚靠耶和華,說:

「耶和華不是在我們當中嗎?

災禍不會臨到我們。」

12所以,因你們的緣故,

錫安必像田地被耕犁,

耶路撒冷必淪為廢墟,

聖殿山必成為荒林之岡。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mika 3:1-12

Viongozi Na Manabii Wakemewa

13:1 Yer 5:5Kisha nikasema,

“Sikilizeni enyi viongozi wa Yakobo,

enyi watawala wa nyumba ya Israeli.

Je, hampaswi kujua hukumu,

23:2 Za 53:4; Eze 22:27ninyi mnaochukia mema

na kupenda maovu;

ninyi mnaowachuna watu wangu ngozi

na kuondoa nyama kwenye mifupa yao;

33:3 Za 14:4; Sef 3:3; Ay 24:14; Eze 11:7; 24:4-5; 34:4ninyi mnaokula nyama ya watu wangu,

mnaowachuna ngozi

na kuvunja mifupa yao vipande vipande;

mnaowakatakata kama nyama

ya kuwekwa kwenye sufuria

na kama nyama

ya kuwekwa kwenye chungu?”

43:4 Kum 1:45; 31:17; 1Sam 8:18; Yer 11:11; Isa 58:4; Mit 1:28; Ay 15:31; Eze 8:18Kisha watamlilia Bwana,

lakini hatawajibu.

Wakati huo atawaficha uso wake

kwa sababu ya uovu waliotenda.

53:5 Isa 3:12; 9:16; 53:6; 56:10; Mt 7:15; Yer 4:10Hili ndilo asemalo Bwana:

“Kuhusu manabii wanaowapotosha watu wangu,

mtu akiwalisha,

wanatangaza ‘amani’;

kama hakufanya hivyo,

wanaandaa kupigana vita dhidi yake.

63:6 Isa 8:19-22; 29:10; Eze 7:26; 12:24Kwa hiyo usiku utawajieni, msiweze kuwa na maono,

na giza, msiweze kubashiri.

Jua litawachwea manabii hao,

nao mchana utakuwa giza kwao.

73:7 Yer 6:15; Mik 7:16; Isa 44:25; Es 6:12; Za 74:9; Amu 8:11; Law 13:45; Eze 20:3Waonaji wataaibika

na waaguzi watafedheheka.

Wote watafunika nyuso zao

kwa sababu hakuna jibu litokalo kwa Mungu.”

83:8 1Kor 2:1, 4; Isa 58:1; 57:12; 61:2Lakini kuhusu mimi, nimejazwa nguvu,

nimejazwa Roho wa Bwana,

haki na uweza,

kumtangazia Yakobo kosa lake,

na Israeli dhambi yake.

93:9 Isa 58:1-2; 1:23Sikieni hili, enyi viongozi wa nyumba ya Yakobo,

enyi watawala wa nyumba ya Israeli,

mnaodharau haki

na kupotosha kila lililo sawa;

103:10 Yer 22:13, 17; Isa 59:7; Mik 7:2; Hab 2:12; Nah 3:1; Eze 22:27mnaojenga Sayuni kwa kumwaga damu

na Yerusalemu kwa uovu.

113:11 Kut 23:8; Law 19:15; Mal 2:9; Eze 22:12; Mik 7:3; Yer 6:13; 1Tim 1:11; 1Sam 4:5-6; Eze 13:19; 34:2; Isa 1:23; 10:20; 56:11; Yer 6:13; 7:4; Mao 4:13; Hos 4:8, 18Viongozi wake wanahukumu kwa rushwa,

na makuhani wake wanafundisha kwa malipo,

nao manabii wake wanatabiri kwa fedha.

Hata hivyo wanamwegemea Bwana na kusema,

“Je, Bwana si yumo miongoni mwetu?

Hakuna maafa yatakayotupata.”

123:12 2Fal 25:9; Isa 6:11; Mik 1:6; Za 79:1; Yer 52:13; 22:6; Mao 5:18; Eze 5:14Kwa hiyo kwa sababu yenu,

Sayuni italimwa kama shamba,

Yerusalemu itakuwa lundo la kokoto,

na kilima cha Hekalu

kitakuwa kichuguu

kilichofunikwa na vichaka.