帖撒羅尼迦前書 5 – CCBT & NEN

Chinese Contemporary Bible (Traditional)

帖撒羅尼迦前書 5:1-28

主來的日子

1弟兄姊妹,這件事會在什麼日期、什麼時候發生,不必我寫信告訴你們, 2因為你們已經清楚知道,將來有一天,主會突然來到,像賊在夜裡忽然出現一樣。 3當人們正在說一切平安穩妥的時候,災禍會像產痛臨到孕婦一樣突然臨到他們,令他們無法逃脫。

4然而,弟兄姊妹,你們不是活在黑暗裡,因此那日子不會像賊一樣突然臨到你們。 5你們都是光明之子,白晝之子。我們既不屬於黑夜,也不屬於黑暗。 6所以不要像其他人一樣沉睡,要警醒戒備, 7因為睡覺的人是在夜裡睡,醉酒的人是在夜裡醉。 8我們既屬於白晝,就應當保持清醒,要把信心和愛心當作護心鏡遮胸,把得救的盼望當作頭盔戴上。 9因為上帝不是預定我們受懲罰,而是預定我們靠著主耶穌基督得救。 10主替我們死,使我們無論是醒是睡5·10 是醒是睡」或譯「是生是死」。,都可以與祂同活。 11所以,你們要彼此鼓勵、互相造就,正如你們一向所做的。

勸勉與問候

12弟兄姊妹,我勸你們要敬重那些在你們當中辛勤工作、在主裡領導和勸誡你們的人。 13因為他們的工作,你們要懷著愛心格外敬重他們。你們要彼此和睦相處。 14此外,我勸你們要告誡懶惰的人,鼓勵灰心的人,扶持軟弱的人,耐心對待所有的人。 15你們要小心,誰都不可冤冤相報,總要彼此善待,也要善待眾人。

16要常常喜樂, 17不斷地禱告, 18凡事謝恩,因為這是上帝在基督耶穌裡給你們的旨意。

19不要抑制聖靈的感動, 20不要輕視先知的信息。 21凡事都要小心察驗,持守良善的事, 22杜絕所有的惡事。

23願賜平安的上帝使你們完全聖潔!願祂保守你們的靈、魂、體,使你們在主耶穌基督再來的時候無可指責! 24呼召你們的主是信實可靠的,祂必為你們成就這事。

25弟兄姊妹,請為我們禱告。 26要以聖潔的吻問候眾弟兄姊妹。 27最後,我奉主的名吩咐你們把這封信讀給所有弟兄姊妹聽。

28願我們主耶穌基督的恩典與你們同在!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wathesalonike 5:1-28

Kuweni Tayari Kwa Siku Ya Bwana

15:1 Mdo 1:7; 1The 4:9Basi, ndugu, kwa habari ya nyakati na majira hatuna haja ya kuwaandikia, 25:2 1Kor 1:8; 2Pet 3:10kwa kuwa mnajua vyema kwamba siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajapo usiku. 35:3 Yer 6:14; Yn 16:21, 22; Mt 24:39; Lk 21:34, 35Wakati watu wanaposema, “Kuna amani na salama,” maangamizi huwajia ghafula, kama vile utungu umjiavyo mwanamke mwenye mimba; nao hakika hawatatoroka.

45:4 Mdo 26:18; 1Yn 2:8Bali ninyi, ndugu, hampo gizani hata siku ile iwakute ghafula kama mwizi. 55:5 Rum 13:12; Efe 5:9Ninyi nyote ni wana wa nuru na wana wa mchana. Sisi si wana wa giza wala wa usiku. 65:6 Rum 13:11Kwa hiyo basi, tusilale kama watu wengine walalavyo, bali tukeshe na kuwa na kiasi. 75:7 Lk 21:34, 36; Rum 13:13; 1Kor 15:34Kwa kuwa wote walalao hulala usiku na wale walewao hulewa usiku. 85:8 Isa 59:17; Efe 6:14, 16, 17Lakini kwa kuwa sisi ni wana wa mchana, basi tuwe na kiasi, tukijivika imani na upendo kama dirii kifuani na tumaini letu la wokovu kama chapeo. 95:9 2The 2:13-14Kwa maana Mungu hakutuita ili tupate ghadhabu bali tupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo. 105:10 2Kor 5:15Yeye alikufa kwa ajili yetu ili hata kama tuko macho au tumelala, tupate kuishi pamoja naye. 115:11 1The 4:18Kwa hiyo farijianeni na kujengana, kama vile mnavyofanya sasa.

Maagizo Ya Mwisho, Salamu Na Kuwatakia Heri

125:12 1Tim 5:17; Ebr 13:17Sasa tunawaomba, ndugu, waheshimuni wale wanaofanya kazi kwa bidii miongoni mwenu, wale ambao wana mamlaka juu yenu katika Bwana na ambao wanawaonya. 135:13 Mk 9:50; 2The 3:6-11; Rum 14:1Waheshimuni sana katika upendo kwa ajili ya kazi zao. Ishini kwa amani ninyi kwa ninyi. 145:14 2The 3:11, 12; Ebr 12:12; Rum 4:1; 15:1Nasi twawasihi, ndugu, waonyeni walio wavivu, watieni moyo waoga, wasaidieni wanyonge na kuwavumilia watu wote. 155:15 1Pet 3:9; Gal 6:10; Efe 4:32Angalieni kuwa mtu asimlipe mwenzake maovu kwa maovu, bali siku zote tafuteni kutendeana mema ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.

165:16 2Kor 6:10; Flp 4:4Furahini siku zote; 175:17 Lk 18:1; 21:36; Rum 12:12; Efe 6:18; Kol 4:12ombeni bila kukoma; 185:18 Efe 5:20; Kol 3:17shukuruni kwa kila jambo, kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu.

195:19 Efe 4:30Msiuzime moto wa Roho Mtakatifu; 205:20 1Kor 14:1-40msiyadharau maneno ya unabii. 215:21 1Kor 14:29; 1Yn 4:1Jaribuni kila kitu. Yashikeni yaliyo mema. 225:22 1The 4:12Jiepusheni na uovu wa kila namna.

235:23 Rum 15:33; Ebr 4:12; 1The 3:13; 2:19Mungu mwenyewe, Mungu wa amani, awatakase ninyi kabisa. Nanyi mhifadhiwe roho zenu, nafsi zenu na miili yenu, bila kuwa na lawama katika Bwana wetu Yesu Kristo. 245:24 Rum 8:28; 1Kor 1:9; Hes 23:19; Flp 1:6Yeye aliyewaita ni mwaminifu naye atafanya hayo.

255:25 Kol 4:3; 2The 3:1; Ebr 13:18; Efe 6:9Ndugu, tuombeeni. 26Wasalimuni ndugu wote kwa busu takatifu. 27Nawaagizeni mbele za Bwana mhakikishe kuwa ndugu wote wanasomewa barua hii.

28Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi. Amen.